Soma ujifunze: Jinsi kijiwe changu kilivyosababisha mtu akalizwa 2M na tapeli leo

Daaa!!! Hii kwa kweli niya mwaka. Lakini siku zote usikubali kumpa mtu chombo chako cha moto, hata kama ni ndugu yako. The best thing mwambie "twende nikupeleke"
 
Mwaka jana alipita jomba mmoja hapo ofisini kwangu mida ya jioni sana akidai yeye ana PC mupyaaa kaifanyia ma namna gani kaichomoa Bandarini ila sasa namna ya kuitoa getini imekuwa msala, walinzi wanataka mgao.

Kuna dogo mmoja aliwahi nijia kuniuliza kama nina pc au ninamfahamu jamaa anaeuza kwa bei nzuri nimuelekeze akanunue, dogo nikamkol akaja nikamueleza ilivyo akakubali. Sasa yule jomba sijui aliniona zuzu kiasi gani akanambia bro wewe niamini tu, nipe kwanza elfu 60 hiyo nyingine utanimalizia nikileta mzigo mi nikamjibu tu short n clear, sina pesa subiri nikuunganishe na mhitaji. Dogo nikawa nimeshampanga nikamwambia asimpe yule jamaa hata mia bila kuniconsult kwanza.

Kesho yake dogo akawasiliana na mchizi, akaambiwa njoo geti namba 5 utanikuta, dogo akalamba kibati mpaka getini akakutana na mchizi, jamaa akamchombeza ampe kwanza elfu 60 akawahonge walinzi atoke na mzigo, dogo akatoa, yule jamaa sijui aliingia geti gani akatokea geti gani, mimi nipo zangu ofisini, dogo ananipigia. Bro hivi fulani una namba yake nyingine? Nikamuuliza, vipi kwani akanijibu hapatikani na wala hamuoni, nikamuuliza umempa hela? Akanijibu ndio, nikamwambia basi ushaliwa we unatoaje pesa bila kukitia mkononi kitu, nilikwambia mapemaa nilikuwa na nia yangu ukaniona fala. Hiyo kumbuka ni saa 5 asubuh ananipigia kumbe kawekwa tangu saa 2 kasoro, alipoona imeisha ikambid arudi tu hostel kwake, mpaka leo hakuna cha pc wala nin
 
Mkuu hatari, Mkuu Ni fundi mzur wa PC?
 
Mshua wa maua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Nacheka Kama mazuri! Pole Sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…