Unknown philosopher
Member
- Sep 3, 2022
- 40
- 90
Yaan apo unyama ni mwiingi watengeneze sambuza za pembe nne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli,basi alshabab hawana akili.
Ila inanishangaza Sana nchi zenye asili ya uislamu kujitetea mno dhidi ya ukristo. Uislamu haupendi challenge kabisa. Hii mbona Ni inshu ndogo Sana,sambusa si ni wazo tu la binadamu kuifanya iwe pembe tatu? Si wabadilishe waweke hata pembe sita au hata pembe Mia. Mbona kwenye ambulance msalaba wakabadilisha wameweka mwezi na nyota kwenye hizo nchi zao za kiislamu?
Hesabu Za maumbo kumbe husomeshwa kanisani?
Imani ya mchongo hii brotherHii imani inafikirisha sana
Hiyo pia hawataki,bomba linamaanisha uumeMbona hiyo easy tu si wabadilishe shape tu? unatengeneza umbo la mstatili au bomba na jina mnaita mnalotaka nyie....kitu ni kile kile tu.
View attachment 2473919
Mimi pia nakumbuka hivyo, walizi marufukisha kitambo sanaHii marufuku ipo tangu 2013 huko. Sambusa hazipikwi
Na mwanamama ole wako uvae sidiria
Haya yapo maeneo wanapotawala alshabab
Unazuia ukristo Kwa kupiga marufuku sambusa? Hii Imani shetani amehusika moja Kwa mojaKama ni kweli,basi alshabab hawana akili.
Ila inanishangaza Sana nchi zenye asili ya uislamu kujitetea mno dhidi ya ukristo. Uislamu haupendi challenge kabisa. Hii mbona Ni inshu ndogo Sana,sambusa si ni wazo tu la binadamu kuifanya iwe pembe tatu? Si wabadilishe waweke hata pembe sita au hata pembe Mia. Mbona kwenye ambulance msalaba wakabadilisha wameweka mwezi na nyota kwenye hizo nchi zao za kiislamu?
Ha ha ha! Umepinda wewe sio bure.Wakumbushwe na papuchi nayo ina shape hiyo.....
Jamaa Akili zao zipo makalioni kabisa... sambusa na ukristo wapi na wapiUslam una kitu kinachoitwa christophobia yani wanauogopa sana ukristo mana ukristo ukiingia katika jamii zao basi wengi watauacha uislam na misikiti kubaki magofu.
Za mwezi nchanga labda.Yaan apo unyama ni mwiingi watengeneze sambuza za pembe nne
Atakua mroho huyo jamaa..[emoji38][emoji38][emoji38]Bro, kisa sambusa?
Mi mwenyewe sijui..mradi wanawake wakandamizwe tu basiaisee sidiria kwanini?
Usipende kutuhumu uislamu kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu, wapi kwenye uislamu kumekatazwa sambusa au kitu cha umbo la triangle? kuhusu challenge uislamu una majibu kwa challenges zote lakini uislamu ni mkubwa kuliko kupigania kuharamisha sambusa, mzituhumu akili za hao wasomali na sio uislamu.Kama ni kweli,basi alshabab hawana akili.
Ila inanishangaza Sana nchi zenye asili ya uislamu kujitetea mno dhidi ya ukristo. Uislamu haupendi challenge kabisa. Hii mbona Ni inshu ndogo Sana,sambusa si ni wazo tu la binadamu kuifanya iwe pembe tatu? Si wabadilishe waweke hata pembe sita au hata pembe Mia. Mbona kwenye ambulance msalaba wakabadilisha wameweka mwezi na nyota kwenye hizo nchi zao za kiislamu?