Soma vitabu ndani ya App hii kwa malipo ya Tsh 7,000 kwa mwaka

Soma vitabu ndani ya App hii kwa malipo ya Tsh 7,000 kwa mwaka

I
GULLIVER COVER.png
ngizo jipya ndani ya maktabaapp.
 
Bila vitabu vya Willy Gamba rist haijakamilika , weka hvyo vyuma hata 30000 tutanunua hyo app, sku ukiweka nistue
 
Mwaka 1904 muandishi H G. Wells aliandika kitabu The country of the blind. Ni hadithi juu ya mtu mmoja aliyeenda kwenye nchi ambayo watu wote ni vipofi. Tafsiri yake ya kiswahili inapatikana ndani ya maktaba app.
View attachment 2502776
aisee...
kumbe huyu ana kitabu tumetafsiri kwa kiswahili

Mimi nilimjua kutokana na stori ya kitabu chake cha War of the Worlds kinachohusu wavamizi kutoka sayari ya Mars, , ambao ilichezwa kama mchezo wa Radio ulioendeshwa na mtangazaji Orson Welles siku ya Jumapili tarehe October 30, 1938 na kuzua taharuki kubwa kwa wakaazi wa jiji la New York, wakidhani ni kweli nchi ya Marekani imevamiwa na viumbe kutoka sayari ya Mars, na kusababisha wananchi kutoka majumbani mwao na kujaa mitaani huku kila mmoja akitafuta njia ya kujinusuru kwa kuukimbia mji,
 
aisee...
kumbe huyu ana kitabu tumetafsiri kwa kiswahili

Mimi nilimjua kutokana na stori ya kitabu chake cha War of the Worlds kinachohusu wavamizi kutoka sayari ya Mars, , ambao ilichezwa kama mchezo wa Radio ulioendeshwa na mtangazaji Orson Welles siku ya Jumapili tarehe October 30, 1938 na kuzua taharuki kubwa kwa wakaazi wa jiji la New York, wakidhani ni kweli nchi ya Marekani imevamiwa na viumbe kutoka sayari ya Mars, na kusababisha wananchi kutoka majumbani mwao na kujaa mitaani huku kila mmoja akitafuta njia ya kujinusuru kwa kuukimbia mji,
Jamaa ameandika vitabu vingi sana, science fictions zake nyingi ni kama alikuwa akitabiri wakati ujao. Hicho kis kinafurahisha, huyo Orson atakuwa alikuwa anajua kazi yake vizuri. Tutaendelea kufasiri vingine vingi kutoka kwake. Kama The Island of Dr. Moreau.
 
Ingizo jipya ndani ya maktabaapp. Umewahi soma hiki kigongo?
PHOTO-2023-03-07-21-40-48.png
 
Ingizo jipya: Siku zote nimeipenda sana title ya hiki kitabu, Kamlete, akibisha mlipue!

Luteni Maige anazusha balaa la kutaka kumuua kiongozi wa nchi na kukimbilia nchi jirani ya Kenya. Huko nako usalama wake unakuwa mdogo kiasi cha kufanya kufanikiwa kuingia nchini Libya ambapo kutokana na historia yake jeshini, anazusha balaa jingine linalomuweka njia panda na kumtia hasira mkuu wa usalama wa taifa Mzee Mwita ambaye anaamua kumtuma mpelelezi aliyebobea katika kupambana na majasusi, Ray Sibanda amfate huko aliko.

"Kakimbilia Nigeria baada ya kufanya unyama mwengine Libya" Meja Mwita alifoka. "Anadhani Nigeria mbinguni!" Akamkazia macho Ray. "Sikiliza, Ray. Hivi sasa hapana kazi muhimu iliyopo zaidi ya kumsaka huyu Nyani mpaka apatikane, kesho kutwa utakwenda Lagos, Nigeria. Nitahakikisha mwenyewe kuwa tiketi yako inapatikana. Najua upepelezi huu ni wa roho mkononi, lakini potelea mbali! Kamlete... Akibisha mlipue!"
Kamlete cover.png
 
Ingizo jipya: Gubu la mume.

“Kwa mume kuna ngondo Mwanahamisi hakuna uhondo. Wala hakuna utamu kuna balagham! Ndivyo alivyonambia somo yangu Mama Muhidini kabla sijaolewa. Nilidhani anatania. Loh! Nyumba niliiyona kama kaburi babu, GUBU LA MUME lilinishinda.

Gubu la mume cover.png
 
Ingizo jipya ndani ya maktabaapp: Najuta kuolewa. Kuungwa tucheki whatsapp 0715278384

Alimwona tu amesimama kando ya barabara, akalisimamisha gari na kumuuliza iwapo anahitaji msaada.
“Pikipiki yangu imepata pancha kaka” Ruth alisema huku akitabasamu. “Naomba lifti mpaka mjini”
Ndivyo walivyoanzana.
Njiani walipata ajali mbaya iliyomsababishia Ruth upofu.
Akalazimika kumuoa.
Visa vya Fred ndivyo vilivyomfanya Ruth akiri hadharani kuwa NAJUTA KUOLEWA.

Najuta kuolewa png.png
 
Ingizo jipya. Mashairi ya Ustadh Khamis Amani Nyamaume.
Nyamaume.png
 
Back
Top Bottom