Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Leo Arusha ndiyo wametia aibu ya mwaka kwa kufunga shule na kuwaamuru wanafunzi woote kuvaa nguo za nyumbani ili waende kuujaza uwanja wa sheikh Amri AbeidTupo kwenye utawala wa kipumbavu sana
Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.
Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....