Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania

Wapo watu walitoka Sudan pia na kuja tanzania miaka hiyo..
Kuna watu babu zao walikuwa na asili ya huko

Ova
 
Hebu wacha uongo na fitina. Hivi kwani mbona nyinyi wale wenye asili ya kiarabu ambao wamezaliwa hata generations 4 au 5 bado tu munawasema ni waarabu?
Huwezi kutokuwa muarabu ukizaliwa na dna ya kiarabu unakuws mtanxania mwenye asili ya kiarabu.rostam ni mtqnzaniq mwenye asili ya yemen.mo ni mtanzania mwenye asili ya india
 
Huyu huyu msomali aiyependa Wabantu ndiyo huyo tumemkaribisha EAC?
 

we unajitia mjuaji lakini huelewi chochote !! Kama anachoongea mwandishi hukifahamu sijui uko dunia ya ngap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…