Soko la Karume limeungua moto

Jambo kubwa alilofaulu Makalla kwenye Maisha yake ni kuchoma masoko moto.
 
Upuuzi wetu wtzednia, yaani tunaona kabisa srkl hii iko kwa ajili ya matumbo yao, lakini bado tunawachekea, Acha kila mmoja aguswe ndipo sasa tuamke.
Mkuu wangu ulichoongea hiki hapa👇😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Walin Walinzi wa soko wanasemaje?
 
Kwani muunguzaji ni nani?!
 
Hamna binadamu anayependwa na kila mtu hajawahi kuumbwa ww kama humpendi ni ww,ila kwa wengine ataendelea kuwa bora na shujaa ,watakao mpenda wataongea mazuri yake na watakao mchukia wataongea mabaya yake.
 
Lakini ndo wakome maana yaliitishwa maandamo wakajifanya wako bize na mambo yao na vitambulisho feki,haya sasa wakale walipopeleka mboga...

Watz hawasikii mpaka wapigwe nyundo km hizi
 
Uko sahihi kabisa. Tatizo ni kwamba watu hapa wameanza kuingiza siasa.. kwa mambo ambayo wala hawana uhakika.
Makala akiwa mbeya moto kila siku masokoni.kaja dar masoko mawili tayari,watu wanaunga dot nakujiuliza why?,japo hakuna ushahidi kwamba makala anahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…