SOMA: Namna BIBLIA ilivyotabiri kipigo cha GAZA na Majirani zake, na namna GAZA ilivyokuwa ikisurubiwa toka enzi za manabii

Alikuwa na nia njema tangu mwanzo, ndio maana akawaumba Adam na Hawa ambao walikuwa hawajui dhambi yoyote,

ila shetani akatumia nguvu yake ya ushawishi walaghai wale tunda la ujuzi wa mema na mabaya.
Shetani huyo aliumbwa na nani?

Shetani alipata wapi nguvu za kuwalaghai kina Adamu na hawa?

Mungu mnayedai ni mjuzi wa vyote, Hakujua kwamba shetani
ata walaghai Adamu na Hawa amdhibiti mapema?

Mungu Alishindwaje kumdhibiti shetani mapema asilete uovu duniani?

Je Mungu huyo hakujua kwamba shetani atakuja kuwepo amdhibiti mapema?
Hapo ndipo dhambi zikaanza na dhambi ya kwanza ni Kaini kumuua Abel kisa wivu.... Hapo mlaumu shetani kwa nguvu yake ya ulaghai
 
Blah blah blah...
Wauwa Yesu Kristo ETI nawo wanaonekana watakatifu?!
Porojo, ujinga na upupu kabisa...
 
Hii vita bado haijachanganya wanasubiriwa hao wanaosema wataingia mpaka mjini kuwasaka wausika ,ila wanaulizwa sasa wiki ya pili inakatika vipi mbona hamjaingia mjini ?
Na umewasikia wanaokwenda na kupiga makelele vita isienee ,nje jambo ambalo haliwezekani hii vita lazima kuna watu wataelewa kama papa sio samaki.
 
Shetani huyo aliumbwa na nani?
Katika imani za dini nyingi, shetani anachukuliwa kama malaika aliyeasi au kiumbe kilichopotea. Kwa mfano, katika Ukristo, shetani (ambaye pia huitwa Ibilisi) inasemekana alikuwa malaika wa mbinguni aliyeasi dhidi ya Mungu na kutupwa nje ya mbinguni. Katika Uislamu, shetani anajulikana kama Iblis na inasemekana alikataa amri ya Mungu ya kumsujudia Adamu na Hawa, na kwa hivyo akalaaniwa kuwa mlaaniwa. Kwa hiyo, kulingana na imani hizi, shetani hakuumbwa na Mungu kuwa mwovu, bali alitenda dhambi na kujitenga na Mungu.
 
MUNGU alijidhihirisha kupitia mitume na manabii ambapo aliwapa maagizo na kutenda miujiza kudhihirisha ukuu wake. Mfano Lutu pale Sodoma na Gomorrah, Nuhu na mafuriko, Musa na kutawanyisha bahari, na Yona kumezwa na samaki na mambo kadha wa kadha
Kwa nini Mungu huyo hajidhihirishi muda huu wa kipindi chetu?

Kwa nini Mungu huyo alijidhihirisha kipindi hicho tu cha manabii wake hao unao dai?
 
Mungu mnayedai ni mjuzi wa vyote, Hakujua kwamba shetani
ata walaghai Adamu na Hawa amdhibiti mapema?
Kulingana na imani nyingi za dini, Mungu anachukuliwa kuwa Mjuzi wa vyote, na hivyo anajua kila kitu kinachotokea, kimetokea, na kitakachotokea. Hata hivyo, muktadha wa hadithi za kidini na imani zinaonyesha kwamba Mungu aliruhusu Adamu na Hawa kuchagua na kujifunza kutokana na uchaguzi wao.

Katika hadithi ya Kibiblia, kwa mfano, Mungu aliwaonya Adamu na Hawa wasile matunda kutoka kwa mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Hawa walipochagua kutotii amri hiyo, Mungu aliwaonya kuhusu matokeo, lakini bado akawaruhusu kufanya uamuzi wao wenyewe. Hii inaweza kuchukuliwa kama sehemu ya imani katika uhuru wa kibinadamu, ambapo Mungu aliwapa binadamu nafasi ya kuchagua, hata kama alijua wangetenda dhambi.

Kwa hiyo, katika mtazamo wa dini nyingi, Mungu alijua kinachotokea, lakini bado aliruhusu watu kufanya maamuzi yao wenyewe na kujifunza kutokana na uchaguzi huo.
 
Katika imani za dini nyingi, shetani anachukuliwa kama malaika aliyeasi
Mungu mkamilifu na muweza wa vyote, Aliumbaje malaika wenye uwezo wa kumuasi?

Je Mungu hakujua kwamba malaika watakuja kumuasi?

Awadhibiti mapema?
Mungu Aliumbaje malaika wenye uwezo wa kutenda dhambi?

Alishindwaje kuumba malaika na binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda dhambi?

Maana yeye mnadai ni Mungu muweza wa vyote???
 
Mungu Alishindwaje kumdhibiti shetani mapema asilete uovu duniani?
Kulingana na imani za dini nyingi, Mungu anachukuliwa kuwa na nguvu kuu na uwezo wa kudhibiti kila kitu. Hata hivyo, dini nyingi pia zinafundisha kuhusu uhuru wa kibinadamu, ambapo wanadamu wana uwezo wa kufanya maamuzi yao wenyewe, ikiwa ni pamoja na maamuzi ya kutenda mema au mabaya.

Katika hadithi za kidini, shetani au Iblis alipewa uhuru wa kuchagua na aliamua kuasi dhidi ya Mungu. Mungu aliruhusu hili kutokea, labda kama sehemu ya mtihani kwa binadamu na kama fursa kwa binadamu kujifunza kutokana na uchaguzi wao.

Dini nyingi pia zinafundisha kwamba Mungu anaweza kutumia mabaya kwa madhumuni mazuri, na kwamba kuna mpango wa Mungu ambao hatujui kikamilifu. Kwa hiyo, ingawa inaweza kuonekana kama Mungu alishindwa kumdhibiti shetani mapema, imani nyingi zinafikiri kuwa kuna hekima kubwa katika mipango ya Mungu ambayo hatuwezi kuielewa kikamilifu.

Haya ni mafundisho ya kidini na yanaweza kutofautiana kulingana na imani ya dini husika. Watu wanaweza kuwa na mitazamo tofauti kuhusu suala hili kulingana na imani zao za kidini.
 
Kama Mungu huruhusu watu kufanya mambo kadiri ya maamuzi yao, Kwa nini sasa hapendi uovu na binadamu wadhambi?

Kwa vile binadamu hao hufanya dhambi na uovu kadiri ya maamuzi yao?
 
Kwa nini Mungu huyo hajidhihirishi muda huu wa kipindi chetu?

Kwa nini Mungu huyo alijidhihirisha kipindi hicho tu cha manabii wake hao unao dai?
Kwa nini Mungu hajidhihirishi waziwazi katika kipindi cha karne hii ni suala linalozua mjadala na linahusisha mambo mengi, ikiwa ni pamoja na imani za kidini, falsafa, na muktadha wa kijamii. Kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia hili:

1. Imani na Majaribio: Baadhi ya imani za dini zinaweza kusema kwamba Mungu amejidhihirisha kupitia manabii au matukio ya kihistoria katika nyakati za awali, na sasa anawapa watu uhuru wa kufanya maamuzi yao wenyewe na kuona jinsi wanavyotenda katika imani yake. Kudhihirika waziwazi kwa Mungu kunaweza kutoa majaribio ambayo yanapunguza uhuru wa binadamu kuchagua.

2. Ujumbe kupitia Maumbo na Mambo Mengine: Baadhi ya watu wanaamini kwamba Mungu anajidhihirisha kupitia maumbile na mambo mengine duniani. Wanapoangalia ulimwengu na maumbile, wanahisi kuwa wanaweza kuona ishara za uwepo wa Mungu.

3. Imani na Utambulisho wa Kibinafsi: Kwa baadhi ya watu, ujumbe wa Mungu unaweza kujidhihirisha kwa njia ya uzoefu wa kibinafsi na imani ya ndani. Wanahisi uwepo wa Mungu kupitia sala, meditasyon, au uhusiano wao wa kibinafsi na dini.
 
Mungu mkamilifu na muweza wa vyote, Aliumbaje malaika wenye uwezo wa kumuasi?

Je Mungu hakujua kwamba malaika watakuja kumuasi?
Kuhusu swali la ikiwa Mungu hakujua kwamba malaika wataasi, kuna mitazamo tofauti katika teolojia. Baadhi ya watu wanaamini kwamba Mungu ni mjuzi wa vyote na hivyo anajua kila kitu kinachotokea, ikiwa ni pamoja na uasi wa malaika. Hata hivyo, wengine wanaamini kwamba Mungu aliruhusu uwezekano wa uasi kutokea kwa sababu ya kutoa uhuru wa kuchagua kwa viumbe vyake, ikiwa ni pamoja na malaika.
 
Kama Mungu huruhusu watu kufanya mambo kadiri ya maamuzi yao, Kwa nini sasa hapendi uovu na binadamu wadhambi?

Kwa vile binadamu hao hufanya dhambi na uovu kadiri ya maamuzi yao?
Kwa mujibu wa imani za dini nyingi, Mungu anawapa wanadamu uhuru wa kuchagua kwa sababu ya upendo na heshima kwa utu wao. Mungu anataka wanadamu wawe na uwezo wa kufanya maamuzi yao wenyewe na kuchagua mema juu ya mabaya. Hata hivyo, Mungu pia anatoa mwongozo na viwango vya maadili kwa wanadamu kufuata.

Kuhusu suala la Mungu kutopenda uovu na dhambi, inasemekana kuwa Mungu ni mtakatifu na kamili na hawezi kuvumilia uovu. Hivyo, uovu na dhambi huchukuliwa kama kinyume cha mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanapofanya dhambi, wanavunja uhusiano wao na Mungu.

Imani nyingi zinafundisha juu ya msamaha na neema ya Mungu, ambayo inaweza kuwa njia ya kuwaondolea wanadamu dhambi zao. Kupitia imani na toba, watu wanaweza kurudisha uhusiano wao na Mungu.
 
Blah blah blah...
Wauwa Yesu Kristo ETI nawo wanaonekana watakatifu?!
Porojo, ujinga na upupu kabisa...
Walimsulubisha kwa kuwa ilikuwa imeshapangwa kuwa hivyo, na MUNGU aliruhusu iwe hivyo
 
Kwani mtu wa tandahimba akifuata hizo dini wewe kinakuuma nini?
 
Jamani ma brother na ma sister na viumbe vyote vilivyo hai kwa ujumla niwaambie tuu kwa ufupi hakuna kinacho tokea asicho kijua BABA MUUMBA ila niwaambie tuu ana zuia vingi visi tokee ila huwezi kuona kwasababu alisha zuia kabla vinavyo tokea na vilivyo tokea ameacha viwe fundisho sio kwaajili yake ni kwaajili yetu alishajua itakuwa hivi na ivi lakini kamuumbia mwanadamu roho ya kujifunza na kubadilika ivyo ame ruhusu hayo yaliyo pita kwa huruma zake ili mwanadamu wa leo asiwe amuasi kwa mifano iliyo pita hivyo anajua mwanadam yuko ivi laki aweza ku badilika akipewa elimu na ndio maana halisi ya maisha,,,
 
Myahudi gani katudanganya.... Huyo huyo Yesu si ndio nyie mnamuita ISSA, inakuwaje unasema kauli hiyo... Basi sote na nyie mmedanganywa
Umempa kitu kizito saizi yako icho kibibi ushungi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…