Somanga: Rais Magufuli asikitishwa na uzembe wa Wizara ya Ujenzi kutokarabati barabara Somanga. Azawadiwa jogoo

Somanga: Rais Magufuli asikitishwa na uzembe wa Wizara ya Ujenzi kutokarabati barabara Somanga. Azawadiwa jogoo

JPM state house saa moja asubuhi ushashinda.
Nakupenda sana my President.
 
Dkt MagufuliJP noma katoka msibani kasimama somanga kapewa kuku na mzee mmoja.

Pia akatoa million 5 za ujenzi wa shule ya msingi somanga, Kuna mtoto kaongea nae kampa laki moja.

Pia mzee alitoa Zawadi ya kuku nae kapewa laki, unalala masikini unaamka tajiri[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]View attachment 1521421
Akisimama eneo la karibu na wewe uje ujaribu kumpa zawadi yeyote then niletee mrejesho!!
 
Rais Magufuli kipenzi cha watu!

Jembe hilo linasubiri tu oktoba lije liwatifutifue nyumbu flani hivi
 
Majonzi mara hii yameshaisha! Unbelievable!
Hivi nyie watu majonzi kwani yanakaa siku ngapi? Au ndo nyinyi kunya anye kuku..... Tatzo lenu nyinyi mkishamchukia mtu basi kwenu huyo hana jema tena
 
Utoke tu huko umpe meko jogoo?
Atakuambia nenda kampe mkeo.

Hii ni movie
 
Jogoo Mkubwa huyo utafikiri ule aliyemunua Pazi .....................!!
 
Rais Dkt John Magufuli amepokea zawadi ya jogoo kutoka kwa mkazi mmoja wa Somanga mkoani Lindi ambayo amempatia zawadi hiyo ili akampe mama yake mzazi.

Baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo Rais Magufuli alimpatia shs laki moja ”Umenipa zawadi ya kuku na mimi nakupa zawadi ya Tsh. Laki moja”

Rais amepatiwa zawadi hiyo akiwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam akitokea Lupaso, Masasi mkoani Mtwara alikokwenda kwenye msiba wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa.

Jpm for 2020-2025
FB_IMG_1596122219075.jpg
 
Back
Top Bottom