Uchaguzi 2020 Somanga: Mkutano wa Tundu Lissu wapigwa mabomu ili kutawanya watu

Uchaguzi 2020 Somanga: Mkutano wa Tundu Lissu wapigwa mabomu ili kutawanya watu

kimbendengu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
6,716
Reaction score
12,116
Katika mkutano wa Rais Mtarajiwa Tundu Lissu polisi walifika eneo la mkutano na kuanza kuwatawanya watu kwa kutumia mabomu hata hivyo kwa kuwa Lissu ni kiongozi Wala si mtawala aliamuru watu waondoke lakini hata hivyo wanasomanga hawakusita kuimba nyimbo za ushindi kama video inavyoonekana hapo chini Rais Rais Rais.



 
Hapa CDM wamesimama kimakosa wamekuwa na ratiba ndefu Leo wanasimama sehemu amapo hakukuwa na ratiba
 
Aisee

Hiyo sababu ndio itakayotupa kuwasema hao maaskari, bila kuona sababu ni kutunyima Uhuru wa kusema ule ukweli
 
Hapa CDM wamesimama kimakosa wamekuwa na ratiba ndefu Leo wanasimama sehemu amapo hakukuwa na ratiba

Kwenye mazingira ya sasa sidhani kama wanaweza kufanya kosa lanamna hiyo. Nadhani kilichopo ni kuwa makossa yaliyofanyika kusini haya rekebishiki katika muda huu hata mgombea anayetawala ameshindwa kufanya kampeni huko. Sasa kinachofanyika ni ku frustrate mikutano ya kusini maana uwepowa Ponda utafanya CDM ikubalike sana kusini. Lakini hii strategy haitasiadia sanahasira za watu ni kubwa sana.
 
Back
Top Bottom