Soko la Karume limeungua moto

Ww ndio umepotea KABISA na hamjitambui.. mnamsifia tu JPM kila siku.. si mkamfufue sasa?? Mtu aliharibu sana hii nchi na inaendelea kuharibika sababu yake..
Karibu kwa kujenga flyover? , kununua ndege ? au kuboresha miundombinu ? au kudhibiti rushwa? ni wapigaji tu ndo mnaompiga vita JPM , hamna hata huruma watu wanachomewa biashara zao ww unatuletea ushabiki maandaz , pumbaf kbs
 
Yaan ushaniki wako unakuondolea huruma ua wenzio waliochomewa mitaji yao , subiri vinaka waongezeke mtaani hlf ndo uone Samia au ww shabiki maandaz
 
Na nyumba za Watu zinazoungua huwa zinachomwa na serikali?
ebu tumia akili ww , soko usiku halina watu mbali na walinzi , je moto ulitokea wap? ishirikishe akili yako kidigo , nyumba kuungua ni jambo la kawaida sana sababu kuna vyanzo vya moto vingi ndani ya nyumba
 
Tulipofikia sasa ,tatizo ni sisi wenyewe wananchi, kuna hatua inabidi tuchukue....

Tuwakatae hawa viongozi kwa vitendo,tukatae hii dhuluma na uonevu wa sasa kwa vitendo.
 
Kiukweli.. hajamsaliti. Aliona nchi ilikuwa inapotea na ndio sasa anapambana kuirudisha kwa msitari. Tatizo teari gari lilishaingia kwa shimo KUBWA
wenzio kuchomewa moto unafurahia , Nyerere alisema watz hatujapevuka kuimudu siasa ya vyama vingi
 
Kuna walinz pale bro
 
Mkuu kasha sema kamati mwendazake kamati alizikataa
 
Lzm tukosoe
 
We jamaa kiazi sana aiseee.... halafu unajifanya mjuaji sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…