Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Futa haraka andiko lako la kishetani hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulinda CCM na kuua watanganyika huku wazanzibar wakiwa salamaMmeapa kulinda CCM.
Bado tu hujaandamana dogo.nenda uandamane ili ufundishwe adabu mpaka kichwa hicho kibovu kikae sawa.Futa haraka andiko lako la kishetani hapa
Maandamano ni saa 4, haya ni maandamano ya amani hivyo usiwe na wasiwasi sisi tutaandamana kwa amani na wewe unakaribishwaBado tu hujaandamana dogo.nenda uandamane ili ufundishwe adabu mpaka kichwa hicho kibovu kikae sawa.
Nenda ujiandae kuandamana .kwa hakika hilo bichwa lako litajazwa akili leo😀😀😀Maandamano ni saa 4, haya ni maandamano ya amani hivyo usiwe na wasiwasi sisi tutaandamana kwa amani na wewe unakaribishwa
We shetani unakaribishwa kwenye maandamano ya amani, salimia wote ChunyaNenda ujiandae kuandamana .kwa hakika hilo vichwa lako litajazwa akili leo😀😀😀
Kuliko wale wanaoteka na kuua wananchi kisa mnatofautiana mawazo?Nimekusamehe bure kabisa.Amani ya Bwana iwe pamoja nawe.Hujui ulitendalo.Roho ya shetani imekuvaa ndani yako.
Hapa ndio kenye maandamano? Nenda ukaandamane na siyo kupiga makelele yako hapa kama mlevi wa gongoWe shetani unakaribishwa kwenye maandamano ya amani, salimia wote Chunya
Ule ni upendo wa vijana kwa Mama yao
Maandamano ni saa 4, kwanini huwa huelewi wewe mjinga? halafu Katibu bado hajafika?Hapa ndio kenye maandamano? Nenda ukaandamane na siyo kupiga makelele yako hapa kama mlevi wa gongo
Mbona mnatumia nguvu kubwa sana na vitisho vingi kama vile alshabab wametuvamia.
Miezi miwili nyuma hao Chadema waliandamana Dar, Arusha, Mwanza Mbeya na kwengineko bila hata vurugu hakukuwa na lolote na sehemu zingine polisi hawakuwepo
Hii mbona kama mmepanic kulikoni?
Kaandamane na siyo kupiga porojo zako hapa
Nenda muda huu uwasubirigi wengine .sasa unafanya nini huku badala ya kupeleka pua yako kwenye maandamano?😀😀Maandamano ni saa 4, kwanini huwa huelewi wewe mjinga? halafu Katibu bado hajafika?
Naingia Magomeni muda siyo mrefu natokea MwengeNenda muda huu uwasubirigi wengine .sasa unafanya nini huku badala ya kupeleka pua yako kwenye maandamano?😀😀
Lakini si kufikisha kero za wananchi? Je watu wanatekwa? Je watu wanauwawa? Je watu wanapotezwa? Je watoto wanapotea na kukutwa wengine wamekufa? Je chedema kimepoteza wafuasi na viongozi? Baadhi ya watuhumiwa si wanatoka vyombo vya usalama na wengine wametakwa rasmi?Madhumuni ya maandamano haya ni tofauti na yale ya kwanza.
Lakini si kufikisha kero za wananchi? Je watu wanatekwa? Je watu wanauwawa? Je watu wanapotezwa? Je watoto wanapotea na kukutwa wengine wamekufa? Je chedema kimepoteza wafuasi na viongozi? Baadhi ya watuhumiwa si wanatoka vyombo vya usalama na wengine wametakwa rasmi?
Ziko wapi jitihada za serikali tangu wa kwanza kutekwa? Ziko wapi hatua kwa waliotajwa kuwa sehemu za kikosi hicho? Ziko wapi juhudi za makusudi kama wanavyozuia maandamani haya katika kuwatafuta watekaji na waliotekwa?
Hizi sio kero za chama chochote Cha siasa Bali wananchi, chama Cha siasa kutangaza maandamano hayo ni njia TU.
Kila mwananchi angependa kuona raia analindwa kama wanavyolinda Sasa maandamano ili kuondoa hofu ya utekaji