Somo kutoka Urusi: Ili Taifa lipate mafanikio lazima kuwe na "consistency" kwa viongozi wa wandamizi na nguli

Halafu unakuta una familia kabisa
 
nyerere amekaa miaka 30 kuna nini jipya kafanya zaidi ya kutaifisha nyumba za watu na mgao wa dawa za mswaki na sukari
 
Umeiweka vizuri sana consistency na unguli wa viongozi lakini sio huyu bibi tunahitaji Raisi kama kiongozi sio ceremonial figure for which she fits very well yaan ni mweupe mpaka anatia huruma
 
Hata Zimbabwe wana mafanikio chini ya Nguli wa siasa za Africa Mugabe pamoja na mrithi wake Mnangagwa
 
Umeniangusha kwa kumsahahu waziri wa mambo ya nje na yulr binti secretary wake.
 
Urusi ndio nchi yenye mafanikio zaidi duniani? GDP yake ni ngapi? GDP per capita ni ngapi? HDI yake ipoje? wnanchi wake wana furaha kiasi gani?
acha upumbavu, mkitaka kuongozwa n madikteta nendeni Burundi au Uganda hapo
Urusi ina mafanikio kuliko TZ.
 
Punguz kusoma na kusikiliz propaganda za west.
Tafuta habari, soma utajua ukweli ni upi.

Eti russia ilikuwa aichukue ukrain kwa siku mbili tatu, umesikia wapi ujinga huu?

By way wanasema leo na jana walitishia mbwa kiev kapital ili jamaa wakomae kule, kaxi iee rahisi huko donbas, na wamefanikiwa.

Kwanini hawakusimulii hiyo chenga ya mwili?
 
Babu Biden kwake Hana jipya.
Unajua amekuwa seneta toka lini?

Ungesema watu kama Bush (Jr), au Obama hapo ungekaribia uhalisia wa mifano sahihi unayotoa hapa.

Lakini usisahau mtindo wao wa ma-'think tank', talking heads, taasisi mbalimbali wanaowakusanyia taarifa kila sehemu za dunia. Hizi ni taasisi mbalimbali zinazotumiwa kukusanya taarifa, au ku-'analyze' jambo.

Wanapotaka kumpiga mtu, kama Gaddafi vile, kuna watu maalum wanapewa kazi ya kumpamba kama shetani kabla hajatwangwa. Media zao zote zinageuzwa kufanya kampeni, kama zinavyofanya sasa dhidi ya Putin, na kumpamba ZOLO.
 
Duh, na wewe unaamini Urusi imerudishwa miaka hamsini nyuma?

Aiseee, nchi yetu hii tuna matatizo kwelikweli na ufahamu wa mambo yalivyo ya wananchi wetu. Hili ni tatizo kubwa sana, na hatuwezi kuendelea tukiwa na watu wa kiwango hiki cha kukosa ufahamu.
 
Tz KWa katiba Hii ,ni kutengenezea watu ufisadi
 
Umeiweka vizuri sana consistency na unguli wa viongozi lakini sio huyu bibi tunahitaji Raisi kama kiongozi sio ceremonial figure for which she fits very well yaan ni mweupe mpaka anatia huruma
Mbona JK alisema anaongoza vizuri
 
Hata Zimbabwe wana mafanikio chini ya Nguli wa siasa za Africa Mugabe pamoja na mrithi wake Mnangagwa
Mzee Mugabe Mabeberu yalimuvuruga hapa mwishoni. Alikuwa ameenda vizuri
 
Nchi zilizofanikiwa ziliachana na utamaduni wakutegemea watu,wakawekeza kwenye mifumo imara inayosimamia kila sekta ndo maana mambo yao mengi yanaenda kwenye mtiririko miaka mingi ata kama viongozi watakua wanabadilika.Hayo mambo yakua na hao unaowaita nguli wakukaa muda mrefu wala sio msaada kwa nchi kama watakua hawajali kuboresha maisha ya wananchi wao.na mifano ipo mingi ,wengi wao wanaishia kua mafisadi.Hao nguli wa urusi wengi ni rafiki zake na putin nasio kwamba kuna chochote cha maana zaidi ya kikundi cha wachache kula mema ya nchi.
 
Mbona mu7 ....yupo Uganda mwaka wa 40 Sasa!!!!

Iangalie tena Uganda:.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…