Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
- Thread starter
-
- #81
Sawa mkuuTatizo lako unaangalia macho ya watu jichanganye wakikushangaa na wewe washangae. Kwa mfano ulipojificha ticha mkuu asikuone huenda anajua wewe ni kichwa ungeongea nae angekupatia ata connection private school ila wewe unajificha. Futa kwanza idea ya watu watanionaje maana ukiwa na hio hautakaa ufanikiwe ata ukipewa connection
Sawa mkuu
Anaweza kuendelea mpaka akawa na kijiwe Cha kufyatua tofali za block za simenti. Maisha hayana huruma asee, nna miaka sita mtaani tangu nihitimu degree nshakutana na wabeba zege wenye degree, machinga etc.Mkuu uko kwenye a very right track, as long as umeshaanza hiyo Channel ya michanga komaa nayo aibu weka pembeni..
Kikubwa Fanya hiyo kazi kwa bidii kubwa na malengo makuu. Huku ukiweka akiba. Soma mazingira yote na fursa mbali mbali siku kiasi kikiongozeka kitumie kama mtaji aidha kuipanua biashara ya mchanga au kuongeza biashara nyingine.
Unaweza kuanziasha hata kijiwe cha kuuza mchanga Wa madebe kwenye maeneo yanayokuzunguka, watu watakucheka Ila baadaye watakuelewa. Hapo hapo uza mpaka sementi ya kupima kwa makopo au kilo na kokoto.. Ukiweza anzisha kimradi kidogo tu cha kutengeneza roovers zile za ukutani, mtaji ukiongezeka nunua vibao gonga hata tofali uwe unauzia wahitaji wadogo wadogo.. Lengo lako kuu iwe ni kukua kila siku.
Utatoboa, utatoboa amini amini nakuambia.. Nimepitia the same path unayopita sasa hivi.
Hizo ndio zile tunaita Neema mkuuNikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pamoja kipindi nipo miezi ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.
Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.
Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabaki nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.
Asante Mungu Mkuu
Asante mkuu kwa nasahaAnaweza kuendelea mpaka akawa na kijiwe Cha kufyatua tofali za block za simenti. Maisha hayana huruma asee, nna miaka sita mtaani tangu nihitimu degree nshakutana na wabeba zege wenye degree, machinga etc.
Komaa mwana komaa, nadhani kwa sababu umeshaingia kwenye sekta ya ujenzi, na ni sekta inayoendelea Sana, waweza kuamua kuwekeza zaidi humo sektani, inaweza kukutoa kimaisha.
Shukurani
Hilo jina tu la mtandaoni, Nina majina yangu ya kubatizwa,Mwanangu badilisha jina ndio Mana unafanya kazi tofauti na elimu lazima utaishi tu Kama ndondocha.
NitarekebishAUmekosa focus
Asante mkuu, nimekuelewaJapo sina msaada directly ila niseme neno...mimi nimeshakaa Songea huko Mlale ila mjini nimekaa pia,Songea ni ndogo sana na fursa ni chache so mdau umejibana sehemu isiyo na fursa za kutosha.
I had a friend of a friend ambae alisomea ualimu wa Bsc. Chem from Mbeya kaja juzi tu kapata kitengo shule ya sekondary Dsm so mdau funguka usikae Songea tu shule zipo Tz nzima na uko competent kwanin wasikutake, sema watu wengi wamesomea ualimu but hawataki kuwa waalimu hapo ndo tatizo linaanzia.
Nikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pamoja kipindi nipo miezi ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.
Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.
Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabaki nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.
Asante Mungu Mkuu
Ww unazinguaa
"umesema umefundishaa watoto wa wakuu wa mikoaa" afu bado unasafer
Kaka kuna kitu kinaitwa network meshindwaaa kufanyaa
My advice: kaa chini angalia ni wap unakosea na ujirikebishee!
Pili inaonekana ww ni nyanya sasa hv while you in school hukufanya hustle zozote!
Jambo la tatu pale ulipokutana na headmaster wako eti unajifichaa ww ni m...nge (bro ukiwa unaleta uslay queen kwenye maisha utakuwa sho..ga)
Unatia hasiraa kwa nn hujionyeshi hustle zako kwa watu walio juu! No one will know what you are thing until you speak out!!
Dogo bado kama umemaliza chuo 2019 ngoja kuna kipindi utanyookaa
(ee Mungu nisamehe kama nawaza vibaya )
Sijui kwanini hatoi ushirikiano huyo jamaa..anywys ni uamuzi wake piaKwa sababu wewe unanafasi basi mwajiri huyu ndugu kama office assistant japo apate kipato kidogo.