Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania

Hii iwe fundisho kwa yale mitafuna mirungi inatoka bongo na kenya eti inaenda kwenye hiyo nchi kumpigania Mungu wao, wajue kuwa huko hakuna Mungu bali ni watu wa aguzi na wenye roho ngumu. Wabaki bongo waijenge nchi yao wasidanganywe wataenda kuteswa
 
Tuwakubali na kuwapa hifadhi, uraia. Hawa ni ndugu zetu.
 
Handeni ndio liberia ya bongo
 
Huu ni uongo wa wazi.Wasomali hawa wenye asili ya Nchi za Tanzania na Msumbiji walikwenda kutafuta makazi kama wahamiaji wengine.Waliondoka Somalia mwaka 1991 baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Somalia.
Wasomali hawa hawabaguliwi huko Somalia na wameoana na kuzaa na jamii walizozikuta.
Kuna wapemba walikimbilia Somalia 1992 baada ya vurugu za Zanzibar.Wapo wanaishi mpaka leo na wameoana na wenyeji wa huko .Kwanini hawa wapemba wasibaguliwe.
Wanyamwezi,wanyasa na wamakua waliohamia Zanzibar nao walikuwa watumwa?Au walihamia kutafuta makazi na riziki?Abeid Amani Karume alikuwa mtumwa?Kwani hakuwa na asili ya Zanzibar!
Jiulize kwanini wapemba walikimbilia Mogadishu Somalia na sio Mombasa Kenya?
 
Vurugu za 1992? [emoji15]
 
Maswali ya msingi kuulizana hapa ni haya yafuatayo:
1. Nani alikuwa anafanya biashara hiyo ya watumwa ?
2. Kwanini biashara ya utumwa isitawi kwenye jamii ambayo watu wake ni washika dini sana ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…