Somalia imekuwa mwanachama Rasmi wa Jumuaiya ya Afrika Mashariki

Somalia imekuwa mwanachama Rasmi wa Jumuaiya ya Afrika Mashariki

Tusiigeuze Jumuiya yetu kuwa kificho cha vita za wenyewe kwa wenyewe. Tunaona namna ambavyo nchi wanachama DRC na Rwanda zinavyotaka kuingiza mataifa wanachama vitani.

Sharti kuu liwe ni amani na maridhiano ya kila taifa mwanachama. Tusiharakie kuungana wakati hatuna umoja, mshikamano na utawala bora kwenye nchi zetu
Wewe unaona vita na ugaidi. Wenzako wanaona fursa za ajira na biashara.
Yote ni mitizamo tuu…

Ndugu zangu Watanzania tuamke…
 
Kuna manufaa makubwa angalia sasa congo ilivoingia wanachama na mizozo inaenda kuisha bado somalia kumaliza kazi.
 

DIPLOMASIA: Nchi ya Somalia imekuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kuweza kupata ridhaa ya kujiunga na jumuiya hiyo

Sekretarieti ya EAC imechapisha taarifa inayoonesha Ujumbe wa Somalia ukikabidhiwa Hati yake ya Kuidhinishwa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ikiwa ni utekelezaji wa Mkaubaliano yaliyoafikiwa Novemba 2023 na Wakuu wa nchi nyingine za EAC

Somalia inakuwa mwanachama wa nane wa EAC baada ya Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan Kusini, Tanzania, Rwanda na Uganda.

==============

Somalia has become a full member of the East African Community (EAC) after completing all the steps required to gain complete membership of the regional bloc.

The EAC secretariat on Monday shared on X, formerly Twitter, that Somalia had gained full membership "after depositing her Instrument of Ratification with the Secretary General" of the bloc.

The instrument of ratification is a formal document issued by a country, in which it agrees to be bound by a treaty.

Last November, the heads of state of the other EAC member states agreed to admit Somalia into the bloc.

Somalia becomes the eighth member of the EAC after Burundi, the Democratic Republic of Congo, Kenya, South Sudan, Tanzania, Rwanda and Uganda.

The move is intended to boost economic growth in the country, which is still recovering from three decades of war.
Ni kambo zuri
 
Hii jumuiya haina maana yoyote ni siasa tu na kupotezeana muda. Imekuwa ni jumuiya ya watawala huku wananchi wakibaki watazamaji.

Kiukweli jumuiya ya ukweli ni ile ya Ulaya ambayo wananchi wa mataifa wanachama wako huru kutembelea nchi yoyote bila viza na kufanya kazi katika nchi yoyote mwanachama bila vikwazo vyovyote.

Lakini hii jumuiya ya kiswahili mara mataifa wanachama eti wanataka kupigana vita hata raia wa nchi moja kufanya kazi katika nchi nyingine ni shida, mara wawekeane vikwazo vya biashara. Jumuiya gani hii feki kabisa.
Huko level zao zinakaribiana na wameendelea huwezi kuapply huku kwetu kwa sasa tutaumizana bure..
 
Wewe unaona vita na ugaidi. Wenzako wanaona fursa za ajira na biashara.
Yote ni mitizamo tuu…

Ndugu zangu Watanzania tuamke…
Tunaamkaje kwenye mazingira yasiyo na Utawala Bora?

Wachache wanajimilikisha rasilimali za nchi halafu sheria zinazotungwa zinaweka vikwazo vikubwa kwa mwananchi kushiriki kikamilifu maendeleo ya nchi yake......

Tujisahihishe, tusione gharama kuanza upya kwa sababu haiepukiki
 
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sasa wanachama wa Jumuiya ya Umoja wa Afrika Mashariki idadi yao inakuwa inchi 8. Jumuiya inazidi kukua.
Kama tungekuwa na hela moja ya Afrika Mashariki ingekuwa poa sana.

Je nini maoni yako juu ya kukuwa kwa Jumuiya yetu ?!
acheni kulinganisha Jumuiya ya Ulaya na Jumuiya za Africa.


Waafrika tunahitaji miaka 100 ya maendeleo ndio tuanze kufikiria miungano ya kisiasa na kiuchumi

Somali, South Sudan, Congo, Rwanda na Burundi zote hizi ziko kwenye vita, muda wa kutekeleza sera za pamoja watatoa wapi,

Uganda pia sio stable sana
 
Naunga mkono Hoja.
Nasikia na wao wameomba kujiunga. Hivi Sychelles na Mauritius wao hawako upande huu wa Afrika mashariki. Natamani sana na wao wangeomba kujiunga na EAC, zile inchi ziko poa sana upande wa uchumi, GDP ya nchi NA PER GDP
 

DIPLOMASIA: Nchi ya Somalia imekuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kuweza kupata ridhaa ya kujiunga na jumuiya hiyo

Sekretarieti ya EAC imechapisha taarifa inayoonesha Ujumbe wa Somalia ukikabidhiwa Hati yake ya Kuidhinishwa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ikiwa ni utekelezaji wa Mkaubaliano yaliyoafikiwa Novemba 2023 na Wakuu wa nchi nyingine za EAC

Somalia inakuwa mwanachama wa nane wa EAC baada ya Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan Kusini, Tanzania, Rwanda na Uganda.

==============

Somalia has become a full member of the East African Community (EAC) after completing all the steps required to gain complete membership of the regional bloc.

The EAC secretariat on Monday shared on X, formerly Twitter, that Somalia had gained full membership "after depositing her Instrument of Ratification with the Secretary General" of the bloc.

The instrument of ratification is a formal document issued by a country, in which it agrees to be bound by a treaty.

Last November, the heads of state of the other EAC member states agreed to admit Somalia into the bloc.

Somalia becomes the eighth member of the EAC after Burundi, the Democratic Republic of Congo, Kenya, South Sudan, Tanzania, Rwanda and Uganda.

The move is intended to boost economic growth in the country, which is still recovering from three decades of war.
Hongera kwao.Karibu sana Ethiopia na Djibouti
 
Kuna manufaa makubwa angalia sasa congo ilivoingia wanachama na mizozo inaenda kuisha bado somalia kumaliza kazi.
Yes mizozo itapungua, lakini ikija kurudi itarudi kwa kishindo kikubwa, tunaenda kurithishana migogoro ndani ya jumuiya na hata nchi ambazo hazijazoea migogoro, itakuja kuona migogoro ni jambo la kawaida
 
Hii jumuiya haina maana yoyote ni siasa tu na kupotezeana muda. Imekuwa ni jumuiya ya watawala huku wananchi wakibaki watazamaji.

Kiukweli jumuiya ya ukweli ni ile ya Ulaya ambayo wananchi wa mataifa wanachama wako huru kutembelea nchi yoyote bila viza na kufanya kazi katika nchi yoyote mwanachama bila vikwazo vyovyote.

Lakini hii jumuiya ya kiswahili mara mataifa wanachama eti wanataka kupigana vita hata raia wa nchi moja kufanya kazi katika nchi nyingine ni shida, mara wawekeane vikwazo vya biashara. Jumuiya gani hii feki kabisa.

Kazi ya jumuiya ya ukweli ni kudumisha amani, kuongeka soko, nafasi za ajira, kuongeza mchanganyikano kiasi kwamba mkipigana vita wote mnaumia.

Hapa wanajumuiya hawaelewani wala kusikilizana. DRC na Rwanda, Burundi na Rwanda. Somalia South Sudan hakuna uhakika wa Amani.

Tumebakiza Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Sudan kujiunga tukamilishe mchakato.
 

DIPLOMASIA: Nchi ya Somalia imekuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kuweza kupata ridhaa ya kujiunga na jumuiya hiyo

Sekretarieti ya EAC imechapisha taarifa inayoonesha Ujumbe wa Somalia ukikabidhiwa Hati yake ya Kuidhinishwa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ikiwa ni utekelezaji wa Mkaubaliano yaliyoafikiwa Novemba 2023 na Wakuu wa nchi nyingine za EAC

Somalia inakuwa mwanachama wa nane wa EAC baada ya Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan Kusini, Tanzania, Rwanda na Uganda.

==============

Somalia has become a full member of the East African Community (EAC) after completing all the steps required to gain complete membership of the regional bloc.

The EAC secretariat on Monday shared on X, formerly Twitter, that Somalia had gained full membership "after depositing her Instrument of Ratification with the Secretary General" of the bloc.

The instrument of ratification is a formal document issued by a country, in which it agrees to be bound by a treaty.

Last November, the heads of state of the other EAC member states agreed to admit Somalia into the bloc.

Somalia becomes the eighth member of the EAC after Burundi, the Democratic Republic of Congo, Kenya, South Sudan, Tanzania, Rwanda and Uganda.

The move is intended to boost economic growth in the country, which is still recovering from three decades of war.

Karibuni sana somalia ,pia tunawakarisha ndugu zetu sudan ya omar albashir, comoro ya Ghazaali Othmaan, pia Afrika ya kati na misri, karibuni sana.
 
Nasikia na wao wameomba kujiunga. Hivi Sychelles na Mauritius wao hawako upande huu wa Afrika mashariki. Natamani sana na wao wangeomba kujiunga na EAC, zile inchi ziko poa sana upande wa uchumi, GDP ya nchi NA PER GDP
Mimi ni Muumini wa AU Muungano wa Afrika. AFRIKA MOKO.
 
Back
Top Bottom