TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hawa wanaopitia mada siyo vijana intelligence, maana niliwahi kutembea na slogan ya corona ya kuchukua tahadhari wakawa wanafuta but now ndiyo wanaitumia.Juzi kuna mtu aliandikwa uzi kua soko linaungua uku jamii forums ukafutwa leo hii imekua kweli
Although nagundua each day kuna mtu flani akianzisha uzi haufutwi!.