Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

Hydrants mijini kawaida zinaungwa kwenye mfumo wa kusambaza maji /main pipes
Sasa zipo hizo hydrants?na hata zikiwepo je zitakuwa na maji hayo muda wote?!!wewe kama kamishina wa jeshi la zima moto na uokoaji anakwambia jana walikuwa wanayafuata maji uwanja wa ndege kuna nini hapo kariakoo nzima hakuna sehemu ya kuchukulia maji!!yaani sehemu kama kariakoo/hizo ofisi zenyewe za fire zipo maeneo hayo hakuna sehemu ya kuchukulia maji,?si ajabu hata siku janga kama hili likitokea ikulu utaambiwa nako hakuna sehemu za kuchukulia maji!!kwani ckuwahi kufikiria kama sehemu kama kariakoo inaweza kuwa hakuna sehemu ya kuchukulia maji!!!
 
Maisha haya.ndo nawaza hapa umeanza kabiashara kako juzi juzi tu umefungua Jana usiku umefunga,asubuhi unarudi unakuta majivu
Mungu atusaidie
 
Majuzijuzi kulikuwa na Moto mkubwa magomeni , nadhani Kuna tatizo mahala.Tuamke Sasa,maeneo nyeti yaongezewe ulinzi
 
Kumbuka soko la Tunduma lilipoteketea kwa moto DC alikuwa Amos Makala, na sasa Kariakoo imeungua RC ni Makala 🤷
Labda yule RC ameamua kuzima mjadala wa alichoropoka kule Magufuli Terminal
 
Kumbuka soko la Tunduma lilipoteketea kwa moto DC alikuwa Amos Makala, na sasa Kariakoo imeungua RC ni Makala 🤷
Achunguzwe, 🌡🕯🔦🔍🔬possibly amedivert mjadala wa stand, na ndiyo maana ameharakisha kuunda tume kujilinda
 
Acha ujinga wako.. ulikuwepo? We unadhani yale maji yanatumia dk ngapi kwisha kwa presha ile?
Mjinga mama yako mzazi, kama nawewe unafanya kazi fire in Litaahira kama mataahira mengine.

Kwani ni mara moja mnaleta upumbavu kwenye assets za watu
 
Ule uomgozi wa zamani uliosimamishwa na muheshimiwa rais uhojiwe vizuri. Inawezekana ikawa hujuma kwa kutoka kwao.
 
Hapo kuna watu walikuwa wanakitaka hicho kiwanja wafanye yaocmuda mrefu sana, isije ikawa ndio mbinu hii??!!
 
Wahuni wa maccm ba vipaumbele vya Taifa kama vya kupambana na majanga wapi na wapi Mkuu? Trillions za kununua V8 zipo billions za kuwajengea nyumba Marais wastaafu nyumba ambazo hawazihitaji zipo, lakini pesa ya kununua magari ya zimamoto HAKUNA!!!

Yaani inasikitisha sana sana!! Kwa tukio la jana serikali ndio ya kulaumiwa 100% ,wameshindwa kabisa kuwekeza kwenye kulinda raia na mali zao kwenye majanga ,imagine kutoka fire hadi k/koo kwa gari ni dakika 3 tu ushafika.

pia makao makuu ya fire hawana Hydrants za kujaza maji,halafu Fire nzima wana gari 6 tu!! INASIKITISHA SANA!! Diallo hakukosea ndio maana walimunua midege kwa matriolioni ya shiling ambayo yanaleta hasara wakashindwa kununua magari mengi ya fire kukabiliana na majanga ,ona wafanyabiashara wamepoteza mali.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK


Yaani inasikitisha sana sana!! Kwa tukio la jana serikali ndio ya kulaumiwa 100% ,wameshindwa kabisa kuwekeza kwenye kulinda raia na mali zao kwenye majanga ,imagine kutoka fire hadi k/koo kwa gari ni dakika 3 tu ushafika ,pia makao makuu ya fire hawana Hydrants za kujaza maji,halafu Fire nzima wana gari 6 tu!! INASIKITISHA SANA!! Diallo hakukosea ndio maana walimunua midege kwa matriolioni ya shiling ambayo yanaleta hasara wakashindwa kununua magari mengi ya fire kukabiliana na majanga ,ona wafanyabiashara wamepoteza mali.
 
Tunaomba uchunguzi WA kina kuhusiana na soko. Ila kumbuka matukio ya kuungua masoko Mikoa uliyopitia ukiwa mkuu WA Mkoa.
 
8 December 2017

IDARA YA ZIMAMOTO YAFANYA ZOEZI LA KUTAMBUA FIRE HYDRANT JIJINI TANGA



Source : mwananchi digital
 
Unadhani JPM angekuwa hai, unadhani angelishughulikia vipi sakata la kuungua soko la Kariakoo?
 
Hapa Ni Wapi Vile........Oops!!! .... Chettle
Yule..... Mwenetu...Anaitwa..
.
....Nani????😆😅😄😃😂😁😀😉
 
Back
Top Bottom