Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

Watanzania tuna midomo sana ,haya mambo yako kisheria,kila baada ya miaka 5 ,rais mstaafu hubadilishiwa gari,hivyo badala ya kupewa kilimo kwanza ambalo. haliendani na uzee wake,mzee mwenyewe aliomba apewe gari ya chini hivyo kapewa Benz ambayo bei yake haitofautiani sana na lile dude V8 la kibabe.alichokosea mama ni kumpa kwa kutumia kama kiki ya kisiasa ,kuwananga mataga ambao wanaona kama mwinyi yuko upande wao,bongo siasa zimetuelemea kama pombe kwa mlevi,hata kwenye soda tunatia k-vant
 
Acha upumbavu mkuu hivi unaona wivu Raisi mstaafu kupewa gari Tena Mzee WA miaka 96 wa Tanzania Sjui tunashida gani.
 
If he loves his SUV that much that he can’t separate himself from it then he should say ‘thanks, but no thanks’ and give it [the sedan] back.

As simple as that!
The presidential institution is heavy on him. Although he once lead that institution; there is no way he can turn down the 'Sedan' from the current leader of the institution. Besides Mzee has all good reasons to support a legitimacy of our Mama.

Nyani Ngabu, I think that is cool , right ?
 
Back
Top Bottom