Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
KabisaBut wenzako wanatenda usichopenda wewe!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaBut wenzako wanatenda usichopenda wewe!.
Akiendelea kulegeza mwendo watafanya yao. Kanuni ya Sasa ni punda afe mzigo ufike.Mkuu unataka huko Kigamboni nako palipuke kupoteza ushahidi??
Dha.ile Kesi iliyokua inaikabiri jamii forum ilikua na chanzo kama hiki.
Serikali iliitaka Jamii forum kutoa taarifa za watu furan furan kwa ajiri ya uchunguzi wakatukana na kizingiti. Mashtaka yakaja
So hata hilo linaweza kuwa na sura ile ile,
Mkuu Mungu sio mjinga kiasi kwamba anatoa laana kwa watu ambao wanabanwa ili awabane kwa mara ya pili.Hii yote ni laana kutokana na kubinya haki za wananchi
So Gambo yeye anazuia vipi hayo matukio ya moto..Haha hivi unakumbuka sababu za kuteuliwa Mrisho Gambo kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na JPM? Arusha ilikuwa na matukio ya moto sana
Tanzania uokoaji ni sifuri ya kutia aibuTanzania katika uokoaji bado sana yaani saa zaidi ya nne moto wameshindwa kuuzima ,inasikitisha sana!! Fire Hydrant hakuna k/koo? wameshindwa kufanya uwekezaji wa Fire Hydrant? Ma VX/Kilimo kwanza ya milioni 400 kwa kila dc/rc/ded/das/ras wameweza ila Fire Hydrant wameshindwa.
Unamaanisha magari yamekuja tupu? Siamini mkuu!Zimamoto magari ya kuzimia moto mabovu, maji hayana kabisa,, kufanya mpaka muda huu saa 4 hakuna dalili ya kuzimika,,,
Hata hapa yapo, ni sehemu muhimu kwa miji iliyopangwa.Ukienda baadhi ya nchi nje ya africa.
Njiani na baadhi ya maeneo hasa mijini utakutana na mabomba kwa ajiri ya fire kila baada ya umbali kadhaa.
Yote hayo ili kuepuka mambo kama haya.
Nashauri serikali ifanye mpango kama huu huku Tanzania.
Aina faida inatumalizia kodi tuTbc ni sawa na uwanja wa ndege wa chato
Mhhh ya kweli hayo?!!!Soko limeungua sa tatu,zimamoto imekuja sa sita kasoro😐😐,
Tatizo la watu ni kutokufahamu jinsi magari ya zima moto yanavyofanya kazi, ile pressure ya maji inayotoka pale lile tank ni dakika tano tu maji yamekwisha, sasa mtu akiona vile hususani labda amekutana nalo njiani, linaenda kwenye tukio, eee mala baada ya dk 5, analiona rinarudi tena, ndio hapo husema gari limekwenda bila maji!!!sasa gari liende eneo la tukio bila maji ili iweje?!!!miundo mbinu yenyewe bado sana , ni mungu tu ndio anayetulinda.
kariakoo fire wamemwagwa kila kona, wanatoza watu ada za mwaka, hela za mtungi na service, hakuna excuse aisee washindwe kuzima moto jengo moja, lile jengo wafanyabiashara wake wote wana mitaji midogo, wapo zaidi ya 100 mule, nina uhakika hawana bima, sijui hata wana hali gani sasa hivi.Kutoka fire mpaka Kariakoo sokoni ni dakika 5 tu, imekuaje imewachukua fire masaa yote hayo
Tanzania katika uokoaji bado sana yaani saa zaidi ya nne moto wameshindwa kuuzima ,inasikitisha sana!! Fire Hydrant hakuna k/koo? wameshindwa kufanya uwekezaji wa Fire Hydrant? Ma VX/Kilimo kwanza ya milioni 400 kwa kila dc/rc/ded/das/ras wameweza ila Fire Hydrant wameshindwa.
Niliuona pia, ila wangeuacha mshukiwa wa kwanza angekua yeye maana huenda walipewa tenderSema walahiii