SOKO: Wanaohitaji kununua vitu used kwa bei ndogo pitieni hapa

Pia kama kuna kitu unahitahi sijakipost , niagize nakutaftia unakipata kwa muda mfupi, karibu sana.

Pia kama una kitu kibovu unahitaji fundi wa kukitengeneza, karibu sana.

0752329591
 
Wakuu,

Boss wetu anahama, hivyo anauza kila kitu unachokiona hapa. Ukija na 1,150,000 unachukua kila kitu. Lakini kwa kimoja kimoja ni kama ifuatavyo

Sofaset (Leatherz) - 350,000 watu 6.
Tv Samsung (40 Inch original) - 450,000- SOLD
Showcase (under tv) - 250,000 - SOLD

Karibuni sana tumuhamishe boss wetu kwa bei nzuri. Sofa ni pure leather na soft material (sio magumu ni raini).

Location: Gongo la Mboto kambi ya jeshi.
Contact: 0752329591
 
Wakuu habari.
Hivi ni vipya kabisa sio used.

Kitanda na bedside mbili na taa 760000
Kitanda kitupu 460000
Kitanda na bedside mbili bila taa 660000
usafili bure ndani ya dar mzigo ukifika kwako ndipo unalipia pesa njoo whtsApp 0752329591
 
Kwa wale.mnaopenda vitu unique jamani, wale mnaopenda tukiwatembelea tushtuke, Pasi hiyo.

Morphy Richard Brand
Price: 260,000
Unatumiwa popote
Piga: 0752329591





 
Wale.mliorequest Tv haya changamkia hii haoa Inch 40"
Samsung LED 40Inch
Unapata na box lake
Price: 450,000
Location: Gongo la Mboto.
Contact: 0752329591
 
Haya wale tunaotqka sofa za kisasa.
Sofaset za kisasa kabisa
watu 6
Pure leather and soft material
Price: 330,000
Contact: 0752329591
Location: Gongo la mboto.
View attachment 2564131
 

Attachments

  • IMG-20230314-WA0022.jpg
    37.4 KB · Views: 15
  • IMG-20230314-WA0025.jpg
    40.1 KB · Views: 14
  • IMG-20230314-WA0024.jpg
    29.5 KB · Views: 15
Good morning wateja. Is another day, najua kila mtu ameamka salama. Karibuni karibuni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…