Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Hii sasa itakuwa makusudi kuna watu wanafanya haya matukio sio bure aisee
 
Kwanini mara nyingi masoko ya wafanyabiashara hawa yanaungua usiku?

Mchana moto unaogopa kuteketeza mali za watu? Moto una aibu?

Ile taarifa ya kamati ya kuchunguza moto uliotekeza soko la Kariakoo July 2021 kwanini haijatoka? Miezi sita sasa. Kuna maswali mengi, nakosa majibu!

Soko la Karume ni kati ya sehemu ambazo vijana wa kipato cha kati na chini hujipatia mahitaji na kipato chao.

Hakuna kilichookolewa. Wajasiriamali wamepoteza mitaji na hakuna wa kuwafidia.

Mavi-jana yanalipwa na serikali ya CCM kwa kuiweka CCM madarakani[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2083135View attachment 2083136
Huu Moto umesetiwa Kia's kwamba Ni ngumu kuuzima

Mazingira ya karume Ni rahisi Sana kuzima Moto tofaut na k'koo au pengine.

Bila shaka
Ilishamwagwa petroli kuzunguka soko lote,Moto unazunguka afu unakutana katikati.

Hapo huokoi chochote
 
Inasikitisha sana.... Utaratibu huu unawatia hasara wafanyabiashara wadogo...
 
Ila Fire wapo karibu na Karume imekuaje wameshindwa ushughulikia huu moto?

Tumejifunza nini kutokana na kuungua kwa soko la KKoo?

Umefika wakati wa kujenga masoko yenye fire alarm.

Wamiliki upande ndani ya masoko wapate elimu ya lazima juu ya moto revisited frequently.

Contacts za Emergency zijuilikane na wote. Kama hotline haipo iwe established sasa.
Fire yenyewe ina magari 3 halafu unakuta kuna shangingi VXR za kushato kitaa
 
Hii tred ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.
View attachment 2083158
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!​
 
Back
Top Bottom