Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Wale waliokuwa wanajificha komborela hawatoki kumbe wanafanya yao..[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆😆😆Mdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] sijawahi nilikuwa kibonge nguo za wenzangu zilikuwa hazinitoshiUliwahi badilishana nguo kwenye kombolela..? View attachment 1409391
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunguru watu
Wale waliokuwa wanajificha komborela hawatoki kumbe wanafanya yao..[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii vipiTabia ya kusugua tunda ya ubuyu inakuwa motooo..alafu unamgusisha mwenzio mwilini [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau baruti haswa mwaka mpya..Nashukuru Mungu hakuna mchezo utotoni sijafanya..ya kike na ya kiume yote nimecheza.[emoji23][emoji23] Ila tulikua tukicheza baba mama wale wadada wanatulazimisha mm na mdogo wangu tuwe watoto badala ya baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya madude nimechezea Sana dah ilikuwa ligi[emoji1787][emoji1787] mbona madogo wa siku hizi hakuna hizi mambo wamekujaje..??
Ya dar mpaka Moro sijui ila ya ulimi ni matusi hasa kwa zile nyuchi zenye maji.. Hiyo action hutokea wakati wa kufanya matusi
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo kibokoTulikua tuna mchezo tunaita Kombolela Uchi. Hii tulikua tunaicheza kuanzia saa 2 ya usiku..Mtu anakuja kukomboa mpira yupo full suti. Uchi kabisa (Tulikua hatuna chupi..) huwezi mjua jina jama.
Watu wamekulana huko..sio waoga tulitoka kapa pote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu ya kunywa maji ya mchele 😂😂Ataakae niambia kwanini kojo la utoto linanukia ubwabwa kuna zawadi yake
View attachment 1409405
Sent using Jamii Forums mobile app
Karata zinachorwa matunda na wanyama..atakaetimiza za Aina moja ziwe nne mshindi..[emoji3][emoji3]Karata ya maganda ya viberiti..tumecheza sana. Mtaani kupata ganda la kiberiti ikawa nadraView attachment 1409393
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tulikua karibu na kambi za jeshi ilibidi wanajeshi wakataze hiyo kitu ndio tukaacha. Tulikua tunatengeneza migobole kabisaUsisahau baruti haswa mwaka mpya..
Mi ndo nilikuwa muhisani baadhi ya vifaa nilikuwa nawauzia plug na msumari wake ila siku ya kwanza kuipiga baruti ya plug nilikimbia akili ilibaha[emoji23][emoji23]
Au unachukua tawi la mti unapigilia na mfuniko wa ndoo. Hapo hata utumwe wapi hukatai..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikuwa mnabaniwa tu sisi ndani ya kambi kabisa na mibaruti juu ila muda mwengine walikuwa wakitufurumua..Sisi tulikua karibu na kambi za jeshi ilibidi wanajeshi wakataze hiyo kitu ndio tukaacha. Tulikua tunatengeneza migobole kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mianza kuona nyuchi za wazee wenu mapema sana.Tulikua tunachukua nywele mtu akinyolewa halafu tunachukua utimvu wa Minyaa/Minyara tunabandika kidevuni eti ni ndevu..Zingine tunabandika huku chini eti tumeota[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Tukikosa nywele tunaweka nywele za mahindi
Sent using Jamii Forums mobile app