Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Uislamu ni dini ya kijinga sana
 
Huwezi kuita hoja zangu nyepesi wakati wewe hujaleta nzito kuzinyepesisha za kwangu, mimi ni muislamu tena ninayeuelewa uislamu nakueleza mambo hayo hayaruhusiwi kwenye uislamu unazipinga hoja zangu kwa kuniambia kuna mtu alikuwa anamchinja mtu mwingine huku anasema allah akbar hapa mwenye hoja nyepesi ni nani?.

Okay ngoja nikupe faida moja, kuna watu wanaitwa makhawaarij hawa hawakuanza leo wameanza ufisadi wao tangu karne za mwanzo kabisa kwenye historia ya uislamu, watu hawa ndio waliowaua watu watukufu na waheshimiwa katika uislamu na wamezungumzwa zaidi kwenye uislamu kwa lugha mbaya kuliko hata hiyo unayoisema wewe, na wao ndio watu waovu zaidi wanaouwawa chini ya mbingu na ni haki yao kuuwawa kama mtawala akiweza kufanya hivyo, watu wabaya kabisa na watu wanaotembea na mifumo yao ni kama alqaeda, alshabaab, isis, islamic jihad, boko haram n.k hata hawa hapa capo delgado msumbiji ni mfano wao..

Sasa hawa ni extremists na wanayoyafanya hayahusiani na uislamu kama nilivyokueleza tangu mwanzo sema sina muda ningekunukulia hadithi nyingi tu kuwasema vibaya wao.

Kuhusu wale waislamu wa ufaransa ziko fataawa nyingi tu kuwataka watoke kwenye nchi ambazo wanashindwa kudhihirisha dini yao kwa uhuru na si vyema kukaa kati ya watu ambao wanawanyima uhuru wa kuabudu totally, allah anasema kuwahusu watu kama hawa katika quran.

"Hakika wale ambao wanafishwa na malaika hali ya kuwa wamezidhulumu nafsi zao, wakiwaambia mlikuwa katika hali gani? watasema "tulikuwa ni madhaifu katika ardhi" watawaambia: hivi haikuwa ardhi ya allah ni pana mkahamia humo? basi hao mafikio yao ni jahannam, na marejeo mabaya zaidi ni hiyo jahannam"

Quran 4:97

So hao watu hakuna sheria inayowaruhusu kuandamana kwani ni kinyume na misingi ya uislamu na miongozo inawataka kujiweka mbali na sehemu kama hizo, kuhusu wale wauaji nimekueleza hapo juu.
We kweli hujielewi ni wapi ktk uislam kuchinja mtu ni makosa? Kumbe hujui chochote unatumika tu Kama toilet paper
 
Uislamu ni dini ya kijinga sana


Ni kweli kwani ukristo ni dini ya raha tupu na Akili nyingi


GAY PASTOR GETS MARRIED TO A KENYAN.

South African Anglican gay priest has tied the knot with his Kenyan longtime gay partner. Peter mazillibedio said I do to James Kimani in a colourful wedding attended by family, friends and gay community members.
In Africa, gay marriage is officially legal in South Africa, Botswana and Mozambique.
!




71755929_1768111343487609_2019050652537192448_n.jpg
 
Una ushahidi kitabu kilibadilishwa

Yani una original na iliyobadilishwa ?


1) Punda anayezungumza ( Hesabu 22:27-28 )

(2) Ndege wa miguu minne ( Mambo ya Walawi 11:20 )

(3) Kuzaliwa kwa mtoto wa kike ni uchafuzi maradufu ( Mambo ya Walawi 12:1, 2,5 )

(4) Unyama na kutokuwa na huruma kwa mgonjwa, kama vile -- Mtu mwenye ulemavu wa ngozi lazima akue nywele zake kiasi cha kufunika hadi sehemu ya chini ya uso wake, akae nje ya kambi (ardhi/jamii), aishi peke yake. na kupiga kelele najisi, najisi. ( Mambo ya Walawi 13:45-46 )

(5) Itakase nyumba ya mtu kwa kunyunyiza damu ya ndege mara saba ( Mambo ya Walawi 14:48-53 ).

(6) Shamgari awaua 600 kwa mchokoo wa ng’ombe. ( Waamuzi 3:31 )

(7) Samsoni anaua elfu moja kwa mfupa wa taya ya punda ( Waamuzi 15:15-16 )

(8) Chui mwenye vichwa saba ( Ufunuo 13:1-2 )

(9) Kula kinyesi na kunywa Mkojo (2 wafalme 18:27 & Isaya 36:12)

(10) MAVI kwenye nyuso zenu ( Malaki 2:3 )

(11) Kula keki kwa Mavi ( Ezekieli 4:12-15 )

(12) Samsoni alifanya ngono na kahaba huko Gaza (Waamuzi 16)

(13) Ruthu anaishi na Boazi katika kuungua ( Ruthu 3:4-15 )

( 14 ) Daudi amtosa mwanamwali bikira ( 1 wafalme 1:1-3 )

(15) Unabii ambao haujatimizwa kutoka kwa Mungu wa Biblia ( Soma Mwanzo 17:8 / Mwanzo 13:15 & Kutoka 32:13 ......na kuliko baadaye .....katika Matendo 7:5 )

(16) Malaika wanapigana na Malaika wengine na kiongozi wao Joka mbinguni ( Ufunuo 12:7 )

(17) Nabii mlevi na kufanya ngono na binti zake wawili ( Mwanzo 19:30-36 )

(18) Mtoto wa Nabii alimfitini mama yake, na Baba hana chuki wala Mwenyezi Mungu. (Mwanzo 35:22)

(19) Yuda baba wa taifa la Kiyahudi na babu wa Yesu akimchumbia binti-mkwe wake mwenyewe kama alivyofikiri kwamba alikuwa kahaba. Si ajabu ambapo Wamisionari Wakristo wanapata msukumo wao kutoka (Mwanzo 38:15-30)

(20) Mtoto wa nabii ALIMBAKA dada yake mwenyewe. Mwana anayestahili wa baba anayestahili na hawa ni Manabii (waliochaguliwa na Mungu wao kama vielelezo kwao) (2Samweli 13:5-14).

(21) Mungu AKIPANDA KERUBI ( 2 Samweli 22:11 )

(22) MUNGU AKIZUNGUMZIA ( Kama vile nyoka au Joka anayewazia anavyofanya) ( Isaya 5:26,7:18. Zekaria 10:8 ).

(23) Hakuna mtu aliyewahi kumwona Mungu au wengi wamemwona Mungu? ( Yohana 1:18 + 1 Timotheo 6:16 +Kutoka 33:20 (VERSUS /VS ) Kutoka 33:11 +Kutoka 24:10 + Mwanzo 32:30 + Kutoka33:23 + 1 )

(24) Mungu aliyetubu ( 1 Samweli 15:35 )

(25) Je, Mungu wa Kibiblia HUJARIBU mtu yeyote au la?! ( HAPANA kulingana na Yakobo 1:13 VS NDIYO Mwanzo 22:1 )
 
Ndio Uislamu, nisikie tena unapinga kuitwa gaidi


YESU ALILETA UPANGA

Sawa na mafundisho ya Biblia tumeelewa tayari kwamba Bwana Yesu alikuwa mtume kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Sasa tuone kwamba Bwana Yesu Kristo alileta kitu gani na alitumwa na nini?

Mwenyewe anatueleza lengo la kutumwa kwake, anasema:

1. Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani. La, sikuja kuleta amani, bali upanga. Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:34-35).

2. Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake waume na wa kike, naam na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. (Luka 14:26).

3. Je, mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambia la, sivyo, bali mafarakano. (Luka 12:51).

4. Bwana Yesu alitayarisha wafuasi wake kwa ajili ya kuleta fujo na vurugu na aliwaamrisha akawaambia:

“Lakini sasa mwenye mfuko na auchukuwe, na mwenye mkoba vivyo hivyo, naye asiye na upanga akauze joho lake akanunuwe upanga. (Luka 22:36).

5. Siyo maneno tu bali katika maisha yake alionesha hata kwa vitendo vyake kwamba alikuwa mtu wa fujo.

Biblia inasema kwamba:

“Yesu aliingia ndani ya hekalu akawafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununua hekaluni. Akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao waliokuwa wakiuza njiwa.” (Mathayo 21:12).

6. Akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akizipindua meza zao. (Yohana 2:15).

7. Kwa sababu ya mafundisho yake, wanafunzi wake walikuwa wajeuri kiasi hiki kwamba walikuwa wakitumia upanga kwa ujasiri. Biblia inasema: ”Na tazama, mmoja wao waliokuwa pamoja ya Yesu akanyoosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akamkata sikio.” (Mathayo 26:51).

Sasa umesoma historia ya Bwana Yesu Kristo na mafundisho yake kuhusu kuleta fitina na fujo duniani na kuharibu amani ya watu.

Na inashangaza wakati baadhi ya wachungaji wanatangaza au inaandikwa juu ya ‘sticker’ za magari kwamba “There is peace in the blood of Jesus” yaani ipo amani katika damu ya Yesu. Ilhali yeye alikuwa siyo mwenye kuleta amani duniani bali upanga, fujo na fitina.

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu (Masihi) alikuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu na alitumwa kwa lengo maalum, lililotajwa kwa ulimi wake katika Qur'an Tukufu kwamba: “Nisadikishaye yaliyo mbele yangu katika Taurati na kutoa habari njema ya Mtume atakayekuja nyuma yangu jina lake ni AHMAD.” (QUR'AN 61:7).

Pia sawa na mafundisho ya Qur’an Tukufu, nabii Isa a.s. alifungamanishwa na amani katika maisha yake yote: “Na amani iko juu yangu, siku niliyozaliwa na siku nitakayokufa na siku nitakayofufuliwa kuwa hai.” (19:34).
 
1) Punda anayezungumza ( Hesabu 22:27-28 )
tuanze na huyu punda aliekuwa anaongea na muhammad , muhammad alivyo mpenda ngono eti anamuuliza punda kama anapenda mademu, kumbe punda alikuwa li shoga

The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – ADDRESSED the donkey asking, ‘What is your name?’ THE DONKEY ANSWERED, ‘Yazid Ibn Shihab. Allah had brought forth from my ancestry 60 donkeys, none of whom were ridden on except by prophets. None of the descendants of my grandfather remain but me, and none of the prophets remain but you and I expected you to ride me. Before you, I belonged to a Jewish man, whom I caused to stumble and fall frequently so he used to kick my stomach and beat my back.’

The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – said to him, ‘I will call you Ya’foor, Oh Ya’foor.’ Then Ya’foor REPLIED, ‘I obey.’ The prophet then asked, ‘Do you desire females?’ The donkey replied, ‘NO!’
 
tuanze na huyu punda aliekuwa anaongea na muhammad , muhammad alivyo mpenda ngono eti anamuuliza punda kama anapenda mademu, kumbe punda alikuwa li shoga

The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – ADDRESSED the donkey asking, ‘What is your name?’ THE DONKEY ANSWERED, ‘Yazid Ibn Shihab. Allah had brought forth from my ancestry 60 donkeys, none of whom were ridden on except by prophets. None of the descendants of my grandfather remain but me, and none of the prophets remain but you and I expected you to ride me. Before you, I belonged to a Jewish man, whom I caused to stumble and fall frequently so he used to kick my stomach and beat my back.’

The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – said to him, ‘I will call you Ya’foor, Oh Ya’foor.’ Then Ya’foor REPLIED, ‘I obey.’ The prophet then asked, ‘Do you desire females?’ The donkey replied, ‘NO!’

Shukrani kwa kutuletea hadithi ??

WANAFUNZI WA YESU

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simon aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebadayo, na Yohana nduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo; na Thadayo; Simon Mkananayo, na Yuda Iskariote, naye ndiye mwenye kumsaliti. (Marko 10:2-4).

Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44).

Basi tuone mti uliopandwa na Bwana Yesu Kristo, matunda yake ni ya ladha gani?

Madaraja yaliyofundishwa na Bwana Yesu tuone wanafunzi wake walikuwa wa aina gani?

Yesu alipoleta imani, basi tuone kiwango cha imani ya waaminio wake. Sina kawaida ya kuwafundisha watu kwa maneno yangu bali nawafundisha kulingana na maandiko yao matakatifu.

Sasa tuone hali na imani ya wanafunzi wa Bwana Yesu.

1. Yesu alisema, hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili? (Mathayo15:16

2. Alimwambia Petro kwamba; “Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka? (Mathayo 14:31).

3. Petro alikanusha kuwa mfuasi wa Yesu mara tatu bali alimlaani. (Mathayo 26:69-75).

4. Yuda Iskariote alimuuza Yesu kwa shilingi 30 tu. (Mathayo 26:15).

5. Wakati Yesu alikuwa hatarini, wanafunzi waliendelea kulala). Mathayo 26:40-45; Marko 14:36:041)

. 6. Yuda alijinyonga. (Mathayo 27:5)

. 7. Imani ya wanafunzi: “Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu” (Mathayo 17:20).

8. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha wakakimbia. (Mathayo 26:50).

9. Wengi wataniambia siku ile; Bwana, Bwana hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri. Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. (Mathayo 7:22-23).

Hapa juu mmesoma hali na imani ya wanafunzi wa Bwana Yesu sawa na Biblia. Lakini sisi Waislamu hatuamini kwamba Nabii yeyote anaweza kushindwa kiasi hiki kwamba asiweze kupata matunda ya juhudi yake na athari nzuri isitokee kwa mahubiri na mafundisho yake.

Hata katika Qur'an Tukufu wanafunzi wa Bwana Yesu wametajwa kuwa mfano mzuri juu ya ulimi wa Bwana Yesu mwenyewe. Qur'an:

“Enyi mlioamini! Muwe wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu kama alivyosema Isa bin Mariam kuwaambia wanafunzi (wake): Ni nani wasaidizi wangu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu.” (Qur'an 61:15)
 
Shukrani kwa kutuletea hadithi ??
kwa nini muhammad alimuuliza punda kama anapenda mademu?

The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – ADDRESSED the donkey asking, ‘What is your name?’ THE DONKEY ANSWERED, ‘Yazid Ibn Shihab. Allah had brought forth from my ancestry 60 donkeys, none of whom were ridden on except by prophets. None of the descendants of my grandfather remain but me, and none of the prophets remain but you and I expected you to ride me. Before you, I belonged to a Jewish man, whom I caused to stumble and fall frequently so he used to kick my stomach and beat my back.’
The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – said to him, ‘I will call you Ya’foor, Oh Ya’foor.’ Then Ya’foor REPLIED, ‘I obey.’ The prophet then asked, ‘Do you desire females?’ The donkey replied, ‘NO!’
 
Uslam una kitu kinachoitwa christophobia yani wanauogopa sana ukristo mana ukristo ukiingia katika jamii zao basi wengi watauacha uislam na misikiti kubaki magofu.
Unajitahidi Sana bwanamdogo kujipa moyo ,,ukafiri Bado utabaki kuwa mbaya
 
kwa nini muhammad alimuuliza punda kama anapenda mademu?

The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – ADDRESSED the donkey asking, ‘What is your name?’ THE DONKEY ANSWERED, ‘Yazid Ibn Shihab. Allah had brought forth from my ancestry 60 donkeys, none of whom were ridden on except by prophets. None of the descendants of my grandfather remain but me, and none of the prophets remain but you and I expected you to ride me. Before you, I belonged to a Jewish man, whom I caused to stumble and fall frequently so he used to kick my stomach and beat my back.’
The prophet – may Allah’s prayers and peace be upon him – said to him, ‘I will call you Ya’foor, Oh Ya’foor.’ Then Ya’foor REPLIED, ‘I obey.’ The prophet then asked, ‘Do you desire females?’ The donkey replied, ‘NO!’


Shukrani kwa hadithi ya kanisa lako

Zawadi yako hii inaendelea


(26) Mwanadamu wa Kale alijenga Mnara mrefu sana hata ikabidi Mungu ashuke duniani na kuona na akaogopa uwezo wa wanadamu na kuwafanya wachanganyikiwe kwa usalama wa wakati ujao (Mwanzo 11).

(27) Mungu huyu wa Kibiblia aliua watu 50070 kwa ajili tu ya kutazama sanduku .( 1 Samweli 6:19 ).

28 Marko 15:34 ya Matoleo yote mawili ----- KJV inarekodi saa 9 VERSUS NKJV (MPYA- KJV) ikirekodi 3 O`clock !

(29) Paulo (mwanzilishi wa Ukristo MUUAJI WA FUASI WA YESU WA KWELI) alisema (katika Wagalatia 5:19-20) Wivu ni dhambi kama Ibada ya sanamu lakini tunaona Biblia ikiandika kwamba Mungu ni Mungu mwenye wivu (Kutoka 20). 4-5). Je, hilo linamfanya Mungu wa Biblia kulingana na Paulo?!

(30) Shetani ALIMSHAWISHI Mungu ( Ayubu 2:1-6 ) .

(31) Yehova Mungu wa Biblia ni mwongo mkubwa sana. Nilipokuwa nikizungumza na Musa katika Kutoka 6:3{{ Nami nikamtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kwa jina la Mungu Mwenyezi, lakini kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.}} .

Lakini, hapo awali, Ibrahimu kwa Mungu katika Mwanzo 15:8 {{ Akasema, Bwana MUNGU, nitajuaje ya kuwa nitairithi?}} Maandishi ya Kiebrania kutoka kodeksi tatu tofauti --

Westminster Leningrad Codexוַיֹּאמַר אֲדֹנָי [יֱהוִה ] בַּמָּה אֵדַע כִּי אִירָשֶׁנָּה.
WLC (Konsonanti Pekee)ויאמר אדני [יהוה ] במה אדע כי אירשנה׃
Aleppo Codexח ויאמר אדני [יהוה ] במה אדע כי אירשנה

Yahweh katika Kiebrania = יהוה

(32) Je, ni nini SHARTI ya kuwa wanafunzi wa Yesu wa Biblia? Ichukie familia yako. ( Luka 14:26 ).

(33) Yesu wa Biblia kwa makusudi huwafanya watu wachanganyikiwe kuhusu ujumbe wake. Anazungumza sio wazi. ( Marko 4:11-12 ).

(34) Mwanaadamu asiye na mwanzo wala mwisho? (Waebrania 7:3) .Melkizedeki huyu ni bora / anafaa zaidi kuliko Yesu kuwa mungu kwa waabudu sanamu.

(35) Muongo Mungu wa Biblia , lakini ni Mkweli, Shetani wa Biblia! Mungu wa Biblia alisema siku watakapokula tunda lililokatazwa hakika watakufa (Mwanzo 2:17). Lakini, Shetani wa Biblia alisema hakika hawatakufa (Mwanzo 3:4). Je, walikufa siku ile waliyokula matunda? HAPANA !
 
Back
Top Bottom