Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Si ulikuwa unajitoa ufahamu tuMimi sio wa kishuani nimecheza hadi kupika matope.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ulikuwa unajitoa ufahamu tuMimi sio wa kishuani nimecheza hadi kupika matope.
Anza kupenda jinsia pinzani kama unavyopenda seriesSasa nitafanyaje wakati ndio kampani yangu ilipo
Unaweka Moto chini..matope yanatokota[emoji3][emoji3]..sufuria vikopo vya nyanyaMimi sio wa kishuani nimecheza hadi kupika matope.
Hii kitu naipenda sana. Kesho nitatengeneza nijikumbyshe..Tukumbushane na hii..[emoji3][emoji3] watoto wa sikuhizi wanakosa uhondoView attachment 1409517
Sent using Jamii Forums mobile app
Watito wa siku hizi wanaangalia series za kihindi ndio wanapenda..Makida-makida mwaikumbuka jamani..[emoji3][emoji3] watoto wa sikuhizi sijui wanakwama wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Hii kitu naipenda sana. Kesho nitatengeneza nijikumbyshe..
[emoji3][emoji3] umeona eehWatito wa siku hizi wanaangalia series za kihindi ndio wanapenda..
All the bestNo thanks.
Muda bado kuanza kuwapenda..I'm comfortable to be hivi
Sisi tulikuwa tunatengeneza ya magamba flani ya miti, ukiwa unaizunusha unamuwinda mtu unapiga nayo.Tukumbushane na hii..[emoji3][emoji3] watoto wa sikuhizi wanakosa uhondoView attachment 1409517
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa mkorofi weweSisi tulikuwa tunatengeneza ya magamba flani ya miti, ukiwa unaizunusha unamuwinda mtu unapiga nayo.
😀 😀 😀 😀 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa mkorofi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Komborela mipira ya manailoni (Sodo)tulikua tunasuka wenyewe, basi nyakati za usiku kuna wakorofi wanauondoa ule mpira wa kukombolea kisha wanachukua jiwe wanalifungafunga na manailoni wanaliweka badala ya mpira, basi MTU anatoka mafichoni hana ajualo anakuja kukomboa wenzie waliokamatwa ile paaaa!! Mshuti kapiga jiwe, lazima amwage chozi tena kama kapiga dochi dole gumba litabakiwazi bila ukucha.
Nani alicheza kadome..?
Kula mbakishie baba je..?
Komborela je..?
Baba na mama je..? Lakini hii nilikuwa natengwa sana siwi baba nakuwa mtoto tu kenge kabisa😂😂
Ila ipo niliofaidi hiyo ilikuwa ni special ya Mimi na kidemu fulani hivi kiliitwa fatu asubuhi pevu kenge tayari nipo kwao! Tukishajipikilisha tunaingia kwenye mauwa😂😂 fatuma i miss you😍
Michezo nliokuwa siipendi ni kula mbakishie baba ukiangusha kile kijiti halafu huna mbio utachezea mkong'oto mpk unalia😂😂
Jamani, mbona yanavutia sana!? Mi nimeyapenda.
Mdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app
Nalitafuta hili [emoji23]