Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mawaziri wanapata nje ya mishahara yao na rais anaona ni sawa tu acha wapate ila wajipimie wasichukue kingi?Hii nchi nyepesi sana kuongoza. Imagine kauli kama hii halafu watu tumeona ni jambo la kawaida tu.
Itakua Ni mbinu yake kuwaondoa machingaAmos Makala kila mkoa anaoshika lazima masoko yaungue,ana nyota ta moto
Ni lini masikini alika na raha?Duh kila Zama na kitabu Chake! Zama hizi ni kuwakomesha masikini.
1.KariakooMakala akiwa mbeya moto kila siku masokoni.kaja dar masoko mawili tayari,watu wanaunga dot nakujiuliza why?,japo hakuna ushahidi kwamba makala anahusika
Viongozi hawaulizwi maswali magumu,na hata ikitokea wameulizwa sio lazima kuyatolea majibu sahihi.Kwamba mawaziri wanapata nje ya mishahara yao na rais anaona ni sawa tu acha wapate ila wajipimie wasichukue kingi?
Hii nchi.
Ripoti haitotoka kwani ya kariakoo ilitoka liniKariakoo, Mwenge, Karume. Haya bana tusubiri ripoti kutoka tume ya uchunguzi halafu maisha mengine yaendelee.
Watu mnapenda kukurupuka! Wapi nimeandika masikini alikuwa na Raha au karaha? Hujui kusoma? Nimeandika nilichoandika kutokuelewa kwako hainihusu.Ni lini masikini alika na raha?
Una ushahidi?GSM yupo kazini...
Machinga hawatakiwi mjini solution ni kurudi vijijini kushika jembeHii imekuwa style mpya ya kuwaondoa machinga hivyo wanaunguza usiku masoko!
Utasikia tutalujenga upya soko kwa hiyo muamie sehemu fulani!
Machinga mwaka huu mtaisoma namba!
HahahahahaAmos Makala kila mkoa anaoshika lazima masoko yaungue,ana nyota ta moto
Huu Moto umesetiwa Kia's kwamba Ni ngumu kuuzimaKwanini mara nyingi masoko ya wafanyabiashara hawa yanaungua usiku?
Mchana moto unaogopa kuteketeza mali za watu? Moto una aibu?
Ile taarifa ya kamati ya kuchunguza moto uliotekeza soko la Kariakoo July 2021 kwanini haijatoka? Miezi sita sasa. Kuna maswali mengi, nakosa majibu!
Soko la Karume ni kati ya sehemu ambazo vijana wa kipato cha kati na chini hujipatia mahitaji na kipato chao.
Hakuna kilichookolewa. Wajasiriamali wamepoteza mitaji na hakuna wa kuwafidia.
Mavi-jana yanalipwa na serikali ya CCM kwa kuiweka CCM madarakani[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2083135View attachment 2083136
Fire yenyewe ina magari 3 halafu unakuta kuna shangingi VXR za kushato kitaaIla Fire wapo karibu na Karume imekuaje wameshindwa ushughulikia huu moto?
Tumejifunza nini kutokana na kuungua kwa soko la KKoo?
Umefika wakati wa kujenga masoko yenye fire alarm.
Wamiliki upande ndani ya masoko wapate elimu ya lazima juu ya moto revisited frequently.
Contacts za Emergency zijuilikane na wote. Kama hotline haipo iwe established sasa.
Hii tred ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?
Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.
Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.
Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.
Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.
View attachment 2083158
Makala mzee wa moto[emoji2]Jambo kubwa alilofaulu Makalla kwenye Maisha yake ni kuchoma masoko moto.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1782][emoji1782][emoji1782]View attachment 2083206View attachment 2083207