Some childhood memories

Kudundana..[emoji23][emoji23]..nilikuwa na rafiki yangu wa kike huyo alikuwa mtata balaa..Kuna kivulana kilikuwa kinapenda kutukorofisha..tulikuwa tunakichangia rafiki yangu anahakikisha kamlaza chini kazi yangu ilikuwa kumlalia juu na ivyo nilikuwa kibonge..[emoji23][emoji23][emoji23] aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ