Mimi mwenyewe nilikuwa nacheza kwa machale..saa kumi na mbili natakiwa niwe ndani na nimeshaoga..sasa ukute hiyo kumi na mbili mchezo nao ndiyo umeanza kunoga.. watoto wenzangu walikuwa wanacheza hadi usiku nilikuwa nawaonea wivu aisee..Mama akisafiri ndiyo furaha yanguUnaweza jua nimekulia sehemu yenye uhuru wa kucheza sana kumbee. Unacheza huku unajua ukurudi unafikia fimbo za kutosha tena unaenda kuchuma fimbo mwenyeww
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavyokumbuka inaonekana si mda mrefu SanaEnzi zangu nilikuwa nachezesha hadi kwenye mkebe nikiwa katika mazingira ya shule..nilikuwa radhi kukata penseli ili ndefu iwe baba na mama fupi ziwe watoto[emoji3][emoji3]View attachment 1410059
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa vipii.. tuliambiwa ukiweka nacho hv nzi anakunyea hafu yanabaki hvo hvo
View attachment 1409368
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani umenichekesha mkuu..kuna mtu tumekua nae ndio ilikua kazi yake kuramba kamasi. Leo bishoo na mke wake
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ningeweza kuelezea kinagaubaga jinsi nilivyokuwa mtaalam wa hiyo kitu sema watu watachefukwa. Utoto una nyakati za aina yake.
Ila hali leo damu ikinitoka nalamba japo simezi tena.
Kuna jamaa aliniambia niasame mdomo kwamba kuna kitu ameona halafu akanitemea mate mdomoni. Yule fala hadi leo sijamsamehe.
Ukute umezaliwa 2002Mimi nimeacha juzi juzi tu kulamba kamasi.
Sasa [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo unakuta mapeni mengiiii halafu yote hayaandikiEnzi zangu nilikuwa nachezesha hadi kwenye mkebe nikiwa katika mazingira ya shule..nilikuwa radhi kukata penseli ili ndefu iwe baba na mama fupi ziwe watoto[emoji3][emoji3]View attachment 1410059
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kucheza ilikua tunakatazwa..Ikipiga adhanaa haupo home utakula stick hatari.Mimi mwenyewe nilikuwa nacheza kwa machale..saa kumi na mbili natakiwa niwe ndani na nimeshaoga..sasa ukute hiyo kumi na mbili mchezo nao ndiyo umeanza kunoga.. watoto wenzangu walikuwa wanacheza hadi usiku nilikuwa nawaonea wivu aisee..Mama akisafiri ndiyo furaha yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukumbushane na hii..[emoji3][emoji3] watoto wa sikuhizi wanakosa uhondoView attachment 1409517
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukute umezaliwa 2002
Alihama mwaka huo huo tukiwa darasa la 4 na hadi leo hatujawahi kuonana. Ila yaani siku tukija kuonana hata kama tutakuwa tumeshakuwa wazee , lazima nilipe kisasi. Sitojali kuwa ulikuwa utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimejisikiaje kinyaaa.
Fanya umlipizie tuh.
Hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangusha kijiti wahuni wanawahi kwenye njia mti ulipo, sasa hapo ni kuomba mbio zako zikusaidie.Kula mbakishie baba
Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike
Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuwa na haya madude mlikiwa mnajiona mmewini sana maishaEnzi zangu nilikuwa nachezesha hadi kwenye mkebe nikiwa katika mazingira ya shule..nilikuwa radhi kukata penseli ili ndefu iwe baba na mama fupi ziwe watoto[emoji3][emoji3]View attachment 1410059
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo unakuta mapeni mengiiii halafu yote hayaandiki
[emoji3][emoji3][emoji3] Nina miaka 12 tangu nimalize form4Unavyokumbuka inaonekana si mda mrefu Sana
Labda Mwaka Jana ndio umemaliza form four[emoji38][emoji38]