Wanawake wanaweza weweeeeKazi iendelee
Umeongea wisdom..yaan vitu viko vivid kabisa ila watu hawana habar..yaan had wanateuliwa watu wenye question marks kichwan na wenye tetes mbaya ila tupo tuu nasisi tunacheza mzik ule ule. ..tozo tunatupiwa tu. .leo hii kesho ile..ila tuko kimyaa tu...aisee..kwel watawala wa nchi hii wanatupepeta kama mchele..duhUpuuzi wetu wtzednia, yaani tunaona kabisa srkl hii iko kwa ajili ya matumbo yao, lakini bado tunawachekea, Acha kila mmoja aguswe ndipo sasa tuamke.
Kwani hao viongozi wa Afrika wamefanya yapi ya maana hadi wasifiwe?Hiko chanzo chako cha habari kimewai msifia kiongoz gani wa afrika?
MimiKwani muunguzaji ni nani?!
Nakwel..waacha matukio yaendelee had tutie akilHaya Matukio yaendelee, yaongezeke, yazidi kuwa Mengi, yasiache kutokea, Hadi pale Watanzania Akili Zitakapo Funguka na Kudai Katiba Mpya Kwa Nguvu.
Kitu ambacho bado hatujakijua Watanzania Ni Kuwa, Viongozi Wetu wana DHARAU SANAA wananchi wake Hilo lipo wazi Kabisa Kabisa, tena Ni Dharau Iliyopitiliza. Haya matukio sio Mapya nchi kwetu lakini hakuna hata Siku 1 ilitoka Report Ya Tukio la Moto watu wakawajibishwa kwa namna Yoyote ile kama Sio Dharau ni Nini? Yaani Viongozi wetu wanaweza kujua Ugaidi wa Kutaka Kulipua Vituo Vya Mafuta Bila Vipulizi lakini wanashindwa kujua Chanjo za Moto na nani Muhusika?
Mpaka siku, Ikulu iwake moto, Bunge liwake moto.
Wale machinga wote walio lazimishwa kuhamia pale Wamepata Hasara tena hii January [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] watoto wakiwa Wamefaulu kwa kishindo.
Mtatia akil tuuLengo ni kuhamishwa hao wamachinga wa hapo Karume.
Kwan kuna mtu nmemdirectia lawama ? me nakuambia ww kama wangechoma ofisi yako ndo ungepata akiliWalaumu uongozi wa soko hapo
Ova
Mukama Acha roho mbayaMtatia akil tuu
Ukiangalia kwa makini hizi lawama tujipe sisi wenyewe maskini. Ndio majority kwa nchi nyingi Africa na yet ndo wanafiki kupitiliza .Duh kila Zama na kitabu Chake! Zama hizi ni kuwakomesha masikini.
Sawa,umeunguziwa kutokana na mauzembe +mazingira ya hapoKwan kuna mtu nmemdirectia lawama ? me nakuambia ww kama wangechoma ofisi yako ndo ungepata akili
[emoji3][emoji3]Sisiemu oyee,sisiemu namba wani, wacha tuisome namba, ifike hatua watanzania tuamke
Hii ni mara ya pili inafanyika hivohivoTBL fire brigade waliwahi ila maelekezo waliyopewa ni kuudhibiti moto usihamie upande wa kiwanda na ule upande wanaoishi raia
Watapigwa tukio wakiwa wamesahauWa soko la Manzese wajiandae
We unahis hao unaotakw kuwasifia unahis wamefanya nn ? mpk tuwasifie ?Kwani hao viongozi wa Afrika wamefanya yapi ya maana hadi wasifiwe?
Hawa ndiyo unataka wasifiwe?![emoji116][emoji1782][emoji1782][emoji1782]View attachment 2083590
Pale huwa watu wapo. Petrol harufu ingesikika, vitu vya Karume vyenyewe tu ni petrolHuu Moto umesetiwa Kia's kwamba Ni ngumu kuuzima
Mazingira ya karume Ni rahisi Sana kuzima Moto tofaut na k'koo au pengine.
Bila shaka
Ilishamwagwa petroli kuzunguka soko lote,Moto unazunguka afu unakutana katikati.
Hapo huokoi chochote
tupe mrejesho wa kamati iliyoundwa kuchunguza soko la k/koo !!Sawa,umeunguziwa kutokana na mauzembe +mazingira ya hapo
Kamati imeundwa,what's next????
Ova
Hawajali wenyewe uchumi uwe mzuri au udorore. Kwasabab Wana mabilion waliyoiba na kuyaficha. CDF tu ukuta wa merirani kalamba 450 m USD.Serikali bila kujua indirectly inaua mabenki na vikundi vya mikopo midogomidogo maana hawa wahanga wote pesa zao zinatoka huko sasa watarejeshaje, mwisho wa siku Uchumi utaanguka alafu tuanze kutafuta mchawi ni nani. Haya mambo ya kipuuzi sasa yafikie ukomo