bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
- Thread starter
-
- #21
Uzi wa kibabe sana, biashara za kufanya uzeeni ni kujitafutia kufa huku unalalama muda wote mdomo umeuchamaWatu hawana huruma na wastaafu, huwapa michongo ya pesa wanaishia kufa kwa pressure. Ukistaafu idea nyingi sana unaletewa na ndugu.
Huruma kweli, matapeli watu wabaya kweli,Bi mkubwa alivyopata hela akajifanya mkulima wa matikiti akakutana na tapeli hapo same anaitwa Heriel Mbaga mke wake ni mwalimu hapo same,Akatapeliwa akili imemkaa sawa.Kilichomsaidia hela nyingine aliweka Fixed.Ingepigwa yote.
Aheri ule iishe kuliko utapeliwe kizembeUmeongelea wengi waliofeli pia kuna wengi wamefanikiwa kupitia hayo mafao
Pesa isipo zalisha kuna mda tu itaisha
Walizoea pesa za bure ofisin so anataka a maintain status ndipo wanapopigiwa hapoSijui kwa Nini alichukua trekta 2.... Angeanza na moja kwanza aone upepo inakwendaje...
Zipo seminar za kusataafuMkuu umenena vyema sana na ubarikiwe sana, hawa watu wamekuwa wahanga sana wa kutapeliwa!
Nahisi wanakosa hii elimu wakiwa makazini kabla ya kustaafu!
Halafu wale wazee wanoko ofisin ndio Huwa yanakuta Kama malipizi.uzi wa kibabe sana, biashara za kufanya uzeeni ni kujitafutia kufa huku unalalama muda wote mdomo umeuchama
Huwa wana wenge sana wakipata Hela za mkupuo[emoji3]Bi mkubwa alikua haambiliki alivyopata hiyo hela.Toka tukiwa wadogo hajawahi Lima tikiti,akajifanya mkulima,kwa sasa akili imemkaa vizuri.
Nimecheka kama mazuri, atalamba teuzi sioHalafu wale wazee wanoko ofisin ndio Huwa yanakuta Kama malipizi.
Pana Mzee alikua boss dar kawafukuzisha kazi watu wengi plus kuwachafulia mafaili wengine alistaafu akilipwa M 250 Leo ana kaanga chips mbagala ***** zimeisha alidhani akistaafu atalamba teuzi acheni unoko makazini maisha yanaendelea tu hata baada ya kustaafu.
Nataka nikamtafute nimpongeze kwa kufungua kijiwe Cha chips.
Unoko plus ndumba Leo unauza chips
Teuzi awape nani hawana connection, Washamba tu wengi wao wametokea bush na wazazi wao hawakuwahi fanya kazi Serikali wakauona msoto wa wazazi wao waliopigika kwa uzalendo baada ya kustaafu.Nimecheka kama mazuri,atalamba teuzi sio
Heriel Mbaga mke wake ni mwalimu hapo sameBi mkubwa alivyopata hela akajifanya mkulima wa matikiti akakutana na tapeli hapo same anaitwa Heriel Mbaga mke wake ni mwalimu hapo same,Akatapeliwa akili imemkaa sawa.Kilichomsaidia hela nyingine aliweka Fixed.Ingepigwa yote.
Mbona kama unashangilia?au alikuwa haambiliki?Bi mkubwa alivyopata hela akajifanya mkulima wa matikiti akakutana na tapeli hapo same anaitwa Heriel Mbaga mke wake ni mwalimu hapo same,Akatapeliwa akili imemkaa sawa.Kilichomsaidia hela nyingine aliweka Fixed.Ingepigwa yote.
Ndiyo upumbavu wao hao amefanya kazi almost atleast 30 year bila kufanya biashara baada ya miaka 60 eti ndiyo anataka kufanya biashara! Idiot watumwa haoWatu hawana huruma na wastaafu, huwapa michongo ya pesa wanaishia kufa kwa pressure. Ukistaafu idea nyingi sana unaletewa na ndugu.
Pana mstaafu alipata milion 250. Shemeji yake akamwambia tufate pikipiki China ukileta kwa jumla pesa ipo, akampa pesa shemeji yake akalala nazo kona China, hadi wa leo hata kama alirudi nchini kimya kimya siri yake.
Pana mstaafu aliambiwa trekta zinalipa akapigiwa hesabu na motivator akaingia dukani akachukua trekta mbili mpya kwa milion 90 leo zipo juu ya mawe zinaliwa na kitu, amekosa pesa za kununua spea.
Mwingine aliambiwa daladala zinalipa akazinunua akaishia kushinda stand anahesabu tripu Kila ikipita. Ukistaafu achana na biashara, nunua bond au weka fixed nje ya nchi mfano Canada, USA au zile stable country ule gawio kila baada ya muda, umeshindwa sana jenga chumba sebule chumba sebule gombana na wapangaji maisha yasonge.
Kisha tafuta shamba mikoani acha familia mjini weka kasikilize sauti za ndege tu porini unalima kilimo kisicho cha biashara ili kufanya mazoezi tu utafika miaka 100, pia kaa mbali kabisa na hawa mitume na manabii watakufilisi.
Pana mama yupo kitandani mwaka sasa anaumwa, aliambiwa biashara fulani inalipa alikuwa na nyumba zake 4 alijinyima akiwa kazini kujenga, akaingia bank akazikopea milion 200 baada ya muda biashara ikawa hasara bank wanataka hela zao.
Bora upoteze pesa ujanani una nguvu kuliko kupoteza uzeeni, zikienda zimeenda.