Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
hapa ndio mahali Mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa anapaswa kufanya kazi , siyo kule stendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha moto ni moto.Chanzo cha Moto ni nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chanzo cha moto ni moto.
Huyo jamaa nae anashangaza sana, wameandika Soko la Kariakoo linawaka moto sasa hivi, yeye anasema kariakoo kubwa, kariakoo sehemu gani.Wanasema soko kuu la kariakoo ...lipo moja soko kuu la kariakoo lakini
Duuuh hatari sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu si unawajua hao? Wana vifaa chakavu na mara nyingi hawana hata tone la maji.
Huko huko bandari salama ajali ni nyingi za MotoZingine ziko wapi
Daaaah Sema wakuu nchi yetu wanaichukukilia FIRE kirahisi sana, nadhani hata bajeti yao huwa sio nzuri kabisaKama FIRE wenyewe ndio wale nilowaona basi hamna kitu wanaweza kuufanya ule moto, never!
😂😂😂 Kwa vituko vingine kama hivi tubonyeze ngapi.?Chanzo cha moto ni moto.
Hii isipuuzwe hata mimi niliuona uzi kama huo nikajiuliza hii kariakoo gani ya leo.Juzi kuna mtu aliandikwa uzi kua soko linaungua uku jamii forums ukafutwa leo hii imekua kweli