Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

We kweli hujielewi ni wapi ktk uislam kuchinja mtu ni makosa? Kumbe hujui chochote unatumika tu Kama toilet paper
Leta ushahidi tu uzuri uislamu una ushahidi juu ya kila sheria yake, leta hapa huo ushahidi kuwa unaweza kukurupuka tu ukashika panga na kukamata watu na kuanza kuwachinja.
 
Leta ushahidi tu uzuri uislamu una ushahidi juu ya kila sheria yake, leta hapa huo ushahidi kuwa unaweza kukurupuka tu ukashika panga na kukamata watu na kuanza kuwachinja.
Ila suala la kuchinja watu kwa kisingizio cha dini au kukashifu dini lipo sana saudia kwa wale waliowahi kukaa au kufanya kazi hasa kazi za hadhi ya chini saudia watäkubalana na mimi
 
Ila suala la kuchinja watu kwa kisingizio cha dini au kukashifu dini lipo sana saudia kwa wale waliowahi kukaa au kufanya kazi hasa kazi za hadhi ya chini saudia watäkubalana na mimi
Saudia wanahukumu kwa sheria, ukiona mtu anachinjwa ujue na yeye ameua mtu so analipwa kwa kisu vilevile kama alivyofanya, hapo hakuna ubaya.
 
Bro ina maana wale sio waislamu???Ni dini gani sasa wale????Mbona wanaitwa Al-Shabiby au Al-Shabab!!!
Wale ni extremists matendo yao hayahusiani na dini hata kama watafuga ndevu, wataitwa juma na zuberi yale mauaji ya holela wanayoyafanya hayahusiani na dini.
 
Wale ni extremists matendo yao hayahusiani na dini hata kama watafuga ndevu, wataitwa juma na zuberi yale mauaji ya holela wanayoyafanya hayahusiani na dini.
Wanafuata mafundisho sahih ya muhammad wewe kama hufanyi hivyo Jua wewe sio muislamu safi

Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
 
Wale ni extremists matendo yao hayahusiani na dini hata kama watafuga ndevu, wataitwa juma na zuberi yale mauaji ya holela wanayoyafanya hayahusiani na dini.
Muhammad ndie muanzilishi wa ugaidi , msome anajitaja kabisa anaua na kufanya ugaidi

Muhammad anasema
I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Saudia wanahukumu kwa sheria, ukiona mtu anachinjwa ujue na yeye ameua mtu so analipwa kwa kisu vilevile kama alivyofanya, hapo hakuna ubaya.
Bro hata ukiwa na itikadi tofauti na serikali unachinjwa!!!Ukimpinga mfalme unachinjwa kwa kubambikiwa kesi ya kukashifu dini!!!Afu asilimia tisini na maskini ndio wahanga!!!!Mara mbili tu ndio nilishuudia watu wa koo ya kifalme wakiuawa!!!!Ukikaa kule ukashuudia siasa yao ndio utanielewa nachosema
 
Muhammad ndie muanzilishi wa ugaidi , msome anajitaja kabisa anaua na kufanya ugaidi

Muhammad anasema
I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Tufafanulie kaka
 
Tufafanulie kaka
Muhammad alikuwa anasema yeye ni superior kuliko mitume wote , na alikuwa anashinda vita kwa kutumia ugaidi , Muhammad ilifikia maali Kijiji wakimsikia anakuja ata yupo umbali wa kilometa 200 wanakijiji wanakimbia , alikuwa anaua kikatili mno

Kuna verse aliweka jinsi ya kumuua asie muislamu ni kumtoboa macho kumkata viganja na miguu na hii alikuwa anafanya na kumuweka mtu juani mpaka afe

Koran 5:33 ya wale wanao mpiga vita Allah na Muhammad wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho
 
Tufafanulie kaka
muhammad ameua watu 8 kwa
Kukata mikono yote miwili
Kutoboa macho yote kwa kutumia misumari iliyo yamoto
Kuwaacha na kiu mpaka wakafa

Nukuu sahih
Muhammad
... he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and they were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 52, Number 261
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoooo.
 
Jifunze kujibu basi

kwa nini muhammad alimuuliza punda kama anapenda mademu?

Shukrani kwa hadithi za kanisa lako


Ongeza zawadi kutoka biblia yako

(36) Anayedaiwa kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu hulewa na kulazwa uchi. Ni somo gani la maadili katika hili? (Mwanzo 9:21).Na pia soma 1 Samweli 19:24. 2 Samweli 6:20.Isaya 20:3-4. Kusoma maneno haya inaonekana kama kutoka kwa mgonjwa wa akili mlevi kichaa.

(37) Na Jimmy akamtembelea Sara, kama alivyoahidi; akatimiza neno lake na Sara akapata mimba .... (Mwanzo 21:1-2) . { Sasa soma tena ...... wakati huu soma Mungu badala ya Jimmy) Huu ni mangod ya Biblia.

(38) Wachukue watumwa kuwa urithi ( Mambo ya Walawi 25:46 ). Je, hiyo inaonekana kama Mungu huyu ni Mwenye Haki? Je, hiyo inaonekana kama watu wote ni sawa mbele ya Mungu huyu wa Biblia? Mungu mbaguzi kweli!

(39) Wanawake na Watoto ni nyara tu mbele ya Mungu huyu wa Biblia. ( Kumbukumbu la Torati 20:14 ).

(40) Wanaume wanaweza kuwauza binti zao ( Kutoka 21:7 ).

(41) Ni aibu kwa wanawake kusema katika Kanisa ( 1 Wakorintho 14:34-35 ).

(42) Mtu anayedhaniwa kuwa Mungu ana njaa, hawezi kuona kwa mbali, hakujua majira ya tini, hawezi kukua tini mara moja, na aliulaani mti kwa jambo ambalo mti hauwajibiki nalo .....Soma Marko sura ya 11.

(43) Musa aliandika vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale na ndivyo wanavyodai. Inakuwaje mtu aliyekufa akaandika Obituary yake mwenyewe? ( Kumbukumbu la Torati 34:5-10 ).

(44) Ni nani aliyewahesabu Israeli? Mungu AU Shetani? (11 Samweli 24 AU 1 tarehe 21) !

(45) miaka 7 au miaka 3? ( 11 Samweli 24:13 AU 1 Mambo ya Nyakati 21:11 ) .
 
muhammad ameua watu 8 kwa
Kukata mikono yote miwili
Kutoboa macho yote kwa kutumia misumari iliyo yamoto
Kuwaacha na kiu mpaka wakafa

Nukuu sahih
Muhammad
... he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and they were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 52, Number 261
Kaka kweli muhamadi alikua anaua au unanipanga mdogo wako?????Nasikia alikua muungwana???
 
Back
Top Bottom