Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Inabidi ujue kwanza kampuni unayotaka kununua hisa 'book value' yake imesimamia wapi.
Kwa mfano mtu anakwambia hisa za swala zilianza kwa sh 600 na sasa zinauzwa 1840 fine that looks profitable at the moment kama nia ni kununua na kuuza hisa. Lakini kama nia ni kununua kwa madhumuni ya kupokea dividend Swala Oil aina hata kitalu let alone ujui maisha yake ya baadae yakoje na iwapo ikipata kitalu ikakosa mafuta au gas ujue ndio mwisho wako na ukute waliowazuga kununua wao ndio wanauza sasa na kusubiri matokeo ya Swala Oil.
Kwa maana hiyo thamani ya hizo share ni kwa sababu tu mtu kakuaminisha Swala Oil inathamani hiyo kutokana na demand zake sokoni lakini si kwamba kuna kampuni ambayo inaweza wekewa value hata kama inafilisiwa unaweza ambulia chochote kutokana na shares ulizonazo,Swala Oil kwa sasa inaweza potea haraka kama ilivyoingia sokoni just by putting its first investment.
Vile vile ata kama unanunua hisa kwenye kampuni ambayo kweli inafanya kazi unatakiwa kujua pia faida inazoingiza na madeni iliyonayo na kama kweli kuna biashara ya kuweza kulipa hayo madeni; kwa sababu unaweza kununua leo hisa kwa bei ya juu lakini baada ya muda mchache ukaja sikia kumbe kampuni inashindwa mudu madeni yake na inatakiwa kufilisika as in what happened na Precision Air ukajikuta auna namna ya kuuza kwa faida or your shares are wiped out baada ya wadai kuchukua chao kwanza.
In short kama hujui 'booka value' ya kampuni una nunua on impulse only, market speculations and just gambling; lakini kama unajua thamani ya kampuni, madeni yake, malengo yake na faida zake za kibiashara unaingia ukijua hela yako hiko salama zaidi na kama uko makini unaweza kuwahi pia kutoka mambo yakianza kwenda mrama.
Kwa mfano mtu anakwambia hisa za swala zilianza kwa sh 600 na sasa zinauzwa 1840 fine that looks profitable at the moment kama nia ni kununua na kuuza hisa. Lakini kama nia ni kununua kwa madhumuni ya kupokea dividend Swala Oil aina hata kitalu let alone ujui maisha yake ya baadae yakoje na iwapo ikipata kitalu ikakosa mafuta au gas ujue ndio mwisho wako na ukute waliowazuga kununua wao ndio wanauza sasa na kusubiri matokeo ya Swala Oil.
Kwa maana hiyo thamani ya hizo share ni kwa sababu tu mtu kakuaminisha Swala Oil inathamani hiyo kutokana na demand zake sokoni lakini si kwamba kuna kampuni ambayo inaweza wekewa value hata kama inafilisiwa unaweza ambulia chochote kutokana na shares ulizonazo,Swala Oil kwa sasa inaweza potea haraka kama ilivyoingia sokoni just by putting its first investment.
Vile vile ata kama unanunua hisa kwenye kampuni ambayo kweli inafanya kazi unatakiwa kujua pia faida inazoingiza na madeni iliyonayo na kama kweli kuna biashara ya kuweza kulipa hayo madeni; kwa sababu unaweza kununua leo hisa kwa bei ya juu lakini baada ya muda mchache ukaja sikia kumbe kampuni inashindwa mudu madeni yake na inatakiwa kufilisika as in what happened na Precision Air ukajikuta auna namna ya kuuza kwa faida or your shares are wiped out baada ya wadai kuchukua chao kwanza.
In short kama hujui 'booka value' ya kampuni una nunua on impulse only, market speculations and just gambling; lakini kama unajua thamani ya kampuni, madeni yake, malengo yake na faida zake za kibiashara unaingia ukijua hela yako hiko salama zaidi na kama uko makini unaweza kuwahi pia kutoka mambo yakianza kwenda mrama.