Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Mombasa kenyaMombasa yani Kenya huko au Mombasa ya hapa bongo.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mombasa kenyaMombasa yani Kenya huko au Mombasa ya hapa bongo.?
Moto umeanza saa1nanusu usiku Faya wameingia saa tatu nanusu na Maji hawanaView attachment 1848831
View attachment 1848927
View attachment 1848950
Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam linaungua moto usiku huu huku jitihada za kuuzima zikiendelea.
Akizungumza na Mwananchi kwa simu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amethibitisha tukio hilo.
Makalla ambaye yuko kwenye eneo la tukio, amesema; “Ni kweli soko linaungua na tuko hapa tunapambana kuuzima moto”
Amesema moto huo umeanza kuwaka Saa 3:30 na chanzo bado hakijajulikana.
“Moto umeanza kama nusu saa iliyopita, tupo kwenye eneo tunapambana kuuzima” amesema Makalla ambaye hakutaja chanzo cha moto huo.
Ndio wajue umuhimu wa kuweka bimakulala MO kuamka MUDI ndo haya sasaaa... ishakuwa noma pole sana kwa wale waliokopaa mabank Mungu awatie nguvu maana umaskini sio kitu chema.
Hii ndio Bongo mkuuMoto umeanza saa1nanusu usiku Faya wameingia saa tatu nanusu na Maji hawana
Haha hivi unakumbuka sababu za kuteuliwa Mrisho Gambo kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na JPM? Arusha ilikuwa na matukio ya moto sanaMsiwalenge waliopigwa chini tu
Hivi mnawajua vizuri watu waliopo serikalini nyie?
Mnawajua vizuri!!! Hawa wanaotengeneza matatizo na baadae kuja Kama kutatua mnawajua well?
Tbc ni sawa na uwanja wa ndege wa chatoDah sema TBC wallah wale mchwa hata habari awana
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Yaani uzembe wenu wenyewe wa kuacha vitu on mnataka kuwaangushia viongozi waliosimamishwa kazi huu ni ujingahili wanahusika moja kwa moja
Sio kirahisi hivyo mzeePole sana kwa wale ambao mali zao zimeungua@ Ila kikubwa uzima upo watarudi tena kwa kishindo ' see you on the top '
Naona leo ni moto fo everibadeMombasa kenya
Acha tu we fatilia hata bunge tu utagundua kuna makundi sasa ukiwafatilia vizuri wanamizizi mirefu sanaaa.Haha hivi unakumbuka sababu za kuteuliwa Mrisho Gambo kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na JPM? Arusha ilikuwa na matukio ya moto sana
But wenzako wanatenda usichopenda wewe!.Sijawahi msingizia huyo jamaa vitu kama hivyo
Hii yote ni laana kutokana na kubinya haki za wananchi.View attachment 1848831
View attachment 1848927
View attachment 1848950
Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam linaungua moto usiku huu huku jitihada za kuuzima zikiendelea.
Akizungumza na Mwananchi kwa simu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amethibitisha tukio hilo.
Makalla ambaye yuko kwenye eneo la tukio, amesema; “Ni kweli soko linaungua na tuko hapa tunapambana kuuzima moto”
Amesema moto huo umeanza kuwaka Saa 3:30 na chanzo bado hakijajulikana.
“Moto umeanza kama nusu saa iliyopita, tupo kwenye eneo tunapambana kuuzima” amesema Makalla ambaye hakutaja chanzo cha moto huo.
Aje tuAnakuja mleta uzi.
Hawajawahi kufanikiwa ndo maana sehemu zingine wanawatoa mkukuKutoka fire mpaka kariakoo sokoni ni dakika 5 tu, imekuaje imewachukua fire masaa yote hayo