Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania

Kwa sababu waarabu walikuwa wanawanunua na kwenda kuwatesa kuwalawiti,ofcouse we sio muarabu sikutuhumu(ukome kujifanya muarabu)
Kwa hiyo unatuambia babu yako alilawitiwa na Waarabu?

Makubw ahayo, wewe mwenyewe umesalimika?
 
Kwa hiyo unatuambia babu yako alilawitiwa na Waatrabu?

Makubw ahayo, wewe mwenyewe umesalimika?
Sijasalimika ila ilikuwa kwa mbinde sana,tena ww ulivyo na shobo na uarabu kwenu punga hakosekani ,nasisitiza dada faiza wewe ni muislamu safi ila sio muarabu hara kidogo,narudia kwa sauti ya ukali kabla saidi hajafyatua risasi ... FAIZA SIO MUARABU HATA TONE..
 
Kwa hiyo unatuambia babu yako alilawitiwa na Waatrabu?

Makubw ahayo, wewe mwenyewe umesalimika?
Waatrabu unajua sio waarabu walionikula na mababu zangu ,kama wewe usivyo muarabu ni labda muatrabu au muha au mbena ,unarafudhi ya kibena sana
 
Nimehisi kuwa na wewe hawajakuacha ndiyo maana wapo midomini.

Wewe una ustaarabu? Au huna ustaarabu?

Hapo sasa!
 
Kwa sababu waarabu walikuwa wanawanunua na kwenda kuwatesa kuwalawiti,ofcouse we sio muarabu sikutuhumu(ukome kujifanya muarabu)
Hivi merikebu ya kwanza kupeleka watumwa Amerika iliitwaje vile?
 
Hivi kwenye karne ya 20 kulikuwa na utumwa huku Afrika? Au unatulisha matango mwitu bwana mkubwa?
Karne ya 20 ni mwaka 1900 + so nchi nyingi za Africa uhuru ni kuanzia 1960's

Probably utumwa ulikuwepo kwa njia moja au nyingine

Achana na abolishen of slave trade
 
Vurugu baada ya uchaguzi 2000 .Typing error my friend.Mbona hujajibu niliyoandika?Umeona typing error ya mwaka tu.
Hao wapemba wapo eneo la shimoni nchini Kenya
 

R i p mzee Haji Sefu Ali, one of the elders in Chogo, proudly shows off his farm. “In Chogo, we have named the villages after places in Somalia,” he says. “We are tilling land, raising cattle and chicken and are taking care of ourselves.”


Chogo kwetu
 
Kwa maana hiyo unamaanisha hata Wabantu waliokuja Mashariki ya Afrika yote walikuja kwa utumwa? Maana Wabantu Afrika Mashariki siyo asili yao kihistoria.
 
Reactions: Tui
Mkuu! Nakufuatilia kwa umakini sana.
 
Wasomali laana ya kuwakataa na kuwa nyanyasa Zigua imewakumba mpaka leo hakuna Amani..
 
Kumbe wewe kibibi Kijakazi ni kizee fulani kina kinasumbuliwa na inferiority complex
Mada zako humu ni za kishenzishezi, nakufuatilia kuanzia sas na utakula za uso kila nikikutana na mada zako za kishenzi
 
yaani wasomali wanatubagua huko kwao wakati sisi tunawapokea na kuishi nao vizuri.
 
Somalia kuna Wabantu ambao walifika huko wengi kwa Utumwa, maisha yao yalikuwa magumu kuanzia mwanzo Wasomali hawakuwahi kuwakubali na wamekataliwa kata kata na Msomali yoyote aliyejaribu ku-intermarry na Mbantu alitengwa na jamii ya Wasomali.
Duh..
Wote ni waafrika na pia ni wa dini moja, lakini wanabaguliwa kama wanyama!!!
 
Acha ubishi wa kijinga.
Kuna rejea nyingi zinazothibitisha kuwa hao Somali Bantus walipelekwa huko Somalia kama watumwa karne 3 zilizopita.
Kama wewe unakataa leta reference za ku prove unachosema, siyo porojo za uongo za vijiweni..
 
Ni kweli hao wasomali walikuja tz na walikaa sana uziguani,na walipoindoka kwao kurudi somali waliondoka na wake zao wa kizigua
Huko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…