Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

Acha roho ya korosho Fundi!

Mzee umri umeenda. Na ni mtu mwenye kimo kifupi. Anahangaika kuzipanda SUV.

Kwa hali yake ya sasa, sedan ndo inamfaa.

I can’t begrudge a 96 year old man getting a Mercedes Benz sedan for his use.

To me it’s a no biggie!

Una roho mbaya wewe Fundi Mchundo 😁 kama yule rafiki yako Kuhani!
Nobody begrudges him getting a sedan. We just think he should buy himself one. And what if he just loves suvs and continues to use his vieiti?

Unamuonea Kuhani. He is a good guy.

Amandla...
 
It's a law of nature. Mwenye nacho huongezewa. Asiyekuwa nacho, basi anaweza kunyang'anywa hata kidogo alichobahatika kuwa nacho ili achukue mwenye nacho kingi tayari...

Mwinyi anapewa zawadi ya gari aina ya Germany Technology Mercedes Benz na serikali na siyo Mama Samia Suluhu Hassani...

Inashangaza kidogo kwa sababu kiongozi mstaafu kama Mwinyi mwenye privileges na marupurupu kibao na mwenye familia nzuri yenye watoto wenye nyadhifa kubwakubwa na uwezo Mkubwa wa kiuchumi ktk jamii, anashindwaje kujinunulia yeye mwenyewe gari atakalo kwa mahitaji yake kwa gharama zake toka ktk fedha nyingi anazolipwa na serikali wakati wote...?

It doesn't make any sense at all, ... right...?

Mama Samia Suluhu Hassani, Rais wa JMT umeanza kuboronga mapema sana. Unaanza kulewa madaraka mapema sana. Unaanza kuanza kuyatumia madaraka yako ya Urais vibaya mapema sana...!

I am afraid to say that, this is very dangerous move to your presidency...

Nakuhakikishia kuwa, unaweza kuishia kuwa Rais wa hovyo sana pengine kuliko hata Mwendazake Pombe Magufuli...!!

LABDA UNASAHAU HARAKA SANA....

Kumbuka, ni wiki jana tu umetoka Mwanza kwenye sherehe za Mei Mosi. Wafanyakazi waliitaka serikali yako ingalau iwaongezee mshahara ingalau hata Shilingi 50,000 tu kwa kila mfanyakazi. Ulijitetea vizuri, ukaeleweka na wakasema watakuvumilia hadi mwakani sawasawa na ombi lako...

Aidha kumbuka jana tu pia ulikusanya walioitwa "wazee wa Dar". Wakaiomba serikali yako unayoingoza ifanye vitu vidogo kadhaa vinavyohitaji fedha...

"Malkia wa maneno matamu" ukajitetea vizuri sana kwa maneno yako matamu kwelikweli huku ukisingizia hali mbaya ya uchumi wa nchi kama sababu...

Ukawaomba wakupe muda ili ujipange na kuona hali itakuwaje. Wazee wale kwa nilivyowatazama nyuso zao, ni kama walikuelewa na wakakupa " benefit of doubt..."

Lakini leo katika hali ya kushangaza unaamua kumzawadia fedha za wazee na wafanyakazi hawahawa wa nchi hii Mzee Ally H. Mwinyi uliyoiita "zawadi ya birthday" gari aina ya Mercedes Benz yenye thamani ya kiasi cha fedha za kitanzania kati ya 900,000,000 hadi 6,900,000,000 (bilioni 6.9)....!!

Are you really serious Madam President..?

Labda Madam President wewe na watu wako mnadhani Watanzania ni wajinga sana, hawajui gharama za magari hayo kama ni mapya. Ngoja tukueleze...

Binafsi niliposikia tu unachotaka kufanya kwa Mwinyi, haraka haraka nimetembelea soko la aina hii ya magari mapya mtandaoni, nimeshangaa kwa sababu bei yake ni kubwa sana..

Mercedes Benzi ya bei ndogo kabisa kwa kuzingatia muundo na toleo ni USD 400,000 sawa na Tshs. 920,000,000...!!

Ya bei ya juu kabisa ni USD 3,000,000 sawa na Tshs 6, 900,000,000 (bilioni 6.9..!!!)

Hapa chini ni baadhi ya picha ya magari haya..
View attachment 1779132View attachment 1779134

Hivi unadhani kuna sababu gani ya Watanzania kuendelea kuamini kuwa wewe mama kama kiongozi wa nchi hii unakwenda kufanya tofauti na aliyekutangulia nawe kwa bahati tu umejikuta ni Rais wa nchi hii...?

It's a wrong decision at a wrong time...

Achana na hii kitu. Hizo fedha unazoziona hapo siyo zako. Ni fedha za Watanzania zaidi ya 60,000,000. Tafadhali usuanze kupagawa mapema hivi, utaharibikiwa. Tumia busara na hekima kuzitumia fedha hizo ili kila Mtanzania aone impact yake..

Unapata wapi ujasiri wa kumzawadia mtu mmoja Tshs. 900,000,000 (huku tayari akiwa fedha zake nyingi tu) kati kati ya kundi kubwa la wananchi unaowaongoza ambao zaidi 30% wanaishi katikati ya umasikini uliotopea...??


View attachment 1779225

View attachment 1779135

View attachment 1779136

View attachment 1779137

View attachment 1779223

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Wakati hizo sheria zinatungwa, Mama Samia Hassan alijua kuwa atakuja kuwa Rais? Hata mtoto wako akija kuwa Rais Mstaafu atapewa nyumba na gari za serikali.
Ulimsikia Rais kweli?

Anachopewa si kwa mujibu wa kanuni....

Gari hilo anamilikishwa iwe mali yake kwa gharama ya kodi yako na yangu Mimi...

Ni zawadi yake ya "Birthday". Sasa utampaje mtu zawadi halafu iwe ni mali ya serikali tena?

Huu ndiyo mjadala na hili ndilo tatizo..
 
Yes, zizingatiwe hizo sina tatizo nazo..

Serikali kutoa zawadi ya "birthday" ya gari aina ya Mercedes Benz lenye thamani ya karibu bilioni kadhaa ni kufuata kanuni za kumtunza Rais Mstaafu wa nchi...?
Mkuu, ninadhani amebadilishiwa gari kutoka lile la zamani na kupewa jipya litakaloendana na umri pamoja na hali ya afya yake. Kumbuka kuwa huyu ni mzee wa miaka zaidi ya 90.

Kinachokusumbua wewe ni neno "zawadi" bila shaka.
 
Nobody begrudges him getting a sedan. We just think he should buy himself one. And what if he just loves suvs and continues to use his vieiti?

Unamuonea Kuhani. He is a good guy.

Amandla...
If he loves his SUV that much that he can’t separate himself from it then he should say ‘thanks, but no thanks’ and give it [the sedan] back.

As simple as that!
 
It's a law of nature. Mwenye nacho huongezewa. Asiyekuwa nacho, basi anaweza kunyang'anywa hata kidogo alichobahatika kuwa nacho ili achukue mwenye nacho kingi tayari...

Mwinyi anapewa zawadi ya gari aina ya Germany Technology Mercedes Benz na serikali na siyo Mama Samia Suluhu Hassani...

Inashangaza kidogo kwa sababu kiongozi mstaafu kama Mwinyi mwenye privileges na marupurupu kibao na mwenye familia nzuri yenye watoto wenye nyadhifa kubwakubwa na uwezo Mkubwa wa kiuchumi ktk jamii, anashindwaje kujinunulia yeye mwenyewe gari atakalo kwa mahitaji yake kwa gharama zake toka ktk fedha nyingi anazolipwa na serikali wakati wote...?

It doesn't make any sense at all, ... right...?

Mama Samia Suluhu Hassani, Rais wa JMT umeanza kuboronga mapema sana. Unaanza kulewa madaraka mapema sana. Unaanza kuanza kuyatumia madaraka yako ya Urais vibaya mapema sana...!

I am afraid to say that, this is very dangerous move to your presidency...

Nakuhakikishia kuwa, unaweza kuishia kuwa Rais wa hovyo sana pengine kuliko hata Mwendazake Pombe Magufuli...!!

LABDA UNASAHAU HARAKA SANA....

Kumbuka, ni wiki jana tu umetoka Mwanza kwenye sherehe za Mei Mosi. Wafanyakazi waliitaka serikali yako ingalau iwaongezee mshahara ingalau hata Shilingi 50,000 tu kwa kila mfanyakazi. Ulijitetea vizuri, ukaeleweka na wakasema watakuvumilia hadi mwakani sawasawa na ombi lako...

Aidha kumbuka jana tu pia ulikusanya walioitwa "wazee wa Dar". Wakaiomba serikali yako unayoingoza ifanye vitu vidogo kadhaa vinavyohitaji fedha...

"Malkia wa maneno matamu" ukajitetea vizuri sana kwa maneno yako matamu kwelikweli huku ukisingizia hali mbaya ya uchumi wa nchi kama sababu...

Ukawaomba wakupe muda ili ujipange na kuona hali itakuwaje. Wazee wale kwa nilivyowatazama nyuso zao, ni kama walikuelewa na wakakupa " benefit of doubt..."

Lakini leo katika hali ya kushangaza unaamua kumzawadia fedha za wazee na wafanyakazi hawahawa wa nchi hii Mzee Ally H. Mwinyi uliyoiita "zawadi ya birthday" gari aina ya Mercedes Benz yenye thamani ya kiasi cha fedha za kitanzania kati ya 900,000,000 hadi 6,900,000,000 (bilioni 6.9)....!!

Are you really serious Madam President..?

Labda Madam President wewe na watu wako mnadhani Watanzania ni wajinga sana, hawajui gharama za magari hayo kama ni mapya. Ngoja tukueleze...

Binafsi niliposikia tu unachotaka kufanya kwa Mwinyi, haraka haraka nimetembelea soko la aina hii ya magari mapya mtandaoni, nimeshangaa kwa sababu bei yake ni kubwa sana..

Mercedes Benzi ya bei ndogo kabisa kwa kuzingatia muundo na toleo ni USD 400,000 sawa na Tshs. 920,000,000...!!

Ya bei ya juu kabisa ni USD 3,000,000 sawa na Tshs 6, 900,000,000 (bilioni 6.9..!!!)

Hapa chini ni baadhi ya picha ya magari haya..
View attachment 1779132View attachment 1779134

Hivi unadhani kuna sababu gani ya Watanzania kuendelea kuamini kuwa wewe mama kama kiongozi wa nchi hii unakwenda kufanya tofauti na aliyekutangulia nawe kwa bahati tu umejikuta ni Rais wa nchi hii...?

It's a wrong decision at a wrong time...

Achana na hii kitu. Hizo fedha unazoziona hapo siyo zako. Ni fedha za Watanzania zaidi ya 60,000,000. Tafadhali usuanze kupagawa mapema hivi, utaharibikiwa. Tumia busara na hekima kuzitumia fedha hizo ili kila Mtanzania aone impact yake..

Unapata wapi ujasiri wa kumzawadia mtu mmoja Tshs. 900,000,000 (huku tayari akiwa fedha zake nyingi tu) kati kati ya kundi kubwa la wananchi unaowaongoza ambao zaidi 30% wanaishi katikati ya umasikini uliotopea...??


View attachment 1779225

View attachment 1779135

View attachment 1779136

View attachment 1779137

View attachment 1779223
Jinyonge
 
Unadhani kuwa nina mawazo ya kimasikini siyo? Huwezi kutumia mali ya mtu mwingine kutamba nayo huku ukijitapa kuwa wewe ni tajiri kumbe ni mwizi na masikini wa akili tu...!!

Nisingeweza kusema Samia Suluhu ampe zawadi gani baba yake kwa sababu hayo ni mambo yake binafsi...

Inashitusha kusikia kuwa "serikali Mwinyi zawadi ya Birthday" Gari aina ya Mercedes Benz...!!

Kama ni "serikali" inampa, straight hizo ni fedha zetu walipa Kodi...

Hii siyo sahihi hata kama iñgekuwa RAV4 ya mwaka 1998...

Huyu mzee tayari tunamgharamia kwa kumpa privileges & marupurupu kibao tu kama kodi zetu...

It's very unfair kuchukua kiasi kikubwa cha fedha kama hiki kumpa mtu yuleyule wakati kuna wananchi mahali wanahitaji 50,000,000 tu wapate zahaanati ya kijiji na kuokoa maisha ya maelfu ya watoto na kinamama...

This is selfishness of the highest order...
Mkuu matatizo yanayopigiwa kelele kama haya suluhisho lake ni katiba mpya na mabadiliko ya kimfumo, hivyo kujengeana majumba, kupeana magari, kulindana wasishtakiwe baada ya kutoka madarakani... "tuwaache wazee wapumzike!!" Bila kubadilika kwa katiba hizi ni kelele tupu. Tumwache mzee wetu ale birthday yake vizuri
 
Maskini wataendelea kufa na vinono vitaliwa na matajiri na wanasiasa milele na milele. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan muda mwingine nawaza why Jah anaruhusu haya?
 
Mkuu, ninadhani amebadilishiwa gari kutoka lile la zamani na kupewa jipya litakaloendana na umri pamoja na hali ya afya yake. Kumbuka kuwa huyu ni mzee wa miaka zaidi ya 90.

Kinachokusumbua wewe ni neno "zawadi" bila shaka.
Watoe "PRESS RELEASE" ya Ikulu warekebishe hili...

Otherwise, Rais Samia alisikika vyema kwa kinywa na sauti yake mwenyewe akisema "serikali itampa "zawadi ya birthday" na siyo kumbadilishia gari...

After all ingekuwa ni kubadilisha tu, kusingekuwa na haja ya kulisema kwa mbwembwe na tambo vile mbele ya kamera za TV huku ikijulikana kuwa hiyo ni haki yake huyu Mzee...

In my opinion, Mama anaanza kulewa sifa mapema sana hata zinaanza kumfanya aanze kufanya mambo mengine kwa sifa huku akiharibu...
 
Mkuu matatizo yanayopigiwa kelele kama haya suluhisho lake ni katiba mpya na mabadiliko ya kimfumo, hivyo kujengeana majumba, kupeana magari, kulindana wasishtakiwe baada ya kutoka madarakani... "tuwaache wazee wapumzike!!" Bila kubadilika kwa katiba hizi ni kelele tupu. Tumwache mzee wetu ale birthday yake vizuri

Yes. I agree with you..

Let's fight for "katiba mpya" using all means possible...
 
Unadhani kuwa nina mawazo ya kimasikini siyo? Huwezi kutumia mali ya mtu mwingine kutamba nayo huku ukijitapa kuwa wewe ni tajiri kumbe ni mwizi na masikini wa akili tu...!!

Nisingeweza kusema Samia Suluhu ampe zawadi gani baba yake kwa sababu hayo ni mambo yake binafsi...

Inashitusha kusikia kuwa "serikali Mwinyi zawadi ya Birthday" Gari aina ya Mercedes Benz...!!

Kama ni "serikali" inampa, straight hizo ni fedha zetu walipa Kodi...

Hii siyo sahihi hata kama iñgekuwa RAV4 ya mwaka 1998...

Huyu mzee tayari tunamgharamia kwa kumpa privileges & marupurupu kibao tu kama kodi zetu...

It's very unfair kuchukua kiasi kikubwa cha fedha kama hiki kumpa mtu yuleyule wakati kuna wananchi mahali wanahitaji 50,000,000 tu wapate zahaanati ya kijiji na kuokoa maisha ya maelfu ya watoto na kinamama...

This is selfishness of the highest order...
Mkuu matatizo yanayopigiwa kelele kama haya suluhisho lake ni katiba mpya na mabadiliko ya kimfumo, hivyo kujengeana majumba, kupeana magari,
Mkuu, ninadhani amebadilishiwa gari kutoka lile la zamani na kupewa jipya litakaloendana na umri pamoja na hali ya afya yake. Kumbuka kuwa huyu ni mzee wa miaka zaidi ya 90.

Kinachokusumbua wewe ni neno "zawadi" bila shaka.
Wengi wetu tafsiri zetu ni za neno kwa neno pasi kujipa muda wa kutafakari... wengi wetu tumeona neno "zawadi" pekee kuliko neno "kubadilishiwa" kisa TUONEKANE TUMELETA MJADALA WA MAANA!!!
 
It's a law of nature. Mwenye nacho huongezewa. Asiyekuwa nacho, basi anaweza kunyang'anywa hata kidogo alichobahatika kuwa nacho ili achukue mwenye nacho kingi tayari...

Mwinyi anapewa zawadi ya gari aina ya Germany Technology Mercedes Benz na serikali na siyo Mama Samia Suluhu Hassani...

Inashangaza kidogo kwa sababu kiongozi mstaafu kama Mwinyi mwenye privileges na marupurupu kibao na mwenye familia nzuri yenye watoto wenye nyadhifa kubwakubwa na uwezo Mkubwa wa kiuchumi ktk jamii, anashindwaje kujinunulia yeye mwenyewe gari atakalo kwa mahitaji yake kwa gharama zake toka ktk fedha nyingi anazolipwa na serikali wakati wote...?

It doesn't make any sense at all, ... right...?

Mama Samia Suluhu Hassani, Rais wa JMT umeanza kuboronga mapema sana. Unaanza kulewa madaraka mapema sana. Unaanza kuanza kuyatumia madaraka yako ya Urais vibaya mapema sana...!

I am afraid to say that, this is very dangerous move to your presidency...

Nakuhakikishia kuwa, unaweza kuishia kuwa Rais wa hovyo sana pengine kuliko hata Mwendazake Pombe Magufuli...!!

LABDA UNASAHAU HARAKA SANA....

Kumbuka, ni wiki jana tu umetoka Mwanza kwenye sherehe za Mei Mosi. Wafanyakazi waliitaka serikali yako ingalau iwaongezee mshahara ingalau hata Shilingi 50,000 tu kwa kila mfanyakazi. Ulijitetea vizuri, ukaeleweka na wakasema watakuvumilia hadi mwakani sawasawa na ombi lako...

Aidha kumbuka jana tu pia ulikusanya walioitwa "wazee wa Dar". Wakaiomba serikali yako unayoingoza ifanye vitu vidogo kadhaa vinavyohitaji fedha...

"Malkia wa maneno matamu" ukajitetea vizuri sana kwa maneno yako matamu kwelikweli huku ukisingizia hali mbaya ya uchumi wa nchi kama sababu...

Ukawaomba wakupe muda ili ujipange na kuona hali itakuwaje. Wazee wale kwa nilivyowatazama nyuso zao, ni kama walikuelewa na wakakupa " benefit of doubt..."

Lakini leo katika hali ya kushangaza unaamua kumzawadia fedha za wazee na wafanyakazi hawahawa wa nchi hii Mzee Ally H. Mwinyi uliyoiita "zawadi ya birthday" gari aina ya Mercedes Benz yenye thamani ya kiasi cha fedha za kitanzania kati ya 900,000,000 hadi 6,900,000,000 (bilioni 6.9)....!!

Are you really serious Madam President..?

Labda Madam President wewe na watu wako mnadhani Watanzania ni wajinga sana, hawajui gharama za magari hayo kama ni mapya. Ngoja tukueleze...

Binafsi niliposikia tu unachotaka kufanya kwa Mwinyi, haraka haraka nimetembelea soko la aina hii ya magari mapya mtandaoni, nimeshangaa kwa sababu bei yake ni kubwa sana..

Mercedes Benzi ya bei ndogo kabisa kwa kuzingatia muundo na toleo ni USD 400,000 sawa na Tshs. 920,000,000...!!

Ya bei ya juu kabisa ni USD 3,000,000 sawa na Tshs 6, 900,000,000 (bilioni 6.9..!!!)

Hapa chini ni baadhi ya picha ya magari haya..
View attachment 1779132View attachment 1779134

Hivi unadhani kuna sababu gani ya Watanzania kuendelea kuamini kuwa wewe mama kama kiongozi wa nchi hii unakwenda kufanya tofauti na aliyekutangulia nawe kwa bahati tu umejikuta ni Rais wa nchi hii...?

It's a wrong decision at a wrong time...

Achana na hii kitu. Hizo fedha unazoziona hapo siyo zako. Ni fedha za Watanzania zaidi ya 60,000,000. Tafadhali usuanze kupagawa mapema hivi, utaharibikiwa. Tumia busara na hekima kuzitumia fedha hizo ili kila Mtanzania aone impact yake..

Unapata wapi ujasiri wa kumzawadia mtu mmoja Tshs. 900,000,000 (huku tayari akiwa fedha zake nyingi tu) kati kati ya kundi kubwa la wananchi unaowaongoza ambao zaidi 30% wanaishi katikati ya umasikini uliotopea...??


View attachment 1779225

View attachment 1779135

View attachment 1779136

View attachment 1779137

View attachment 1779223
Acha propaganda za kitoto na picha zako za kuokota okota mitandaoni, ni wapi umeona kuwa mwinyi amepewa gari la kiasi hicho ? Hujui lakini hata gari la rais mwenyewe halijafika thamani hiyo. Mataga mna kiwewe sana !
 
Back
Top Bottom