Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Upuuzi wetu wtzednia, yaani tunaona kabisa srkl hii iko kwa ajili ya matumbo yao, lakini bado tunawachekea, Acha kila mmoja aguswe ndipo sasa tuamke.
Umeongea wisdom..yaan vitu viko vivid kabisa ila watu hawana habar..yaan had wanateuliwa watu wenye question marks kichwan na wenye tetes mbaya ila tupo tuu nasisi tunacheza mzik ule ule. ..tozo tunatupiwa tu. .leo hii kesho ile..ila tuko kimyaa tu...aisee..kwel watawala wa nchi hii wanatupepeta kama mchele..duh
 
Hiko chanzo chako cha habari kimewai msifia kiongoz gani wa afrika?
Kwani hao viongozi wa Afrika wamefanya yapi ya maana hadi wasifiwe?

Hawa ndiyo unataka wasifiwe?!👇🤡🤡🤡
 
Haya Matukio yaendelee, yaongezeke, yazidi kuwa Mengi, yasiache kutokea, Hadi pale Watanzania Akili Zitakapo Funguka na Kudai Katiba Mpya Kwa Nguvu.

Kitu ambacho bado hatujakijua Watanzania Ni Kuwa, Viongozi Wetu wana DHARAU SANAA wananchi wake Hilo lipo wazi Kabisa Kabisa, tena Ni Dharau Iliyopitiliza. Haya matukio sio Mapya nchi kwetu lakini hakuna hata Siku 1 ilitoka Report Ya Tukio la Moto watu wakawajibishwa kwa namna Yoyote ile kama Sio Dharau ni Nini? Yaani Viongozi wetu wanaweza kujua Ugaidi wa Kutaka Kulipua Vituo Vya Mafuta Bila Vipulizi lakini wanashindwa kujua Chanjo za Moto na nani Muhusika?

Mpaka siku, Ikulu iwake moto, Bunge liwake moto.

Wale machinga wote walio lazimishwa kuhamia pale Wamepata Hasara tena hii January [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] watoto wakiwa Wamefaulu kwa kishindo.
Nakwel..waacha matukio yaendelee had tutie akil
 
Duh kila Zama na kitabu Chake! Zama hizi ni kuwakomesha masikini.
Ukiangalia kwa makini hizi lawama tujipe sisi wenyewe maskini. Ndio majority kwa nchi nyingi Africa na yet ndo wanafiki kupitiliza .

Ni sisi maskini ndo huwa tunawaeka madarakani viongozi , na viongozi hao hao wanakuja kuwa watesi wetu na akili hazitukai sawa .

Ccm ngome zake kuu ni sehemu ambazo umasikini umetamalaki , hujapata clue ?

We blacks inawezekana tumekuwa wired differently kwenye kutumia common sense
 
Kwan kuna mtu nmemdirectia lawama ? me nakuambia ww kama wangechoma ofisi yako ndo ungepata akili
Sawa,umeunguziwa kutokana na mauzembe +mazingira ya hapo
Kamati imeundwa,what's next????

Ova
 
Huu Moto umesetiwa Kia's kwamba Ni ngumu kuuzima

Mazingira ya karume Ni rahisi Sana kuzima Moto tofaut na k'koo au pengine.

Bila shaka
Ilishamwagwa petroli kuzunguka soko lote,Moto unazunguka afu unakutana katikati.

Hapo huokoi chochote
Pale huwa watu wapo. Petrol harufu ingesikika, vitu vya Karume vyenyewe tu ni petrol
 
Serikali bila kujua indirectly inaua mabenki na vikundi vya mikopo midogomidogo maana hawa wahanga wote pesa zao zinatoka huko sasa watarejeshaje, mwisho wa siku Uchumi utaanguka alafu tuanze kutafuta mchawi ni nani. Haya mambo ya kipuuzi sasa yafikie ukomo
Hawajali wenyewe uchumi uwe mzuri au udorore. Kwasabab Wana mabilion waliyoiba na kuyaficha. CDF tu ukuta wa merirani kalamba 450 m USD.

Sky Eclat
 
Back
Top Bottom