antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hahahaha..Babu zako ndio walikuwa wanawashika na kuwauza wenzao
Mie siyo uzao wa Tipu Tipu bhana😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha..Babu zako ndio walikuwa wanawashika na kuwauza wenzao
Vipi kina vidada vile virembo pia tukaoe au. Maana wasomali noma Kwa pisi kaliNa wapo vijiji vya amani huko muheza wasomali kibao
Kweli kabisa tuanze na wazenji,wahindi,waarabu na wachina..tunawachekea sana hawa jamaa..Kokote ugenini anapoenda mmbantu anabaguliwa ila wao wakija kwetu tunawapenda kushinda tunavyojipenda.
Tubadilike
Mpaka leo utumwa Uarabuni upo we huoniHivi kwenye karne ya 20 kulikuwa na utumwa huku Afrika? Au unatulisha matango mwitu bwana mkubwa?
Ukizungumzia utumwa katika mediocre point of view tutakubaliana na bandiko lakini from professional and historical point of view it is a mere fallacy.Mpaka leo utumwa Uarabuni upo we huoni
Mbona na ulaya na uhindini wapo wengi tu au umefumba macho? Wanaitwa sex slaves na biashara inaendelea kama kawaida.Mpaka leo utumwa Uarabuni upo we huoni
Tuwakubali na kuwapa hifadhi, uraia. Hawa ni ndugu zetu.Somalia kuna Wabantu ambao walifika huko wengi kwa Utumwa, maisha yao yalikuwa magumu kuanzia mwanzo Wasomali hawakuwahi kuwakubali na wamekataliwa kata kata na Msomali yoyote aliyejaribu ku-intermarry na Mbantu alitengwa na jamii ya Wasomali.
Hali ilikuwa mbaya kwa Wabantu Somalia hadi UN iliwaombea hifadhi Tanzania wakarudishwa Mkoani Tanga wengi tu wengine walipewa hifadhi USA.
Kwa mujibu wa UN hawa Wabantu wa Somalia walichukuliwa kama Watumwa karne ya 20 na walitokea jamii ya Wazigua, Wazaramo, Wayao, Wamakua pamoja na wengine, fikiria miaka yote hiyo lkn bado hawakubaliki nchini Somalia, …
![]()
Somali Bantus gain Tanzanian citizenship in their ancestral land | UNHCR
CHOGO, Tanzania, June 3 (UNHCR) - Some 300 years after their ancestors were taken from here to be sold as slaves, almost 1,300 Somali Bantu refugees are now full citizens of Tanzania. A further 1,500 refugees in Chogo settlement, in the north-eastern coastal region of Tanga, are still in the...www.unhcr.org
Somali Bantus - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Wazanzibar sio wabantu?Kweli kabisa tuanze na wazenji,wahindi,waarabu na wachina..tunawachekea sana hawa jamaa..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Handeni ndio liberia ya bongoMiska ya 1992 waliletwa Tanga kwa meli, waliwekewa mahema nje ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa mpaka utaratibu wa kuwapeleka Handeni ulipokamilika.
Huko Handeni ndiyo sehemu wanawekwa wenye migogoro ya ardhi, sasa hivi Wamasai wa Ngorongoro wanapelekwa huko.
Vurugu za 1992? [emoji15]Huu ni uongo wa wazi.Wasomali hawa wenye asili ya Nchi za Tanzania na Msumbiji walikwenda kutafuta makazi kama wahamiaji wengine.Waliondoka Somalia mwaka 1991 baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Somalia.
Wasomali hawa hawabaguliwi huko Somalia na wameoana na kuzaa na jamii walizozikuta.
Kuna wapemba walikimbilia Somalia 1992 baada ya vurugu za Zanzibar.Wapo wanaishi mpaka leo na wameoana na wenyeji wa huko .Kwanini hawa wapemba wasibaguliwe.
Wanyamwezi,wanyasa na wamakua waliohamia Zanzibar nao walikuwa watumwa?Au walihamia kutafuta makazi na riziki?Abeid Amani Karume alikuwa mtumwa?Kwani hakuwa na asili ya Zanzibar!
Jiulize kwanini wapemba walikimbilia Mogadishu Somalia na sio Mombasa Kenya?
Vurugu baada ya uchaguzi 2000 .Typing error my friend.Mbona hujajibu niliyoandika?Umeona typing error ya mwaka tu.Vurugu za 1992? [emoji15]
Si unaona nimejibu huo mwaka wa mchongo?Vurugu baada ya uchaguzi 2000 .Typing error my friend.Mbona hujajibu niliyoandika?Umeona typing error ya mwaka tu.
soma YUDA I MSTARI WA 4 utajua maana ya neno kafirNchi zilizotawaliwa na udini wao kuwa Mwafrika basi wewe ni kafir.