Some childhood memories

Some childhood memories

Nani alicheza kadome..?
Kula mbakishie baba je..?
Komborela je..?
Baba na mama je..? Lakini hii nilikuwa natengwa sana siwi baba nakuwa mtoto tu kenge kabisa[emoji23][emoji23]
Ila ipo niliofaidi hiyo ilikuwa ni special ya Mimi na kidemu fulani hivi kiliitwa fatu asubuhi pevu kenge tayari nipo kwao! Tukishajipikilisha tunaingia kwenye mauwa[emoji23][emoji23] fatuma i miss you[emoji7]

Michezo nliokuwa siipendi ni kula mbakishie baba ukiangusha kile kijiti halafu huna mbio utachezea mkong'oto mpk unalia[emoji23][emoji23]
Kula mbakishie baba nilikuwa nauogopa.. nilikuwa mpenzi mtazamaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana huko mbali sana

Sent using myLG leon
Basi hatkuwahi kucheza pamoja..
Nilimiliki utajiri wa kiloba cha kilo 5 kilichojaa visoda na Viswidi (kile kiganda cha blue kiwenye betri la tiger)
 
Asee mie nilikua napenda kuchungulia wadada wakicheza rede (Nage)
 
Usisahau baruti haswa mwaka mpya..
Mi ndo nilikuwa muhisani baadhi ya vifaa nilikuwa nawauzia plug na msumari wake ila siku ya kwanza kuipiga baruti ya plug nilikimbia akili ilibaha[emoji23][emoji23]
Kuna ile ya kuchukua petrol na kokota unafungia kwenye chupa.

Alafu ile chupa unaifukia kifuatacho washa tairi kwa juu ya hilo shimo alafu nenda umbali wa mita hamsini.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Ile mnapinga kusalimiana, unamuwahi mwenzio "za saa hizi" anakusalimia "shikamoo" basi unajiona ndio umeshakua mtu mzimaa

Nimeshangaa nimeona mtaani nilipo watoto wa siku hizi nao wanafanya hiki kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom