Somo kwa wastaafu: Pesa za pensheni siyo za kufanyia biashara kama unataka kuishi Maisha marefu

Somo kwa wastaafu: Pesa za pensheni siyo za kufanyia biashara kama unataka kuishi Maisha marefu

Kuna mzee pale kimara baada ya kustafu alilamba milioni zake kadhaa akajenga fremu kibao za kisasa.

Hajakaa sawa mZiLaNkeNdE akaanza kubomoa nyumba pale kimara

Kuna like ghorofa pale stop over haijaisha hadi wanadai mzee alipanda juu atajitupa chini ikawa mwisho wa mchezo.

Mwengine huyu mzee wa miaka 70+ mstaafu wa serikali cheo kikubwa tu Ile 2015 wakati wa kampeni nilikaa nae ananiuliza kijana unataka nani ashinde nikamwambia mzee Bora mamvi apite ila sio huyo jamaa mwingine mzee akacheka saaana na kuponda weew

Akasema vijana bhana hamjui tu hapa mZiLaNkeNdE ndio Yuko vizuri basi mi sikubisha sana.

Mzee alikuwa na nyumba zake za kupangisha pale kimara mZiLaNkeNdE akapita nazo zote [emoji1]

Mzee alikuja ambulia mabati na grill za madirisha Hela ya kustaafu

Siku hizi hataki hata kumsikia mZiLaNkeNdE [emoji1]
 
Halafu wale wazee wanoko ofisin ndio Huwa yanakuta Kama malipizi.
Pana Mzee alikua boss dar kawafukuzisha kazi watu wengi plus kuwachafulia mafaili wengine alistaafu akilipwa M 250 Leo ana kaanga chips mbagala ***** zimeisha alidhani akistaafu atalamba teuzi acheni unoko makazini maisha yanaendelea tu hata baada ya kustaafu.
Nataka nikamtafute nimpongeze kwa kufungua kijiwe Cha chips.
Unoko plus ndumba Leo unauza chips
Hili lazima liwe zee la HR ndio zao hizo.
 
Mfanyakazi ni mtumwa huru anapata uhuru akifika miaka 60
 
Nashukuru bi mdashi hakupataga wenge na maslahi yake ya kustaafia alinisikiliza vizuri mbali na nyumba yake alioachiwa na mmewe ambayo ina nafasi nyingi za wapangaji nikamshauri anunue nyumba ingine mjini ya biashara kwa sasa anaishi maisha bila kuwa tegemezi kwa mtu yoyote yule anapambana na vikoba vyake tu.
 
Mandalizi ya kustafu Huwa tunayaanza mapema pale unapoanzisha shughuri yeyote ya kujipatia kipato au ajira, Kila unachokifanya kumbuka Kuna kuzeeka na utaishi vipi ukiwa mzee
 
Haijalishi mstaafu ama nani ukitaka biashara ikue iwe na faida na endelevu inatakiwa itoke moyoni, akilini na mawazoni kwako sio mtu anakwambia tu fanya hiki kinalipa nawe umooo
 
Kuna mzee pale kimara baada ya kustafu alilamba milioni zake kadhaa akajenga fremu kibao za kisasa.

Hajakaa sawa mZiLaNkeNdE akaanza kubomoa nyumba pale kimara

Kuna like ghorofa pale stop over haijaisha hadi wanadai mzee alipanda juu atajitupa chini ikawa mwisho wa mchezo.

Mwengine huyu mzee wa miaka 70+ mstaafu wa serikali cheo kikubwa tu Ile 2015 wakati wa kampeni nilikaa nae ananiuliza kijana unataka nani ashinde nikamwambia mzee Bora mamvi apite ila sio huyo jamaa mwingine mzee akacheka saaana na kuponda weew

Akasema vijana bhana hamjui tu hapa mZiLaNkeNdE ndio Yuko vizuri basi mi sikubisha sana.

Mzee alikuwa na nyumba zake za kupangisha pale kimara mZiLaNkeNdE akapita nazo zote [emoji1]

Mzee alikuja ambulia mabati na grill za madirisha Hela ya kustaafu

Siku hizi hataki hata kumsikia mZiLaNkeNdE [emoji1]
Nimecheka sana
 
Kuna mzee pale kimara baada ya kustafu alilamba milioni zake kadhaa akajenga fremu kibao za kisasa.

Hajakaa sawa mZiLaNkeNdE akaanza kubomoa nyumba pale kimara

Kuna like ghorofa pale stop over haijaisha hadi wanadai mzee alipanda juu atajitupa chini ikawa mwisho wa mchezo.

Mwengine huyu mzee wa miaka 70+ mstaafu wa serikali cheo kikubwa tu Ile 2015 wakati wa kampeni nilikaa nae ananiuliza kijana unataka nani ashinde nikamwambia mzee Bora mamvi apite ila sio huyo jamaa mwingine mzee akacheka saaana na kuponda weew

Akasema vijana bhana hamjui tu hapa mZiLaNkeNdE ndio Yuko vizuri basi mi sikubisha sana.

Mzee alikuwa na nyumba zake za kupangisha pale kimara mZiLaNkeNdE akapita nazo zote [emoji1]

Mzee alikuja ambulia mabati na grill za madirisha Hela ya kustaafu

Siku hizi hataki hata kumsikia mZiLaNkeNdE [emoji1]
Pana mama alikua shabiki wa mwendazke alikuwa kada akiimba mtaisoma namba alipigwa mbili bila akaishia stroke, alilambwa nyumba zake akalambwa vyeti feki ofisini.
Two in one unasolve vipi kazi huna makazi huna
 
Dah, kuna mzee nusa nusa wa mjini, walimkomba 150, wanawake walimfilisi akajikuta hata kibanda hajajenga na ilikuwa ndio fainali yake, mwisho wa siku wanasingizia Ile hela ina uchawi
Nusa nusa huwa nadhani kuwa ni wajanja yaani inteligent, sasa aliliwaje kindezi namna hiyo?
 
Watu hawana huruma na wastaafu, huwapa michongo ya pesa wanaishia kufa kwa pressure. Ukistaafu idea nyingi sana unaletewa na ndugu.

Pana mstaafu alipata milion 250. Shemeji yake akamwambia tufate pikipiki China ukileta kwa jumla pesa ipo, akampa pesa shemeji yake akalala nazo kona China, hadi wa leo hata kama alirudi nchini kimya kimya siri yake.

Pana mstaafu aliambiwa trekta zinalipa akapigiwa hesabu na motivator akaingia dukani akachukua trekta mbili mpya kwa milion 90 leo zipo juu ya mawe zinaliwa na kitu, amekosa pesa za kununua spea.

Mwingine aliambiwa daladala zinalipa akazinunua akaishia kushinda stand anahesabu tripu Kila ikipita. Ukistaafu achana na biashara, nunua bond au weka fixed nje ya nchi mfano Canada, USA au zile stable country ule gawio kila baada ya muda, umeshindwa sana jenga chumba sebule chumba sebule gombana na wapangaji maisha yasonge.

Kisha tafuta shamba mikoani acha familia mjini weka kasikilize sauti za ndege tu porini unalima kilimo kisicho cha biashara ili kufanya mazoezi tu utafika miaka 100, pia kaa mbali kabisa na hawa mitume na manabii watakufilisi.

Pana mama yupo kitandani mwaka sasa anaumwa, aliambiwa biashara fulani inalipa alikuwa na nyumba zake 4 alijinyima akiwa kazini kujenga, akaingia bank akazikopea milion 200 baada ya muda biashara ikawa hasara bank wanataka hela zao.

Bora upoteze pesa ujanani una nguvu kuliko kupoteza uzeeni, zikienda zimeenda.
Hapo Kwa Manabii wastaafu wakina mama ndiyo wanapigwa vibaya.
 
Mzee wangu aliniambia wastaafu wengi wanafeli kwa kutaka kuendelea kuishi kama walivyokuwa waajiriwa, wanatumia kingi kuliko kinachoingia.
 
Back
Top Bottom