Gavana uwe unauliza maswali kwa kutumia akili ilipo ndani ya fuvu lako , hajapewa fuvu uwe unalipigiza tu sakafuni
Yesu ndie kristo
Na muislamu ni mtu asie kuwa na imani ame surrender kwa muhammad na Allah Yani ni slave of Allah
Anakuwaje mkristo na yeye ndie kristoHata nguzo ziliitwa kristo
Usijifanye kuku , Jibu swali
Tunaongea ukristo kama dini
Kwani Bwana yesu alikuwa mkristo ?? Alifundisha wapi Ukristo ?? Wapi aliwaambia wafuasi wake wafuate dini ya Ukristo ??
Nimekwambia fuvu hujapewa kulipigiza sakafuni kila siku mara Tano , linatunza akiliHata nguzo ziliitwa kristo
Usijifanye kuku , Jibu swali
Tunaongea ukristo kama dini
Kwani Bwana yesu alikuwa mkristo ?? Alifundisha wapi Ukristo ?? Wapi aliwaambia wanafunzi wake wafuate dini ya Ukristo ??
Anakuwaje mkristo na yeye ndie kristo
Mkristo ni mfuasi wa kristo
Usirudie tena kuuliza maswali ya kijinga ,Sasa mpinge Bwana Yesu
Mathew 16:20
Kisha akawaamuru wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo
Usirudie tena kuuliza maswali ya kijinga ,
Acha kupigiza fuvu chini , ndio matokea yake AyaSasa mpinge Bwana Yesu
Mathew 16:20
Kisha akawaamuru wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo
Jibu swali
Kwani Bwana yesu alikuwa mkristo ?? Mbona Mathew 16:20 Anakataa kuitwa Kristo ??
Alifundisha wapi Ukristo ?? Wapi aliwaambia wanafunzi wake wafuate dini ya Ukristo ??
Acha kupigiza fuvu chini , ndio matokea yake Aya
Wapi Yesu kakataa kuitwa kristo?
Wapi kakataa yeye sio kristo?Yaani hiyo amri ya Bwana Yesu hujaiona hapo kwenye Mathayo 16:20 ??
Basi ongeza na hii yenye ONYO KALI
Marko 8
29 Naye akawauliza, Na ninyi mnasema ya kuwa mimi ni nani? Petro akamjibu, akamwambia, Wewe ndiwe Kristo.
30 Akawaonya wasimwambie mtu neno hilo.
Biblia imesemaNanii alikuambia yesu anaitwa jina hilo la kristo ??
Biblia imesema
Nimekwambia acha kupigiza fuvu sakafuni kila siku unatingisha ubongo na ndio madhara tunayaona
Biblia imeniambiaSasa jibu swali
Nanii alikuambia Yesu anaitwa jina hilo la kristo ??
Biblia imeniambia
Soma kwanza maana ya kristoLete ushahidi, Nanii alikuambia Yesu anaitwa jina hilo la kristo ??
Soma kwanza maana ya kristo
Christ comes from the Greek word χριστός (chrīstós), meaning "anointed one". The word is derived from the Greek verb χρίω (chrī́ō), meaning "to anoint." In the Greek Septuagint, χριστός was a semantic loan used to translate the Hebrew מָשִׁיחַ (Mašíaḥ, messiah), meaning "[one who is] anointed".
Kristo - Hebrew מָשִׁיחַ (Mašíaḥ, messiah), meaning "[one who is] anointed".SORRY CHARLIE
Sijakuuliza maana ya Christ
Lete ushahidi, Nanii alikuambia Yesu anaitwa jina hilo la kristo ??
Kristo - Hebrew מָשִׁיחַ (Mašíaḥ, messiah), meaning "[one who is] anointed".
Koran 4:157 And [for] their saying, "Indeed, we have killed the Messiah, Jesus the son of Mary,