Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usitukumbushe mambo ya lile jamaa. Ila huyu naye anaanza kutupa wasiwasi wafwasi wake. Siye wengine huwa hatuchelewi kupiga u-turnJe ule wa mwendazake walikuwa wanatumia gari za bei ndogo?
Tunahitaji kuona picha ya aina ya benz alilopewa Mzee Dr Ally Hassan Mwinyi. Yawezekana kapewa la bei ndogo!
Rais mstaafu hutunzwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi.kiongozi mstaafu kama Mwinyi mwenye privileges na marupurupu kibao na mwenye familia nzuri yenye watoto wenye nyadhifa kubwakubwa na uwezo Mkubwa wa kiuchumi ktk jamii, anashindwaje kujinunulia yeye mwenyewe gari atakalo kwa mahitaji yake kwa gharama zake toka ktk fedha nyingi anazolipwa na serikali wakati wote...?
Wanajitungiaga sheria za kujipongeza wao wenyewe..Rais mstaafu hutunzwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi.
Unadhani kuwa nina mawazo ya kimasikini siyo? Huwezi kutumia mali ya mtu mwingine kutamba nayo huku ukijitapa kuwa wewe ni tajiri kumbe ni mwizi na masikini wa akili tu...!!Kwa hiyo na wewe ulitaka Mzee Ruksa apewe IST?
Mtu mmoja alipata kusema "maskini wana roho mbaya sana!!"
Wakati hizo sheria zinatungwa, Mama Samia Hassan alijua kuwa atakuja kuwa Rais? Hata mtoto wako akija kuwa Rais Mstaafu atapewa nyumba na gari za serikali.Wanajitungiaga sheria za kujipongeza wao wenyewe..
Rais mstaafu hutunzwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi.