Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
Kwa season 10 ilopita, kombe la UEFA limeenda spain mara 6, barca mara 2 na real mara 4.
Mara ya mwisho mchezaj bora kutoka epl ilkua lin??
Wewe sasa hapa tunaongelea league bora au mchezaji bora? Kwa hiyo leo Neymar akiwa mchezaji bora basi france ni bora. Tatizo hapa kuna watu wameanza kuangalia hizi team juzi. Hao Real walikaa miaka 30 kuja kushinda tena CL. 1966 mpaka 1998.
 
Wewe ndio rudia history. Watu wamenza kuangalia league ya German na Italy kabla ya EPL. Kulikuwa na kitu kinaitwa Football made in Germany. Leo EPL wako wapi na Germany wako wapi. Kizuri kinajiuza. Real na Barca sio team za jana sababu leo watu wanaangalia sababu La liga sio exclusice hata Azam wanaonesha na Dstv. Epl ni very expensive ndio maana ni Dstv tu.
 
We umevuta bangi kweli,hivi unaiachaje Atletico Madrid kwenye timu kubwa na kuiweka Asernal na Liverpool? Na kwa taarifa yako, Atletico Madrid imefanya vibaya makusudi ili iende kubeba Europa league.
 
We umevuta bangi kweli,hivi unaiachaje Atletico Madrid kwenye timu kubwa na kuiweka Asernal na Liverpool? Na kwa taarifa yako, Atletico Madrid imefanya vibaya makusudi ili iende kubeba Europa league.
[emoji23] [emoji23] Athletico team kubwa kuliko Liver na Arsenal. Humu naona labda tunajadiliana na watu wamefungua macho jana kuona hizi team. Hao Madrid tu na Barca kafungue history uone ni mara ngapi wamecheza na Liver na uone matokeo ni mara ngapi Liver alishinda au kufungwa na draw halafu utajuwa.
 
Kwa hali ilivyo nusu fainali zitaingia sio chini ya timu tatu.
Fainali zitaingia EPL tu
 
Raha zamani CL ilikuwa ni mabingwa tu wa league hakuna mtu wa pili na ilikuwa ni knock out tu hakuna makundi wala nini ilikuwa ni ngumu kuliko hivi sasa, leo unaweza kupangwa kundi bovu ukishinda kundi unapata mteremko mpaka nusu final au final. Warudishe old style bingwa tu japo najuwa hawezi sababu imekuwa biashara zaidi. Yaani toka round ya kwanza ilikuwa ni wababe tu mechi 2 uko nje.
 
We umevuta bangi kweli,hivi unaiachaje Atletico Madrid kwenye timu kubwa na kuiweka Asernal na Liverpool? Na kwa taarifa yako, Atletico Madrid imefanya vibaya makusudi ili iende kubeba Europa league.


Teh Teh teh teh teh 😀 😀 😀 eti Atletico Timu Kubwaaaaaaaa..... Kwa Kipi? Kucheza Final 2 bila ya Kombe ama?

Jamaa Baada Ya Kupata King'amuzi Cha Azam Mwaka 2014 akaanza Kutazama Mpira Akamshitukia Atletico Anacheza Final basi anaona Ni Bonge la Timu!!!!! Ungeliiona Deportivo Je iliyompiga 4 kwa Mtungi AC Milan ungelisemaje?
 
Kinachoongelewa ni mwenendo wa timu zote 5 kuingia 16 bora tena 4 zikiongoza makundi huoni ni jambo kubwa ?

Umezoea kukariri tena msimu huu Arsenal hayupo hivyo usitegemee timu ya EPL kunyanyaswa na Bayern wala Barca
Comment yako inaonyesha ni jinsi gani hujui mpira!

Hivi unajua mara ya mwisho Chelsea wanashinda UEFA walikua na hali gani?

Unajua walikua wangapi kwenye msimamo wa ligi?

Kaa utulie, utanyolewa soon!

Eti Barca size yake ni Liverpool, unaongelea Liverpool waliomshindwa sevilla?

Ni kawajda ya mashabiki wa team za EPL kuongea hovyo, na hamjui mpira.

Mtarudishwa mapangoni muda si mrefu!
 
Mashabik wa epl mnalazimisha sana mambo ila huwez kuwa na ligi bora kama huna wachezaji bora, ukweli ni kwamba laliga inaifunika epl

Kwani Ukitoa Messi na Suarez Ndani Ya Laliga Ni Nani Anayeweza Kusimama na Pogba, Harzad, Coutinho, Mo Salah, Kante na Degea?
Hivi Kama Kwanini Real Wamtake Henry Kane Wakati Spain Kuna Wachezaji Bora Kuliko Yeye?

Kwanini Barcelona Wamtake Coutinho Wakati Spain Kuna Wachezaji Bora Kuliko Yeye? Si Waende tu Malaga au Getafe Wakachukue Mchezaji Mzuri Kuliko Coutinho?

Kwanini Wammezee Mate De Gea Wakati Kina Bilbao Wana Wana Wachezaji Wazuri?

Shoga Miss Ronaldo Wanaume Washammaliza Hamna Kitu... Tayari hapo Nusu ya Image Ya Ligi Yenu imepotea...

Neymar Kaondoka! Tayari Nusu ya image Yenu Nyengine imepotea...

Sasahivi Kabaki Mfalme Wa Wafalme Wa Soka Mchawi anaeunyanyasa Mpira Kama remote Control King Sir His Majesty Emperor Messi Peke Yake Ndiye anayebeba image Ya Ligi Yenu...

Na Akihama Messi tu Spain Nyote Mutarudi EPL manake Hakuna Hata mmoja Kati Yenu anaehamu ya Kumtazama Inaki Williams...

Sasahivi eti Munajikakamua Kuwataka ICONS Wa EPL kina COUTINHO, HARZAD, DE GEA, KANE na DELE ALLI ili muifufue Ligi Yenu inayodidimia...
 

Nadhani Umesahau Kuwa Barcelona ikiwa na Mastaa Wake Wote Last Pre-Season ilikula NNE kwa Mtungi kutoka Liverpool...
 
Umemaliza mheshimiwa. Kama hawataelewa basi tena. League bora maana team 20 sasa kweli hakuna wachezaji huko mpaka waje kumwaga pesa huku EPL.
 
Nadhani Umesahau Kuwa Barcelona ikiwa na Mastaa Wake Wrote Last Pre-Season ilikula NNE kwa Mtungi kutoka Liverpool...
Sio pre-season tu akatizame hata history ya Barca na Liver tumewapiga mara ngapi tena ile Barca ya kina Gaucha na Eto'o
 
Mnaweza kuwa na ligi bora na nzuri, Lakini vilabu vyenu vinapokuja usiku wa ulaya msiwe bora mbele ya
1. Barcelona
2. Real Madrid
3. Psg
4. Bayern Munich na
5. Juventus Turin.
Vilabu vyenu vikivuka hayo maeneo mtakuwa bora na wazuri.

Ila kwa sasa laliga ndio mpango mzima. Epl ni kelele na mi promo kibao.
 
Mimi Nina Uhakika na Ninajiamini Kuwa Ninatamka Wazi CL marahii inatua Uengereza! isipokuja basi Salary Yangu Ya Miezi 6 ya Kazini Naichoma Moto Hadharani..

Nani Yuko Tayari Tubeti?
Hii post inaonyesha wazi wewe ni MTU wa aina gani!
 
Ushindani unakuja kutokana na kukosekana timu nzuri. hebu tumuingize Real Madrid EPL tuone kama patakua na ushindani au one horse race.
 
Burudani gani iliyopo Laliga?
Kukaa Kwenye TV kabla Mpira Haujaanza ukawa unauhakika Barcelona anashinda Ndiyo Burudani au?

Ligi isiyo na Ushindani ya Timu Mbili Real
na Barcelona Haiwezi kuitwa Ligi Bora...
Bali Kuna Mechi Bora tu ya El Clasico...
Vipi kwani huna uhakika kama Man city anashinda? Tunachokua hatujui ningapi kama 5 au 6
 
Unazungumzia kupotea???? Haha Arsenal vp?? Liverpool nayo??? Man U tangu aondoke Ferguson vp??? Acha kutuchekesha hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…