Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhKuna jamaa anasema wakati moto unaanza kuwaka, walinzi walikataa kuruhusu watu kuingia ndani kuokoa mali
Hapo kuna namna mkuuHii isipuuzwe hata mimi niliuona uzi kama huo nikajiuliza hii kariakoo gani ya leo.
Yule mtu aliyeandika uzi achunguzwe vizuri kwa nini alisema linawaka moto alafu leo imetokea.
Au ni time traveller ?
Pengine walihofia wangeshindwa kuwacontrol na mali nyingi zingeibiwa hapo na hakuna wangeweza fanya hao walinzi.Kuna jamaa anasema wakati moto unaanza kuwaka, walinzi walikataa kuruhusu watu kuingia ndani kuokoa mali
Sio wote wataiba, kuna wengine wana biashara ndani humo hawezi kwenda kuiba wakati huo mali yake inateketea. Mali ambazo zingeibwa zingekuwa chache kuliko hizo zilizoungua. Jamaa mwenyewe anasema KUNA HUJUMA IMEFANYIKAPengine walihofia wangeshindwa kuwacontrol na mali nyingi zingeibiwa hapo na hakuna wangeweza fanya hao walinzi.
Mombasa yani Kenya huko au Mombasa ya hapa bongo.?Taarifa za uhakika zilizonifikia ni kwamba soko la makiriti-mombasa pia na lenyewe muda huu linawaka moto
Kweli mkuu.Sio wote wataiba, kuna wengine wana biashara ndani humo hawezi kwenda kuiba wakati huo mali yake inateketea. Mali ambazo zingeibwa zingekuwa chache kuliko hizo zilizoungua. Jamaa mwenyewe anasema KUNA HUJUMA IMEFANYIKA
Nchi hii wazima moto hawapo , wapo wazima maandamano tuKama FIRE wenyewe ndio wale nilowaona basi hamna kitu wanaweza kuufanya ule moto, never!