Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mamaaaa poleni sana kwa majanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vikosi wakiambiwa chadema wanataka kuandamana hua wanafanya kazi zao vizuri sanaNchi hii wazima moto hawapo , wapo wazima maandamano tu
Juzi kuna mtu aliandikwa uzi kua soko linaungua uku jamii forums ukafutwa leo hii imekua kweli
Mwenyewe imeniuma sana, analia sana kuna mwingine amezimia cdhani kama ameonyeshwaNimehuzunika sana kuona watu wazima wanalia.
Kilio cha mtu mzima sio mchezo
Ukute Jf tuna time traveller aiseeHii isipuuzwe hata mimi niliuona uzi kama huo nikajiuliza hii kariakoo gani ya leo.
Yule mtu aliyeandika uzi achunguzwe vizuri kwa nini alisema linawaka moto alafu leo imetokea.
Au ni time traveller ?
Tunaweza kuwahukumu bure pia vipi kama wanaokaimu ndo wanahusika ili kuwaharibia kabisa waliosimamishwa ? maana kwa hali yeyote mtuhumiwa ataonekana ni aliyetolewa kwa mazingira ya kufikirika lakini kwa kawaida mtu huwezi fanya jambo litalokuweka wewe matatani moja kwa moja uchunguzi ufanywe pasipo kuonea mtu maaa siku hizi hatuna wapelelezi tuna wabambikizi wanatafuta mtu wa kubambikia kesi inashia hapohili wanahusika moja kwa moja
Aiseeee !!Chadema wakiandamana wanapewa kipigo Cha mbwa coco.moto mmeshindwa kuzima.