Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
Timu za la liga zimelichoka hilo kombe maana miaka mitatu mfululizo wanachukua,fainali mbili zikihusisha timu za la liga ndani ya miaka minne. Msimu huu ni upepo tu umeegemea upande wenu EPL na mtashangaa hatua zinazofuata mnaondolea wote.
Mkuu hz timu za epl hazibebeki utaona zinavyotolewa kwenye mtoano
 
Umemaliza mheshimiwa. Kama hawataelewa basi tena. League bora maana team 20 sasa kweli hakuna wachezaji huko mpaka waje kumwaga pesa huku EPL.


Hapa Ndipo Wanaponimaliza Wale Laliga-Fanboys...... 😀 😀 😀 😀
Kama EPL haina Wachezaji Bora Bali Wachezaji Bora Wapo Spain Kama Wanavyodai! Yanini Barcelona na Real Wawang'ang'anieWachezaji Wa EPL DE GEA, COURTOIS, HAZARD, COUTINHO, HANRY KANE na DELE ALLI??

Si waende tu huko Kwa Kina Malada, Villarreal na Levante Wakachuke Wachezaji bora!!!

Wanashindwa Kufahamu Hiyo Real Kina Alonso, Modric, bale na Ronaldo Walitokea EPL....
 
Nikusaidie tu kwamba swali lako lilitakiwe lihusu ubora wa ligi na si Madrid tu kwa kipindi hicho

Bila shaka la liga haikuwa bora kama ilikuwa haiwakilishwi vyema na timu zake kwenye mashindano ya ulaya pamoja na wachezaji wake ktk tuzo ndani ya miaka hiyo 30..
 
LIGI BORA NI YA UINGEREZA KUTOKANA NA USHINAGANI WA TIMU NA TIMU-LIGI KAMA ZA SPAIN,ITALY,GERMANY NA FRANCE NI LIGI AMBAZO ZINA BAADHI YA TIMU BORA NDANI YAKE LAKINI HAIMANISHI LIGI HIZO NI BORA.
 
Mkuu hao wote unaowasema wazur wanatamani kwenda kucheza league bora (laliga) Coutinho na De Gea ni mfano wa watu wanaonganganiwa lkn wanataka kwenda kwenye mpira unaoendana na kiwango Chao
 
Teh teh teh teh teh 😀 😀 😀 Wachezaji Bora kutoka Spain...!!

 
LIGI BORA NI YA UINGEREZA KUTOKANA NA USHINAGANI WA TIMU NA TIMU-LIGI KAMA ZA SPAIN,ITALY,GERMANY NA FRANCE NI LIGI AMBAZO ZINA BAADHI YA TIMU BORA NDANI YAKE LAKINI HAIMANISHI LIGI HIZO NI BORA.
Mkuu hiz timu kama Barcelona na Real ni timu ambazo ni kubwa mno kutokana na investment yake so hata ukizileta epl lazima zitawaacha mbali wenzake kama ilivyo huko laliga lakin haimaanishi zilizobaki ni mbovu kwani sevilla huoni imefanya vizuri sana kwenye europa league. Huko epl timu haziachani sana kwa sababu investment zinakarbiana lakin haimaanishi kwamba ndo zinakuwa bora
 
Mara ya mwisho team ya EPL kuchukua UEFA ni lini?

Na mara ya mwisho sisi wahafidhina kuchukua ni lini?
Toka 2014 hadi Leo tunaibebaga tu alfu unakuja kuimba taarabu kama mke wa mzee yusuph

Note: nyie fuzuni sisi tuchukue ubingwa
 
hivi vitimu vya malikia kwa kujikweza havijambo muda utaongea la muhimu ni subira
 
Kwa jibu hilo nafikiri saa hizi kashaenda kukojoa na kulala...7th December EPL wanasheherekea kuingizia timu 5 hatua ya 16,3rd June LFP watakuwa wanagonga mvinyo na wa kubebe Uefa mara 5 mfululizo.
Mwisho.
 
Bingwa Wa UCL Msimu huu Lazima Atatoka EPL trust me... Hao Laliga Wenu Yeyote Atakaekutana na Timu Ya EPL basi Ndiyo Mwisho Wa Safari Yake...
Waulize, ikiwa Spurs kampiga bingwa mtetezi, nani atasogeza pua kwa Man City, Man U, Chelsea au Liverpool? Msimu EPL wako vizuri hao wababe tuache ushabiki.
 
Hivi bigwa wa FUTUHI ni nani kwa sasa? Sio Manure kweli? maana naona unaponda Uropa League wakati kuna mijitu imewatoa hadi leo mnajitamba hapo.

Ukitaka burudani ya mpira angalia LA LIGA ukitaka kuangalia mboyoyo na kelele nyiiiingi nenda EPL
Epl ndio Ligi tamu. Mpaka uneshinda, unalala na viatu, sio la liga hiyo ni sawa na kombolela. Mechi za ushindani ni RM vs Barca, RM vs ATM, Barca vs ATM, za kawaida Villareal vs RM, Sevilla vs RM, Villareal vs Barca, Sevilla vs Barca, Villareal vs ATM, Sevilla vs ATM Valencia vs RM, Valencia vs Barca, Valencia vs ATM. Nyingine hizo ni nyanya. Uliza EPL.
 
Atleti wamecheza fainali 2 za champions league na la liga moja ndani ya miaka mitatu..
 
Wakati huo huo watu ambao wamekosa namba la liga huwa wanaenda England...

Kumbuka Fabregas na Sanchez..

La liga huwa wanachukua cream tuu kutoka E.P.L kama Suarez, Bale na wengineo wakati E.P.L inachukua waliokosa soko la liga na kuja England..
 
Brother ukweli mchungu huo.
 
Waulize, ikiwa Spurs kampiga bingwa mtetezi, nani atasogeza pua kwa Man City, Man U, Chelsea au Liverpool? Msimu EPL wako vizuri hao wababe tuache ushabiki.
Mbona unakuwa mwepesi wa kusahau mwanzoni mwa msimu Man U amekula ngap kwa Real??
 
Wadau mimi nampenda sana yule mwanamama waziri wa afya nikionaga anahutubia mimi baadhi ya viungo vya mwili vinasisimka sana, aliyekaribu nae naomba amfikishie salamu zangu!
Una utani na mkuu wa nchi ya Tanzagiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…