Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Mwaka huu ruza hazipotei 60 60 kwel kudadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenyewe ni BOKO HARAM. Utamjua Mungu wa wapi weweee!?
Utawala uliofitinika endeleeni kutukazia kura,na kuamsha molali wa kuwamwaga viziri kesho kutwa tumalizane na utawala wa mabavu usiozingatia uhuru wala haki za raia wake.Kura za Hasira zinamiminika asanteni sana ndugu Polisi
..polisi alikuwa anafurahia kuvuruga mkutano wa TL.Ajabu pamoja nakupigwa mabomu lakn wanaonekana lisu na police wanakutana wanacheka pamoja.. Hiv ndiv itavyokuwa siku ya uchaguz,, wanaoumia niwengne na wengne wanakutana wanagonga chearz!!
Katika mkutano wa Rais Mtarajiwa Tundu Lissu polisi walifika eneo la mkutano na kuanza kuwatawanya watu kwa kutumia mabomu hata hivyo kwa kuwa Lissu ni kiongozi Wala si mtawala aliamuru watu waondoke lakini hata hivyo wanasomanga hawakusita kuimba nyimbo za ushindi kama video inavyoonekana hapo chini Rais Rais Rais.
We can't vote for corpses Ccm againHabr jf
Kuna clip inazunguka kwenye mitandao yote ya kijamii saiv inamwonyesha mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA akihutubia mkutano huko kilwa, baada mkutano unavamiwa na poris na kupigwa mabomu ya machozi,, ajabu wananch wanasambaa porisi wanamfuata tundu lisu na wanaonekana kucheka pamoja kama vile wanafurahia kilichotokea
My take,, vijana tusitumike hawa jamaa wanajuana vzur sana na divyo itakavyokuwa baada ya uchanguzView attachment 1609677
Swadakta!Utawala uliofitinika endeleeni kutukazia kura,na kuamsha molali wa kuwamwaga viziri kesho kutwa tumalizane na utawala wa mabavu usiozingatia uhuru wala haki za raia wake.
MABEBERU wanatuangalia tu tunavyonyimana haki! Wanathibitisha kilio cha Wapinzani kutokutendewa haki!Utawala uliofitinika endeleeni kutukazia kura,na kuamsha molali wa kuwamwaga viziri kesho kutwa tumalizane na utawala wa mabavu usiozingatia uhuru wala haki za raia wake.
Mkuu Kama kitu kidogo tu Basi barabarani watu ,itakua Sasa ni utani, hata hivyo binafsi sipendi sikia watu wmeingia barabarani na mungu hatuepushe ,ila Sasa fanyeni mchezo mtaona ,leo so unaona mabom yanapigwa watu hawaendi zaidi ya meter Mia wakati zamani bom moja watu wako km 200, leo yamepigwa mangapi? Watu wapo tu na bado wamemsindikiza ,Kwahiyo mpo barabarani mmekinukisha?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa jinsi walivyoondoka hapo unaona kuna wakuchoma kituo hapo?Tupo kwenye utawala wa kipumbavu sana
Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.
Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
Wachache sana watakuelewaUbinafsi wa Kikwete, tamaa ya Lowasa na Membe ndo vimetufikisha hapa!
Hawa masisiyemu hakika yatahukumiwa na Mungu tuKatika mkutano wa Rais Mtarajiwa Tundu Lissu polisi walifika eneo la mkutano na kuanza kuwatawanya watu kwa kutumia mabomu hata hivyo kwa kuwa Lissu ni kiongozi Wala si mtawala aliamuru watu waondoke lakini hata hivyo wanasomanga hawakusita kuimba nyimbo za ushindi kama video inavyoonekana hapo chini Rais Rais Rais.
Na ubabe wa MkapaUbinafsi wa Kikwete, tamaa ya Lowasa na Membe ndo vimetufikisha hapa!
Looo!Ubinafsi wa Kikwete, tamaa ya Lowasa na Membe ndo vimetufikisha hapa!
Utajaribu uoneTupo kwenye utawala wa kipumbavu sana
Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.
Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....