Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

Akiendelea kulegeza mwendo watafanya yao. Kanuni ya Sasa ni punda afe mzigo ufike.
Honestly speaking SSH anapwaya sana. Angejikita kwanza kusoma systems zilivyo badala ya kuzurura na matamko yasiyokuwa na tija.
 
Mi binafsi kuna mdau alileta uzi umu nafikiri ni majuzi kwamba moto unawaka kariakoo kitu ambacho akikua kweli,baada ya muda ule uzi ukafutwa

Swali ni sisi kujiuliza yule mtoa uzi alikua na lengo lipi au aliwasha moto ikashindika iyo juzi? Leo hii ndio umefanikiwa ? Au unabii wa jf najiuliza apa sipati jibu?
Ni mimi chalii yangu mods wa kaufuta faster. Niliweka wazi ninaota kwaiyo msichukulie serious.

Sauh'waaa!
 
Mi binafsi kuna mdau alileta uzi umu nafikiri ni majuzi kwamba moto unawaka kariakoo kitu ambacho akikua kweli,baada ya muda ule uzi ukafutwa

Swali ni sisi kujiuliza yule mtoa uzi alikua na lengo lipi au aliwasha moto ikashindika iyo juzi? Leo hii ndio umefanikiwa ? Au unabii wa jf najiuliza apa sipati jibu?
Time traveller
 
Unatumia kipimo gani kuona RAIS ANAFIT AU KUPWAYA? MOTO NI AJALI KAMA KUZAMA KWA MELI. Acha chuki za kisenge wewe.
Yaani hiki kizazi... Mtu huwezi kujenga hoja hadi utukane..??
SSH kipimo chake ni kauli zake... Mpaka sasa ni makelele na malalamishi tu!!
 
Mtaani Kwetu umeme uliwahi kuunguza vitu vya ndani vingi sana.


Majirani zetu wakasema tuandikie barua tuombe fidia TANESCO!!

Binafsi mimi nilikataa kwa kuwa sijawahi kusikia TANESCO wamewahi kulipa fidia mahali popote zaidi ya ujanja ujanja tu.

Wenzetu waliandika .TANESCO walipofika wakaanza kuwauliza wayaringi nani alifanya? Wakati wayaring inafanyiwa nyumbani yako ilikuwa na matumizi fulani tu ya vifaa vya umeme. Je ulipoongeza vifaa vingine uliomba ruhusa ya kufanya hivyo ili TANESCO wakufungie wayaring kutokana na ukubwa wa matumizi yako ya umeme? Nyumba yako mara kwa mara huwa unawaita mafundi wa TANESCO kuja kukagua mfumo mzima wa waharingi?

ni.k.Hapo kuna kulipana fidia kweli?
 
Mtaani Kwetu umeme uliwahi kuunguza vitu vya ndani vingi sana.


Majirani zetu wakasema tuandikie barua tuombe fidia TANESCO!!

Binafsi mimi nilikataa kwa kuwa sijawahi kusikia TANESCO wamewahi kulipa fidia mahali popote zaidi ya ujanja ujanja tu.

Wenzetu waliandika .TANESCO walipofika wakaanza kuwauliza waharingi nani alifanya? Wakati waharingi inafanywa nyumbani yako ilikuwa na matumizi fulani tu ya vifaa vya umeme. Je ulipoongeza vifaa vingine uliomba ruhusa ya kufanya hivyo ili TANESCO wakufungie wayaring kutokana na ukubwa wa matumizi yako ya umeme? Nyumba yako mara kwa mara huwa unawaita mafundi wa TANESCO kuja kukagua mfumo mzima wa waharingi?

ni.k.Hapo kuna kulipana fidia kweli?
Umenipa fundisho acha jumatatu nidili na tanesco maana huu msimu unaonekana wa majanga ya moto
 
Mtaani Kwetu umeme uliwahi kuunguza vitu vya ndani vingi sana.


Majirani zetu wakasema tuandikie barua tuombe fidia TANESCO!!

Binafsi mimi nilikataa kwa kuwa sijawahi kusikia TANESCO wamewahi kulipa fidia mahali popote zaidi ya ujanja ujanja tu.

Wenzetu waliandika .TANESCO walipofika wakaanza kuwauliza waharingi nani alifanya? Wakati waharingi inafanywa nyumbani yako ilikuwa na matumizi fulani tu ya vifaa vya umeme. Je ulipoongeza vifaa vingine uliomba ruhusa ya kufanya hivyo ili TANESCO wakufungie wayaring kutokana na ukubwa wa matumizi yako ya umeme? Nyumba yako mara kwa mara huwa unawaita mafundi wa TANESCO kuja kukagua mfumo mzima wa waharingi?

ni.k.Hapo kuna kulipana fidia kweli?
Waharingi ndio mnyama gani
 
Mi binafsi kuna mdau alileta uzi umu nafikiri ni majuzi kwamba moto unawaka kariakoo kitu ambacho akikua kweli,baada ya muda ule uzi ukafutwa

Swali ni sisi kujiuliza yule mtoa uzi alikua na lengo lipi au aliwasha moto ikashindika iyo juzi? Leo hii ndio umefanikiwa ? Au unabii wa jf najiuliza apa sipati jibu?
Tuanze na aliyefuta uzi
 
View attachment 1848831

View attachment 1848927

View attachment 1848950

Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam linaungua moto usiku huu huku jitihada za kuuzima zikiendelea.

Akizungumza na Mwananchi kwa simu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amethibitisha tukio hilo.

Makalla ambaye yuko kwenye eneo la tukio, amesema; “Ni kweli soko linaungua na tuko hapa tunapambana kuuzima moto”
Amesema moto huo umeanza kuwaka Saa 3:30 na chanzo bado hakijajulikana.

“Moto umeanza kama nusu saa iliyopita, tupo kwenye eneo tunapambana kuuzima” amesema Makalla ambaye hakutaja chanzo cha moto huo.
Tusianze kysingizia hili au lile tuviache vyombo vya usalama vifanye uchunguzi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mi binafsi kuna mdau alileta uzi umu nafikiri ni majuzi kwamba moto unawaka kariakoo kitu ambacho akikua kweli,baada ya muda ule uzi ukafutwa

Swali ni sisi kujiuliza yule mtoa uzi alikua na lengo lipi au aliwasha moto ikashindika iyo juzi? Leo hii ndio umefanikiwa ? Au unabii wa jf najiuliza apa sipati jibu?
Lugha gani hii unayoandika⁉️‼️
 
The way moto ulikoanzia kuwaka lazima uwashinde..! Moto umeanza kuwaka juu aisee mpaka ushafika chini alafu kumbe tangia saa 12
Kwanini uwashinde⁉️‼️

Jengo lile linamiundombinu dhabiti ya kuzimia moto sehemu zote
 
Back
Top Bottom