Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Tumerudi kwenye tume na kamati zetu zisizo na majibu,watu wanajipigia tu hela. Ile kamati ya kariakoo shimoni imerudi na majibu gani.
😑😑😑
 
Cha ajabu kwa nini matukio haya hutokea usiku tu?
Au yanachomwa!!!😳😳😳
 
Napita mida hii kariakoo naona watu wanajenga upya lile soko na vitochi yani hawajasubiri hata kukuche.....aiseeee
Hii ilala na karume ni Maeneo yangu aya niliyozaliwa na kukulia na mpaka leo naish humu humu,
nakuapia hakuna wafanya biashara wabishi,fighters na wahuni kama wasoko la karume,
Wahuni na wakabaji wengi wa kariakoo na mchikichini wali achaga izo mishe wakajiajiri mule ndani, asubuhi wanaenda kulenga mali hasa viatu af wanauza limepunguza sana wezi na wakabaji lile soko,
Kuwahamisha pale inabd nguvu ya ziada itumike,kwanza wengi ni watoto wa kariakoo,jangwani,kigogo,ilala na buguruni maisha yao yote wanacheza maeneo hayo t unampelekaje buza uyu mtu.
kuwahamisha sio rahisi ivo kama wanavyozani na wakitumia nguvu sana kuna vita inakuja,
Wale watu hawataenda popote nakuapia.
Kuna kitu kitatokea stay tunned.
 
Tunajua soko limeungua sawa vijana wamejitafuta wakapata visenti wakajenga Tena vibanda

La Jambo la ajabu asubh wanarud vimebanda vile vimebomolewa na jeshi la polisi

Kwa lugha nyepesi hao wamachinga hawatakiwi kuwepo pale na waliochoma Moto soko ndio haohao waliobomoa vibanda usiku wa kuamkia leo

Ukibomolewa nyumba yako na baadae ukaanza kujenga Tena siku ya pili yake unamkuta mtu anabomoa msingi maaana yake huyo ndyo aliyekubomolea awali jiongezeni

ADUI WA MAENDELEO N SERIKALI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka akili zitakapokuja .

Safi Sana ..

Wakat mnashangilia uchaguzi kwa kupewa 5000 na t-shirt Leo mnavuna mlichopanda ...

Mlifikili wataisoma namba wapinzani ..

Safi kabisa
 
Kajenge tubomoe tena, uje kuandika kwenye social media kama watakusaidia. Tafuta mbadala Kwa Sasa
 
Hii ilala na karume ni Maeneo yangu aya niliyozaliwa na kukulia na mpaka leo naish humu humu,
nakuapia hakuna wafanya biashara wabishi,fighters na wahuni kama wasoko la karume,
Wahuni na wakabaji wengi wa kariakoo na mchikichini wali achaga izo mishe wakajiajiri mule ndani, asubuhi wanaenda kulenga mali hasa viatu af wanauza limepunguza sana wezi na wakabaji lile soko,
Kuwahamisha pale inabd nguvu ya ziada itumike,kwanza wengi ni watoto wa kariakoo,jangwani,kigogo,ilala na buguruni maisha yao yote wanacheza maeneo hayo t unampelekaje buza uyu mtu.
kuwahamisha sio rahisi ivo kama wanavyozani na wakitumia nguvu sana kuna vita inakuja,
Wale watu hawataenda popote nakuapia.
Kuna kitu kitatokea stay tunned.
Yetu macho
 
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158
Mnaacha kumuona adui yenu mnaanza kumshambulia mama Samia na wana CCM lakini ukweli utabaki kuwa adui namba moja wa Binadamu wote duniani ni serikali na taasisi zake! Imeisha hiyo.
 
Kuna Haja ya Kuhakikisha na kujiridhisha sana sana na cheo cha MAKAMU wa RAIS maana kwa maana nyingine Huyo ni RAIS.

Hizi pigo za kuwekeana makamu wa rais kwa kuangalia usawa wa kijinsia ili kubalance mzani (kama ilivyokua) huu ni uduanzi utaotunyoosha mpaka tunyooke.

Hizi majanga majanga kwa wajasiriamali/wafanyabiashara wadogo wadogo zinaendelea na zinaelekea kukomaa...

ila Nampa pole huyo anaetumwa kutekeleza haya mambo maana siku tutapomtia mikononi Sheria itakua ya mwisho kufuatwa maana atakachofanywa Atanena kwa lugha zote. ipo siku isiyo na jina.

Hata sisi tuna tume zetu za uchunguzi na huwa zinakujaga na majibu kuntu haswaa..
 
Hii ripoti ya serikali sikivu ipo wapi?
images - 2024-12-24T151705.139.jpeg
 
Back
Top Bottom