Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

Hii isipuuzwe hata mimi niliuona uzi kama huo nikajiuliza hii kariakoo gani ya leo.

Yule mtu aliyeandika uzi achunguzwe vizuri kwa nini alisema linawaka moto alafu leo imetokea.

Au ni time traveller ?

Sema mods wanazinguaga sana kufuta uzi mapema mapema.

Sasa hapa tungekua na maswali mengi sana ya kumuuliza mleta uzi!!!
 
Utshangaa fire watashindwa kuuzima na wako hapo jirani tu.
The way moto ulikoanzia kuwaka lazima uwashinde..! Moto umeanza kuwaka juu aisee mpaka ushafika chini alafu kumbe tangia saa 12
 
Hii isipuuzwe hata mimi niliuona uzi kama huo nikajiuliza hii kariakoo gani ya leo.

Yule mtu aliyeandika uzi achunguzwe vizuri kwa nini alisema linawaka moto alafu leo imetokea.

Au ni time traveller ?
ile Kesi iliyokua inaikabiri jamii forum ilikua na chanzo kama hiki.

Serikali iliitaka Jamii forum kutoa taarifa za watu furan furan kwa ajiri ya uchunguzi wakatukana na kizingiti. Mashtaka yakaja

So hata hilo linaweza kuwa na sura ile ile,
 
Hapo kuna namna, wale viongozi wa soko waliopigwa chini na madame president kuna namna hapa wanaweza kuhusika katika hili. Tutaanza na hawa kwenye uchunguzi wa tukio hili
Msiwalenge waliopigwa chini tu
Hivi mnawajua vizuri watu waliopo serikalini nyie?

Mnawajua vizuri!!! Hawa wanaotengeneza matatizo na baadae kuja Kama kutatua mnawajua well?
 
Tatizo Samia ameingilia mqmbo ya watu wa soko la Kariakoo. Wameamua kuondoa ushahidi Sasa.

Huyu mama kwann hashughulikii wizi wa mafuta Kigamboni????
Mkuu unataka huko Kigamboni nako palipuke kupoteza ushahidi??
 
Tatizo Samia ameingilia mqmbo ya watu wa soko la Kariakoo. Wameamua kuondoa ushahidi Sasa.

Huyu mama kwann hashughulikii wizi wa mafuta Kigamboni????

Wamefanya kitu kibaya sana kuwaumiza wafanyabiashara kwa tamaa zao.
 
Tanzania katika uokoaji bado sana yaani saa zaidi ya nne moto wameshindwa kuuzima ,inasikitisha sana!! Fire Hydrant hakuna k/koo? wameshindwa kufanya uwekezaji wa Fire Hydrant? Ma VX/Kilimo kwanza ya milioni 400 kwa kila dc/rc/ded/das/ras wameweza ila Fire Hydrant wameshindwa.
 
.Labda chawa wa magamba wamechukia ile kauli ya leo ya Anthony diallo wameamua kwenda kuchoma soko!!
 
dah,Mungu awatie nguvu wafanyabiashara wote...
 
Mm nadhan fire waache moto ujizime wenyewe, hakuna kazi wamefanya.

Kuna (mpumbavu mkuu mmoja) ameulizwa hali ya moto Akajibu 'Fire wamejitahidi sana na wamefanikiwa kudhibiti' wakati raia tunaona kabisa moto upo high quality
 
Tanzania katika uokoaji bado sana yaani saa zaidi ya nne moto wameshindwa kuuzima ,inasikitisha sana!! Fire Hydrant hakuna k/koo? wameshindwa kufanya uwekezaji wa Fire Hydrant? Ma VX/Kilimo kwanza ya milioni 400 kwa kila dc/rc/ded/das/ras wameweza ila Fire Hydrant wameshindwa.
Hapo ndo huwa nachoka, kuwapa fire kila hitaji hawawezi ila kila DC na RC ana V8 yake daaah nchi yangu
 
Back
Top Bottom