Soma Hapa Ujumbe Mzito Na wa Kizalendo Kutoka Kwa Jeshi La Polisi

Soma Hapa Ujumbe Mzito Na wa Kizalendo Kutoka Kwa Jeshi La Polisi

Fanya kilicho sahihi, hata kama kitakuingiza matatizoni lakini fanya kitu sahihi.

Don't choose the EASY thing to do, choose the RIGHT thing to do.
What goes around comes around.
Mimi natetea Taifa Langu ambalo linaongozwa vyema sana na Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 
Mimi natetea Taifa Langu ambalo linaongozwa vyema sana na Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Haliongozwi vyema na wewe unajua.

Lingekuwa linaongozwa vyema kama unavosena usingekuwa unatumia nguvu nyingi kuanzisha ma-uzi kila siku humu ya kumsifia-sifia kila saa.

Labda udanganye watoto.
 
Haliongozwi vyema na wewe unajua.

Lingekuwa linaongozwa vyema kama unavosena usingekuwa unatumia nguvu nyingi kuanzisha ma-uzi kila siku humu ya kumsifia-sifia kila saa.

Labda udanganye watoto.
Situmii nguvu nyingi wala ya kupita kiasi.bali naandika mazuri na makubwa aliyoyafanya Rais wetu ambayo ni mengi na hamuwezi kumaliza kuyasoma nikisema niyaandike hapa jukwaani
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Kumbukeni kuna askari wetu inafikia wakati wanapata ulemavu wa kudumu na wengine wanafia kazini katika mapambano ya kulinda Taifa letu dhidi ya wahalifu na majambazi. Lakini wanaobakia wanaendelea na kazi ya kutulinda kwa moyo wote bila kukata tamaa wala kukatishwa tamaa japo wamepoteza wenzao katika mapambano.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sasa , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🤣🤣🤣🤣
Watu waliandamana enzi za Magufuli jabari lililoogopwq mpaka nw Wazungu itakuwa enzi hizi. Polisi walinde maandamano endapo zitatokea vurugu hatua stahiki wachukue. Kwanini wanatisha watu hivi? Watu waandamane wakimaliza maandamano watarudi
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Kumbukeni kuna askari wetu inafikia wakati wanapata ulemavu wa kudumu na wengine wanafia kazini katika mapambano ya kulinda Taifa letu dhidi ya wahalifu na majambazi. Lakini wanaobakia wanaendelea na kazi ya kutulinda kwa moyo wote bila kukata tamaa wala kukatishwa tamaa japo wamepoteza wenzao katika mapambano.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sasa , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unafiki ni mzigo mzito sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Kumbukeni kuna askari wetu inafikia wakati wanapata ulemavu wa kudumu na wengine wanafia kazini katika mapambano ya kulinda Taifa letu dhidi ya wahalifu na majambazi. Lakini wanaobakia wanaendelea na kazi ya kutulinda kwa moyo wote bila kukata tamaa wala kukatishwa tamaa japo wamepoteza wenzao katika mapambano.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sasa , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbowe amefanikiwa kuwaandamanisha polisi nchi nzima, kweli akili ku mkichwa.
 
🤣🤣🤣🤣
Watu waliandamana enzi za Magufuli jabari lililoogopwq mpaka nw Wazungu itakuwa enzi hizi. Polisi walinde maandamano endapo zitatokea vurugu hatua stahiki wachukue. Kwanini wanatisha watu hivi? Watu waandamane wakimaliza maandamano watarudi
Unafiki ni mzigo mzito sana
Maandamano yamepigwa marufuku.sasa wewe jifanye kichwa maji utakiona cha mtema kuni ukipeleka pua yako barabarani
 
Situmii nguvu nyingi wala ya kupita kiasi.bali naandika mazuri na makubwa aliyoyafanya Rais wetu ambayo ni mengi na hamuwezi kumaliza kuyasoma nikisema niyaandike hapa jukwaani
Hayo mambo "mazuri na makubwa" aliyoyafanya kama ni kweli tungeyajua tuu broo, kitendo cha wewe hadi kuja humu JF na kuanzisha ma-uzi inamaanisha hana influence.

Kizuri kinaonekana tuu, hakihitaji promo sana.
 
Kwahiyo katiba ya nchi haiheshimiwi na wewe mwamba unaona fresh kabisa yani..unyama kisa 20k???
 
Ni mshahara kiasi gani unaoweza kulingana na uhai wa mtu? Hivi hufahamu askari wetu wameapa kuilinda na kuipigania Nchi yetu mpaka tone lao la Mwisho la Damu? Hufahamu kuwa wengine wanakufa wakiwa kwenye majukumu ya kutulinda watanzania? Kwanini unakosa akili na hekima kiasi hicho?
WAPO KULINDA WANAOTUMA KUTEKA NA KUUA
 
Niwaombe wadau wote wenye uzoefu wa gharama za kutibu majeraha yatokanayo na vurugu na vipigo mbalimbali.

1-Kupasuliwa fuvu.....200,000/=
2-Kuvunjwa taya na gongo la kipolisi....100,000(kianzio)
3-Kupasuliwa bandama....200,000/=
4-Kutovugwa ini,kongosho,figo....150,000 halafu dialysis 150,000 kwa wiki
5-Kuvunjwa senta bolt ya kiuno...25000 kianzio
6-Kutobolewa jicho moja....50,000 kianzio
7-Kung'olewa jino....5000
8-Kupasuliwa yai za kende....50,000
9-Kupasuliwa chembe ya moyo...
10-Kuvunjika shingo...
11-Kuteguliwa uti wa mgongo....
12-Kupasuliwa ngoma ya sikio kwa mbata...5000 ya file
13-Kupasuliwa taya na kitako cha bunduki...20,000
14-kutapishwa kisusio...5000
15-Kutoneshwa busha/mshipa...bure
16-Kugeuzwa kisahani cha goti...150,000
17-kutoneshwa /kupasuliwa tezi dume bure
18-Kutobolewa kibofu au puru(rectum) 200,000 kianzio
19-Kuzikwa na manispaa...bure
20-Vipimo vya Xray,CT scan,Ultra sound,MRI, 250,000.

N.B BEI NILIZOWEKA SIO HALISI

hebu tuongeze nyingine na kuweka gharama zake..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Kumbukeni kuna askari wetu inafikia wakati wanapata ulemavu wa kudumu na wengine wanafia kazini katika mapambano ya kulinda Taifa letu dhidi ya wahalifu na majambazi. Lakini wanaobakia wanaendelea na kazi ya kutulinda kwa moyo wote bila kukata tamaa wala kukatishwa tamaa japo wamepoteza wenzao katika mapambano.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sasa , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwambie huyo wa pili mstari wa pili nina salaam zake kutoka kwa bibi yake kijijini
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Kumbukeni kuna askari wetu inafikia wakati wanapata ulemavu wa kudumu na wengine wanafia kazini katika mapambano ya kulinda Taifa letu dhidi ya wahalifu na majambazi. Lakini wanaobakia wanaendelea na kazi ya kutulinda kwa moyo wote bila kukata tamaa wala kukatishwa tamaa japo wamepoteza wenzao katika mapambano.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sasa , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kukataliwa kubaya mwacheni ahangaike...🤣😆😝
 
Hawana uzalendo wowote hao division IV na tawi la CCM.

Wangekuwa wazalendo hizo bilioni 6 zisingetokomea kwenye mifuko ya majizi.
IMG_20240611_163734.jpg
 
Back
Top Bottom